Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wambieni wafiche bunduki zao

mlitutuma kwa man city
Sasa kibao kimegeuka man city wametutuma kwenu☝

Screenshot_20230114-172748_Facebook.jpg
 
Baada ya matokeo ya kesho dhidi ya spurs,ndipo arsenal wataona walifanya ujinga kumshabikia man utd walau kwa dakika 90 tu. Gap ya 6 pointS halafu tunakutana nao game inayofuata.

Wataanza kujua kuwa mshindani wao halisi ni UNITED na sio CITY kama walivyodhani awali.
 
Kwan Man U hii waleteni hao arsenyeto hata kesho
Man u ilifaa kushiriki uefa kuliko Cheltako mpira haupo fair
GGMU
Chelsea tuacheni tupumzike kwanza Wakuu, kwanini mnataka kila mwaka Chelsea wawe on fire , inamaana mnatuonea wivu na sisi tunavyo-trust process ya kujenga timu kwa miaka mitatu/minne ili baadaye tuwe tishio Ulaya kama ninyi Man Utd
 
huu ushindi wetu wa leo umewauma sana Arsenyani kuliko hata hao kina Mwasiti wenyewe.
Kesho Spurs wana jambo lao, nawahakikishia hamchomoki pale Tottenham Hotspur Stadium halafu jumamosi ijayo mtatembelewa na wanaume wa shoka.
Kama kuna mshabiki wa Arsenal kachukia ushindi wa Man Utd leo hii basi atakuwa ametoroka Mirembe...

Mwa-City si wazuri sana ukiwazidi point 5/6 tu wanaweza kukaza hata mechi 9 mfululizo wakiwa wanashinda tu.
 
Huyo Halaand usimdharau, vijana walikaa nae vizuri, bila hivyo ni hatari mno. Hata huyo Mbappe kuna siku kwenye club bingwa Ulaya, vijana wa Old Traford walikaa nae vizuri, hakufanya kitu, Rashford akawaua vizuri tena kwao.
Haalland ni mchezaji wa kawaida sana asipopenyezewa mipira, Mbappe anakaba, anakokota mpira, anatoa pass assistance na anakufunga popote iwe karibu, mbali, kulia kushoto, kwa kichwa hata kwa kisigino.

Narudia tena, Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka hasa wawezeshaji wake wakizuiwa kama leo KDB alivyofichwa na akina Mahrez.
 
Aaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.

Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Bissaka shida yake ni kwenye kuanzisha mashambulizi, mengine yote yupo vizuri.
 
Baada ya matokeo ya kesho dhidi ya spurs,ndipo arsenal wataona walifanya ujinga kumshabikia man utd walau kwa dakika 90 tu. Gap ya 6 pointS halafu tunakutana nao game inayofuata.

Wataanza kujua kuwa mshindani wao halisi ni UNITED na sio CITY kama walivyodhani awali.
Sema Spurs kama matahira vile..usishangae akapigwa kama bwege
 
Haalland ni mchezaji wa kawaida sana asipopenyezewa mipira, Mbappe anakaba, anakokota mpira, anatoa pass assistance na anakufunga popote iwe karibu, mbali, kulia kushoto, kwa kichwa hata kwa kisigino.

Narudia tena, Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka hasa wawezeshaji wake wakizuiwa kama leo KDB alivyofichwa na akina Mahrez.
Mbappe mwambaa sanaa aiseee... Kijanaa ana balaa yuleee halland kama sallah tu
 
Leo tumetoa recipe ya jinsi ya kucheza na city pia jinsi ya kumzuia Halaand asipige shot ndani ya dakika 90 ndani ya lango lako.
Arsenal chukueni darasa hilo kwa matumizi ya baadae,hawa sisi msimu huu hatuna shughuli nao tena.
 
Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.

Kuna Kenge wanamlinganisha Haalland na King Mbappe kiubora katika kufunga magoli, hakika Wajinga hawawezi kuisha duniani
emoji1787.png
Lile li haalland kinacholibeba Ni ungongoti tu lakini hamna sticker pale kabisa, wanaomlinganisha mbape na hicho kituko basi madishi yao yashayumba
 
Leo tumetoa recipe ya jinsi ya kucheza na city pia jinsi ya kumzuia Halaand asipige shot ndani ya dakika 90 ndani ya lango lako.
Arsenal chukueni darasa hilo kwa matumizi ya baadae,hawa sisi msimu huu hatuna shughuli nao tena.
City nitamkung'uta kama napiga mwizi
 
Back
Top Bottom