Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tufanye jambo aisee..

Hapo middle of the park tutapoteana na hivi tuna mechi nyingi.
Sikufikiria kama majeraha ya Eriksen ni makubwa kiasi kile, endapo Marcel Sarbitzer hatutaweza kumpata ndani ya masaa machache yajayo ni wakati wa yule dogo Zidane Iqbal kuaminiwa tu.

Vipindi kama hivi ndio hutengeza wachezaji wazuri sana. Hasa hasa ukiweka imani kwa mchezaji. Nakumbuka Spurs ikiwa ya moto sana mwaka 2009/2010 chini Harry Redknapp kaki kati ya msimu mwezi wa kwanza 2010 aliumia beki wake wa kushoto alikuwa anaitwa Benoit Assou Eketto ndipo Gareth Bale alipopata nafasi baada ya Benoit kurudi Redknapp akamsogeza juu Bale kama winga. Spurs walijaribu kuingia sokoni dakika za mwisho kuziba pengo la Benoit ila Bale akamlipa Redknapp kwa imani aliyompa.
 
Huyu marcel sabitzer (spelling Sina hakika) anaehusishwa kujiunga na sisi anaweza kuwa potential mpaka mwisho wa msimu !!!! Hakuna Namna maji shingoni, Bayern wanaweza kutukazia !


Xavi akimpata amrabat anaweza kutuachia Kessie mpaka mwisho wa msimu !
Yani huyo Kassie unaona ni mchezaji takataka kabisa huyo.

Kuna Yule bwana mdogo WA Morocco kasajiliwa ndio ingebidi aje United sio hizi rejected trash
 
Sikufikiria kama majeraha ya Eriksen ni makubwa kiasi kile, endapo Marcel Sarbitzer hatutaweza kumpata ndani ya masaa machache yajayo ni wakati wa yule dogo Zidane Iqbal kuaminiwa tu.

Vipindi kama hivi ndio hutengeza wachezaji wazuri sana. Hasa hasa ukiweka imani kwa mchezaji. Nakumbuka Spurs ikiwa ya moto sana mwaka 2009/2010 chini Harry Redknapp kaki kati ya msimu mwezi wa kwanza 2010 aliumia beki wake wa kushoto alikuwa anaitwa Benoit Assou Eketto ndipo Gareth Bale alipopata nafasi baada ya Benoit kurudi Redknapp akamsogeza juu Bale kama winga. Spurs walijaribu kuingia sokoni dakika za mwisho kuziba pengo la Benoit ila Bale akamlipa Redknapp kwa imani aliyompa.
Sure tukishindwana na Bayern itabidi dogo Zidane aaminiwe,, hatuna Namna !!!

Chelsea wanataka kutia mchanga kitumbua ,,,
 
Wapo Serious..

Sisi tunachelewaga sana kufanya maongezo kikosini..yaani ni hali hali iwe tete.
Ishu ni hela brother....
Kuna makala aliandika james ducker nikiipata nitaiweka, inazungumzia hali ya kifedha ya united na jinsi itakavyoleta athari katika soko la usajili ukijumlisha na sheria za UEFA
 
James Ducker: EXCL Unless #MUFC qualify for CL & sell WELL this summer, very unlikely Ten Hag will be able to sign a top striker & top midfielder given impact of Uefa’s new Financial Sustainability rules (plus strain put on cash flow by £307m owed on previous transfers)
 
Sure tukishindwana na Bayern itabidi dogo Zidane aaminiwe,, hatuna Namna !!!

Chelsea wanataka kutia mchanga kitumbua ,,,
Yule tajiri wa Chelsea yupo smart sana, alifanya season simulation kwa kutumia technical data against big 6 teams baada ya kununua timu akagundua hawana nafasi ya kumaliza ndani ya top 4. Sasa hivi anachokifanya anajiwahi kabla msimu haujaisha anajua fika wachezaji wengi anawasajili sasa hivi haitakuwa rahisi kuwapata majira ya kiangazi bila champions league at their disposal.
 
Tunanunua lakini hatuuzi, tofauti na vilabu mfano chelsea
1675177486226.png
 
Back
Top Bottom