Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,589
- 124,615
Goli 3 unaita bahati?Hifadhi maneno yako mkuu, ile gemu ya kwanza ni bahati tu.
Goli 3 unaita bahati?Hifadhi maneno yako mkuu, ile gemu ya kwanza ni bahati tu.
Sure?Arsenal atanipa pointi 6 msimu huu
Bas tungoje next matchGoli 3 unaita bahati?
Haya kakojoe ulaleTusameheane jamani nyie bado ni ndugu zetu tu, ila 3 points ni mhimu zaidi kwetu
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app

Msimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal
Wapendwa mashabiki wa chama kubwa manchester united, huo👆 ndio msimamo wa ligi msimu huu, napia si hivyo tu Hadi carabao,FA na Europe huyo mwamba hapo juu namba 1 bado anashiriki, na msimu huu mechi 8 mfululizo unbeaten and still more suplise to come for the red devil's👍
What a win,,,
Tulizihitaji hizi point tatu at any cost, iwe kwa ubakaji, uporaji, wizi ama kwa soka Safi !
Bado hatuchezi vzr kwa timu zinazoposses mfano city, but muhimu points !
Huyu Casemiro Kama tulimuiba, anadeliver sana,,,he was almost everywhere, haaland anajua shughuli yake !
Nimependa varane alivyocheza, Bruno spirit iko juu Sana utadhan timu ya baba yake,,,,
Fred alitumwa atembee na kdb , hivi kwa city hii first half hawana on target ? Miujiza !
Shaw hakua na game nzuri Sana nadhan Ni kwa position alioicheza, imagine licha angekuwa na match fitness acheze, shaw amwage Moto kule pemben,,,,
Game ilokuwa inaniwazisha Ni hii, always arsenal Ni wachumba! Bring them !
Rashyyyy doing Rashyyyy things 



First goal ni offside clear marefa wa EPL ni tatizo kubwa



huu ushindi wetu wa leo umewauma sana Arsenyani kuliko hata hao kina Mwasiti wenyewe. Counter attacking football ni falsafa ya Man United. Nafikiri katika makocha wa United ni Van Gaal pekee ndiye alikuwa anakuwa na timu yenye kuwa na possession sana.What a win,,,
Bado hatuchezi vzr kwa timu zinazoposses mfano city, but muhimu points !
Huyu Casemiro Kama tulimuiba, anadeliver sana,,,he was almost everywhere, haaland anajua shughuli yake !
#GGMU
Daah! We jam mnafiki sanaKwan Man U hii waleteni hao arsenyeto hata kesho
Man u ilifaa kushiriki uefa kuliko Cheltako mpira haupo fair
GGMU![]()



Tuliza mnyungu huo, utajua hujui.Kwakweli mm mwenyewe shabiki la Liverpool naomba Arsenal mbebe hili kombe
Vitoto vya Mwa-City vina matatizo ya akili sana, niliviambia kuwa kuna tofauti kati ya kuongoza mechi na kushinda mechi vilitaka kuniua kwenye kibanda umiza.Muda bado guys