Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
SureZidan Iqbal
SureZidan Iqbal
Na mechi zinavyokuja kwa wingi ,mkifika March mtakuwa mnanena kwa lughaAise tuna shida aise eriksen injury na kaonekana jana anatembea na magongo kabisa na hapo kumbuka na DVB naye out hadi mwisho wa msimu.
Tunaitaji kiungo mwingine haraka iwezekanavyo maana hapo kiungo aliyebaki ni fred tu na tuna wimbi la mechi nyingi kweli na hatuna backup ya viungo wa kutosha.
na hatuwezi tena kupata mchezaji mwingine wa mkopo maana mwisho ni wawili tu na tayari tunao.
Tuna wakati mgumu kweli tuombe asiwe amepata majeraha ya muda mrefu maana ratiba yetu ya February tutacheza mechi nyingi kweli hafu wachezaji wameanza kupata injury.
View attachment 2499116





Sure, alikua anacheza rafu za maksudi kabisaFair to say former Mag Andy Carroll was on a one-man mission to get some of #MUFC’s best players ruled out of next month’s Carabao Cup final last night
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2499689View attachment 2499688View attachment 2499687
Target msimu huu ni top 4. Kombe lolote hasa hasa Carabao tutakuwa sawa tu. Kikosi kilichopo tunaweza kufikia hayo malengo as long as Casemiro atakuwa fit kwa 100%.FA
Carabao
EPL
EUROPA
Tuna mechi nyingi mbeleni, tutaweza kuziafford ?
Tayari Ericksen injury,,,,
Inavyoonekana hakuna usajili wowote unaotegemewa hii January,,,,
ikitokea suprise ni bonus kwetu !!
#GGMU
Haitakuwa rahisi kwa sasa huyu ni squad player kumbuka Bayern wana UEFA, DFB-Pokal na Bundesliga.Hivi bayern munich hawawezi kutupa gravenberch kwa njia ya mkopo akaungana na erik ten hag?
View attachment 2500415