Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na-enjoy sana siku hizi, Chelsea anateseka, Liverpool wanakimbizwa na Brighton sasa hivi. Arsenal siku siyo nyingi upepo utakata hasa nikikumbuka hawajakutana na City hata mara moja maana yake points 6 zipo kwenye mstari.

Liverpool kapigwa kamba ya pili hapa
 
Aaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.

Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Nimeshangaa leo anapiga chenga wachezaji watatu wa city na bado anatoa pasi inafika
 


#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230114_184414_272.jpg
IMG_20230114_184413_824.jpg
 
Back
Top Bottom