D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Kuna tofauti kati ya kugoma kutoa fedha na kutokua na fedha ya kutoa.Sisi kiupande wetu nadhani dirisha tushafunga kikosi ndo hiki mpaka dirisha kubwa.
Maboss wamegoma kutoa hela kabisa wamesema hawawezi kutoa hela na timu wanaipiga bei kwaiyo tuvumilie tu hakuna kusajili.
Maboss wamekaukiwa fedha ya kutoa na hata dirisha kubwa kuna hatari ya ufinyu wa bajeti.
Ni mwendo wa kuuza ndipo tununue.

️
#BFC