adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,092
- 35,445
Nikikumbuka enzi zile msimu iliyopita Rashford na marangi yake kwenye nywele anabutua hovyo na kukosa nafasi nyingi za wazi watu humu walikuwa wanamuita TrashFord na kutaka aondoke haraka na kuweka benchi..
Ila Chief-Mkwawa akawa anakuja na takwimu za Rashford yuko kwenye form na Mbappe huku akituaminisha kuwa nado ni hazina na ni mchezaji bora , huku mashabiki wengi tukamuona kama Chief ni chawa wa Rashford leo hii kawa mtu Kazi anapika boli ya uhakika.
Ila Chief-Mkwawa akawa anakuja na takwimu za Rashford yuko kwenye form na Mbappe huku akituaminisha kuwa nado ni hazina na ni mchezaji bora , huku mashabiki wengi tukamuona kama Chief ni chawa wa Rashford leo hii kawa mtu Kazi anapika boli ya uhakika.




