Mbacho_
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 339
- 760
Na-enjoy sana siku hizi, Chelsea anateseka, Liverpool wanakimbizwa na Brighton sasa hivi. Arsenal siku siyo nyingi upepo utakata hasa nikikumbuka hawajakutana na City hata mara moja maana yake points 6 zipo kwenye mstari.![]()
Liverpool kapigwa kamba ya pili hapa


home wins in a row.
ERIK. 






