Mbappe mwambaa sanaa aiseee... Kijanaa ana balaa yuleee halland kama sallah tu![]()

Lile li haalland kinacholibeba Ni ungongoti tu lakini hamna sticker pale kabisa, wanaomlinganisha mbape na hicho kituko basi madishi yao yashayumbaHaalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.
Kuna Kenge wanamlinganisha Haalland na King Mbappe kiubora katika kufunga magoli, hakika Wajinga hawawezi kuisha duniani![]()
City nitamkung'uta kama napiga mwiziLeo tumetoa recipe ya jinsi ya kucheza na city pia jinsi ya kumzuia Halaand asipige shot ndani ya dakika 90 ndani ya lango lako.
Arsenal chukueni darasa hilo kwa matumizi ya baadae,hawa sisi msimu huu hatuna shughuli nao tena.
Fred kaupiga mwingi.Dakika zote 90 na zaidi Shot on Goal 1. Nidhamu ya kukaba ilikaa vizuri sana.
Na-enjoy sana siku hizi, Chelsea anateseka, Liverpool wanakimbizwa na Brighton sasa hivi. Arsenal siku siyo nyingi upepo utakata hasa nikikumbuka hawajakutana na City hata mara moja maana yake points 6 zipo kwenye mstari.![]()


Chizi huyoGoli 3 unaita bahati?
Nimeshangaa leo anapiga chenga wachezaji watatu wa city na bado anatoa pasi inafikaAaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.
Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Yule jamaa hakuwa kocha aiseeeMzee wa "hajafukuzwa tu" sasa hivi utakuwa unaimba "Man Utd hajabeba tu ndoo"![]()
Hatutaki hongera za za kimama sisiDay kinyonge sana ..hongereni manyumbu![]()

Hakuna mchezaji mkubwa kuliko clubCR7 sijui anajiskiaje