Simuna kikos kipana? Tunataka kuona kimepanuka wapiKiama kimeanza aise na hela ndo amna hivyo.View attachment 2501342
Hicho chuma nakikubali kinoma.Euro million 3 tunazimiliki, tupindue meza
View attachment 2501369
Jorginho to Asernal.Tufanye jambo aisee..
Hapo middle of the park tutapoteana na hivi tuna mechi nyingi.
Wa-force kwa Sabitzer tu muda ni mchache sana.Huyu marcel sabitzer (spelling Sina hakika) anaehusishwa kujiunga na sisi anaweza kuwa potential mpaka mwisho wa msimu !!!! Hakuna Namna maji shingoni, Bayern wanaweza kutukazia !
Xavi akimpata amrabat anaweza kutuachia Kessie mpaka mwisho wa msimu !
Dili la enzo to Chelsea limebuma, jamaa wanataka cash sio installment!Wa-force kwa Sabitzer tu muda ni mchache sana.
Sikufikiria kama majeraha ya Eriksen ni makubwa kiasi kile, endapo Marcel Sarbitzer hatutaweza kumpata ndani ya masaa machache yajayo ni wakati wa yule dogo Zidane Iqbal kuaminiwa tu.Tufanye jambo aisee..
Hapo middle of the park tutapoteana na hivi tuna mechi nyingi.
Yani huyo Kassie unaona ni mchezaji takataka kabisa huyo.Huyu marcel sabitzer (spelling Sina hakika) anaehusishwa kujiunga na sisi anaweza kuwa potential mpaka mwisho wa msimu !!!! Hakuna Namna maji shingoni, Bayern wanaweza kutukazia !
Xavi akimpata amrabat anaweza kutuachia Kessie mpaka mwisho wa msimu !
Sure tukishindwana na Bayern itabidi dogo Zidane aaminiwe,, hatuna Namna !!!Sikufikiria kama majeraha ya Eriksen ni makubwa kiasi kile, endapo Marcel Sarbitzer hatutaweza kumpata ndani ya masaa machache yajayo ni wakati wa yule dogo Zidane Iqbal kuaminiwa tu.
Vipindi kama hivi ndio hutengeza wachezaji wazuri sana. Hasa hasa ukiweka imani kwa mchezaji. Nakumbuka Spurs ikiwa ya moto sana mwaka 2009/2010 chini Harry Redknapp kaki kati ya msimu mwezi wa kwanza 2010 aliumia beki wake wa kushoto alikuwa anaitwa Benoit Assou Eketto ndipo Gareth Bale alipopata nafasi baada ya Benoit kurudi Redknapp akamsogeza juu Bale kama winga. Spurs walijaribu kuingia sokoni dakika za mwisho kuziba pengo la Benoit ila Bale akamlipa Redknapp kwa imani aliyompa.
Bora something kuliko nothing mkuu, wacha tuone !Yani huyo Kassie unaona ni mchezaji takataka kabisa huyo.
Kuna Yule bwana mdogo WA Morocco kasajiliwa ndio ingebidi aje United sio hizi rejected trash
Huyu jamaa ni mashine haswa kama tukimpata atatusave sanaView attachment 2501429
Hope hiyo deal inaweza fanikiwa.
Wapo Serious..Jorginho to Asernal.
You can tell: Asernal wapo serious na EPL