Tumeharibikiwa hapo kwa Martial tu. Lakini nadhani hii ndio mechi yake ya mwisho kuanza baada ya usajili wa kijana mpya jana. Mvivu tu kukimbia na ma-gloves yake mikononi sijui anavaa ya nini.
Cndio hapo Sasa, afu malacia mie ndio naogopa maana game ya kwanza na man fiisi ilimkataa kabisa na alikua uchocholo kwa baadhi ya magoli ya man fisi, cjui ten hag anaplan gany!
Fred leo kapewa chance atakiwasha sana hapo kati, ule mguu wale uko kama una sumaku. Garnacho angeanza ili ampe Walker yellow card ya mapema ashindwe kucheza, lakini kuna wakongwe hapo ni ngumu sana dogo kuanza.