Mwanagundu yuleCR7 sijui anajiskiaje
Sio kwamba anaenda arse8?Chelshit wanaenda kupigwa €100M kwa Mudryk. Panick mode activated
Liverpool kapigwa kamba ya pili hapa [emoji23][emoji23]
Wameingilia diliSio kwamba anaenda arse8?
Itakula kwao kama kwa joao felixWameingilia dili
Yule jamaa n moto mbaya sema sijui kwann kocha hamwamin Ila jamaa anaujua vizuri sanaNimeshangaa leo anapiga chenga wachezaji watatu wa city na bado anatoa pasi inafika
Sure mkuu! Huyu mmbazili Ni mtu na nusu ,,,, wakati tunamsajili kwa pesa ndefu wapinzani walitucheka tumepigwa, kashinda kila kitu so Hana Cha ku-prove anakuja kula pension !!!!Counter attacking football ni falsafa ya Man United. Nafikiri katika makocha wa United ni Van Gaal pekee ndiye alikuwa anakuwa na timu yenye kuwa na possession sana.
Casemiro nilimwambia mtu siku ile tumepigwa 6-3 na Shitty, kwamba akizoea ligi atatusaidia sana.
Haaland Ni goal getter,,,anasubiri malisho, ukiziba njia basi!Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.
Kuna Kenge wanamlinganisha Haalland na King Mbappe kiubora katika kufunga magoli, hakika Wajinga hawawezi kuisha duniani [emoji1787]
We can't afford kwa watoto wa viera aise !Arsenal wachumba tu..
EtH aandae plan tukawapige palepale Emirates..
Kuhusu Crystal palace,can we afford to loose this?..hapana aisee.