Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Najua mashabiki wengi wanaona mbio za UBINGWA zipo Kati ya timu MBILI ARSENAL na MAN City hata baadhi ya mashabiki wenzetu humu wanafikiria hvyo,
Ila kwa upande wangu naona hata sisi TUNA NAFASI YA KUCHUKUA UBINGWA MSIMU HUU....

Na mwanga utaanza kuonekana juma linaloanza ambapo tutacheza na MAN City pamoja na PALACE hapo j5...

Endapo tutashinda hzo mechi mbili tutakuwa tunamkaribia kwa ukaribu zaidi na anaeongoza ligi ambaye ni ARSENAL ambaye nae anakibarua kigumu dhidi ya mpinzani wake TOTTENHAM,

Na akitoka na Tottenham anakutana na sisi...
Patamu hapo!!!

#GGMU
 
Msimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal
Wapendwa mashabiki wa chama kubwa manchester united, huo👆 ndio msimamo wa ligi msimu huu, napia si hivyo tu Hadi carabao,FA na Europe huyo mwamba hapo juu namba 1 bado anashiriki, na msimu huu mechi 8 mfululizo unbeaten and still more suplise to come for the red devil's👍
 
Msimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal
Wapendwa mashabiki wa chama kubwa manchester united, huo👆 ndio msimamo wa ligi msimu huu, napia si hivyo tu Hadi carabao,FA na Europe huyo mwamba hapo juu namba 1 bado anashiriki, na msimu huu mechi 8 mfululizo unbeaten and still more suplise to come for the red devil's👍
1673707565888.png
 
What a win,,,

Tulizihitaji hizi point tatu at any cost, iwe kwa ubakaji, uporaji, wizi ama kwa soka Safi !

Bado hatuchezi vzr kwa timu zinazoposses mfano city, but muhimu points !

Huyu Casemiro Kama tulimuiba, anadeliver sana,,,he was almost everywhere, haaland anajua shughuli yake !

Nimependa varane alivyocheza, Bruno spirit iko juu Sana utadhan timu ya baba yake,,,,

Fred alitumwa atembee na kdb , hivi kwa city hii first half hawana on target ? Miujiza !

Shaw hakua na game nzuri Sana nadhan Ni kwa position alioicheza, imagine licha angekuwa na match fitness acheze, shaw amwage Moto kule pemben,,,,

Game ilokuwa inaniwazisha Ni hii, always arsenal Ni wachumba! Bring them !

Rashyyyy doing Rashyyyy things


#GGMU
 
Back
Top Bottom