Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wapo Serious..

Sisi tunachelewaga sana kufanya maongezo kikosini..yaani ni hali hali iwe tete.
Ishu ni hela brother....
Kuna makala aliandika james ducker nikiipata nitaiweka, inazungumzia hali ya kifedha ya united na jinsi itakavyoleta athari katika soko la usajili ukijumlisha na sheria za UEFA
 
James Ducker: EXCL Unless #MUFC qualify for CL & sell WELL this summer, very unlikely Ten Hag will be able to sign a top striker & top midfielder given impact of Uefa’s new Financial Sustainability rules (plus strain put on cash flow by £307m owed on previous transfers)
 
Sure tukishindwana na Bayern itabidi dogo Zidane aaminiwe,, hatuna Namna !!!

Chelsea wanataka kutia mchanga kitumbua ,,,
Yule tajiri wa Chelsea yupo smart sana, alifanya season simulation kwa kutumia technical data against big 6 teams baada ya kununua timu akagundua hawana nafasi ya kumaliza ndani ya top 4. Sasa hivi anachokifanya anajiwahi kabla msimu haujaisha anajua fika wachezaji wengi anawasajili sasa hivi haitakuwa rahisi kuwapata majira ya kiangazi bila champions league at their disposal.
 
Tunanunua lakini hatuuzi, tofauti na vilabu mfano chelsea
1675177486226.png
 
Chelsea tunaendelea tu kusumbua ulimwengu kwa kufuru za usajili.

Kimombo tuwaachie Arse8 ambao wanatamba na harakati za kunyanyua ubingwa wa EPL 2022 - 2023.

Liverkuku Fans ni mwendo wa kisandawe kuchambua karanga badala ya kuchambua mpira kwa kimombo chao kileeee.

Kweli kutesa kwa zamu na kila kitabu na zama zake [emoji4]
Screenshot_2023-01-31-19-33-00-10_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-01-31-19-33-20-34_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-01-31-19-33-47-46_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
 
MILIONI KWA SIKU UHAKIKA KWENYE CASINO UKICHEZA HIVI.


JINSI YA KUCHEZA..

Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin

Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.

Deal na option moja tu! Kama ni tail au head.

head ni 50% alaf tail ni 50% hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa .

Hivyo kama utaweka HEAD yaani

HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne

Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja

UNAPIGA VIPI PESA


Round ya kwanza
chagua HEAD

Ukikosa
=>hasara ni buku mbili (-2000)

Raundi ya pili
HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani (4000)

umekosa tena...
=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)

Mara ya tatu tena HEAD kawaida double weka 8000


Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000

Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000
Unatoa 32000

Ukitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000

Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku


Casino ninayo tumia www.jupitacasino.site

Kazi kwako ..
Acha kuleta upuuzi humu.
 
MILIONI KWA SIKU UHAKIKA KWENYE CASINO UKICHEZA HIVI.


JINSI YA KUCHEZA..

Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin

Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.

Deal na option moja tu! Kama ni tail au head.

head ni 50% alaf tail ni 50% hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa .

Hivyo kama utaweka HEAD yaani

HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne

Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja

UNAPIGA VIPI PESA


Round ya kwanza
chagua HEAD

Ukikosa
=>hasara ni buku mbili (-2000)

Raundi ya pili
HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani (4000)

umekosa tena...
=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)

Mara ya tatu tena HEAD kawaida double weka 8000


Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000

Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000
Unatoa 32000

Ukitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000

Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku


Casino ninayo tumia www.jupitacasino.site

Kazi kwako ..
Acha ujinga
 
Back
Top Bottom