Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,599
- 21,602
Yani huyo Kassie unaona ni mchezaji takataka kabisa huyo.Huyu marcel sabitzer (spelling Sina hakika) anaehusishwa kujiunga na sisi anaweza kuwa potential mpaka mwisho wa msimu !!!! Hakuna Namna maji shingoni, Bayern wanaweza kutukazia !
Xavi akimpata amrabat anaweza kutuachia Kessie mpaka mwisho wa msimu !
Kuna Yule bwana mdogo WA Morocco kasajiliwa ndio ingebidi aje United sio hizi rejected trash
