Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,158
Tunataka ubingwa sisi kila aliye mbele yetu Ni kumkojoza tu
Haya kakojoe ulale [emoji38]Tusameheane jamani nyie bado ni ndugu zetu tu, ila 3 points ni mhimu zaidi kwetu
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Msimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal
Wapendwa mashabiki wa chama kubwa manchester united, huo👆 ndio msimamo wa ligi msimu huu, napia si hivyo tu Hadi carabao,FA na Europe huyo mwamba hapo juu namba 1 bado anashiriki, na msimu huu mechi 8 mfululizo unbeaten and still more suplise to come for the red devil's👍
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu ushindi wetu wa leo umewauma sana Arsenyani kuliko hata hao kina Mwasiti wenyewe.First goal ni offside clear marefa wa EPL ni tatizo kubwa
Counter attacking football ni falsafa ya Man United. Nafikiri katika makocha wa United ni Van Gaal pekee ndiye alikuwa anakuwa na timu yenye kuwa na possession sana.[emoji34]What a win,,,
[emoji34]Bado hatuchezi vzr kwa timu zinazoposses mfano city, but muhimu points !
[emoji34]Huyu Casemiro Kama tulimuiba, anadeliver sana,,,he was almost everywhere, haaland anajua shughuli yake !
#GGMU
Daah! We jam mnafiki sana[emoji16][emoji16][emoji16]Kwan Man U hii waleteni hao arsenyeto hata kesho
Man u ilifaa kushiriki uefa kuliko Cheltako mpira haupo fair
GGMU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Tuliza mnyungu huo, utajua hujui.Kwakweli mm mwenyewe shabiki la Liverpool naomba Arsenal mbebe hili kombe
Vitoto vya Mwa-City vina matatizo ya akili sana, niliviambia kuwa kuna tofauti kati ya kuongoza mechi na kushinda mechi vilitaka kuniua kwenye kibanda umiza.Muda bado guys
Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.Casemiro anachomfanyia Haalan, PEP kinamuondoa raha kabisa.
Wakati mwingine mpira hutegemea na winning mentality ambayo Man Utd walikuwa nayo hivi karibuni kwa kushinda mechi 5 mfululizo, pia mpira bahati wala si ubora wa ku-possess, kushambulia na kuzuia tu.Uzuri nyie wenyewe mnakiri huu mpira wenu arsenal atawaua nyingi