Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Counter attacking football ni falsafa ya Man United. Nafikiri katika makocha wa United ni Van Gaal pekee ndiye alikuwa anakuwa na timu yenye kuwa na possession sana.

Casemiro nilimwambia mtu siku ile tumepigwa 6-3 na Shitty, kwamba akizoea ligi atatusaidia sana.
Sure mkuu! Huyu mmbazili Ni mtu na nusu ,,,, wakati tunamsajili kwa pesa ndefu wapinzani walitucheka tumepigwa, kashinda kila kitu so Hana Cha ku-prove anakuja kula pension !!!!
 
Nikikumbuka enzi zile msimu iliyopita Rashford na marangi yake kwenye nywele anabutua hovyo na kukosa nafasi nyingi za wazi watu humu walikuwa wanamuita TrashFord na kutaka aondoke haraka na kuweka benchi..


Ila Chief-Mkwawa akawa anakuja na takwimu za Rashford yuko kwenye form na Mbappe huku akituaminisha kuwa nado ni hazina na ni mchezaji bora , huku mashabiki wengi tukamuona kama Chief ni chawa wa Rashford leo hii kawa mtu Kazi anapika boli ya uhakika.
 
Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.

Kuna Kenge wanamlinganisha Haalland na King Mbappe kiubora katika kufunga magoli, hakika Wajinga hawawezi kuisha duniani
Haaland Ni goal getter,,,anasubiri malisho, ukiziba njia basi!

Mpambe yule Ni fighter, ana-drible, anatoa anapokea anaweka !
 
Aaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.

Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Kulinda Ni mzuri, ila attacking sio mzuri Sana,,,, dalot anajitahidi ku-offer vyote !!!!

Sifa nyingine ya AWB anakaba kwa nidhamu kiasi Hana panic
 
Kulinda Ni mzuri, ila attacking sio mzuri Sana,,,, dalot anajitahidi ku-offer vyote !!!!

Sifa nyingine ya AWB anakaba kwa nidhamu kiasi Hana panic
Natofautiana na wewe kidogo. Dalot kulinda sio mzuri ana offer kwenye attacking. Recently baada ya kusugua benchi almost mwaka mzima Bissaka now amerudi yule wa crystal palace ana offer vyote kulinda na kushambulia. Tukiwa tunashambuliwa hasa upande wake now sina hofu kabisa katulia sana
 
Aaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.

Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Ukitaka kujua ujinga wa huyu kocha wetu, mechi ijayo atamuanzisha Dalot na Fred atamuanzishia benchi na Martial ataanza tena.
 
Nikikumbuka enzi zile msimu iliyopita Rashford na marangi yake kwenye nywele anabutua hovyo na kukosa nafasi nyingi za wazi watu humu walikuwa wanamuita TrashFord na kutaka aondoke haraka na kuweka benchi..


Ila Chief-Mkwawa akawa anakuja na takwimu za Rashford yuko kwenye form na Mbappe huku akituaminisha kuwa nado ni hazina na ni mchezaji bora , huku mashabiki wengi tukamuona kama Chief ni chawa wa Rashford leo hii kawa mtu Kazi anapika boli ya uhakika.
Nakumbuka sana walimpinga sanaa Na sasa anawaprove wrong
 
Back
Top Bottom