Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

WHAT A COMEBACK

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230114_184010_446.jpg
 
Counter attacking football ni falsafa ya Man United. Nafikiri katika makocha wa United ni Van Gaal pekee ndiye alikuwa anakuwa na timu yenye kuwa na possession sana.

Casemiro nilimwambia mtu siku ile tumepigwa 6-3 na Shitty, kwamba akizoea ligi atatusaidia sana.
Sure mkuu! Huyu mmbazili Ni mtu na nusu ,,,, wakati tunamsajili kwa pesa ndefu wapinzani walitucheka tumepigwa, kashinda kila kitu so Hana Cha ku-prove anakuja kula pension !!!!
 
Back
Top Bottom