Ushauri wangu Fikira za Ubingwa ziweke mbali kabisa.Najua mashabiki wengi wanaona mbio za UBINGWA zipo Kati ya timu MBILI ARSENAL na MAN City hata baadhi ya mashabiki wenzetu humu wanafikiria hvyo,
Ila kwa upande wangu naona hata sisi TUNA NAFASI YA KUCHUKUA UBINGWA MSIMU HUU....
Na mwanga utaanza kuonekana juma linaloanza ambapo tutacheza na MAN City pamoja na PALACE hapo j5...
Endapo tutashinda hzo mechi mbili tutakuwa tunamkaribia kwa ukaribu zaidi na anaeongoza ligi ambaye ni ARSENAL ambaye nae anakibarua kigumu dhidi ya mpinzani wake TOTTENHAM,
Na akitoka na Tottenham anakutana na sisi...
Patamu hapo!!!
#GGMU
Kwamba unawaza ubingwa na upo nyuma point tisa kwa Arsenal, mind the gap bruvNajua mashabiki wengi wanaona mbio za UBINGWA zipo Kati ya timu MBILI ARSENAL na MAN City hata baadhi ya mashabiki wenzetu humu wanafikiria hvyo,
Ila kwa upande wangu naona hata sisi TUNA NAFASI YA KUCHUKUA UBINGWA MSIMU HUU....
Na mwanga utaanza kuonekana juma linaloanza ambapo tutacheza na MAN City pamoja na PALACE hapo j5...
Endapo tutashinda hzo mechi mbili tutakuwa tunamkaribia kwa ukaribu zaidi na anaeongoza ligi ambaye ni ARSENAL ambaye nae anakibarua kigumu dhidi ya mpinzani wake TOTTENHAM,
Na akitoka na Tottenham anakutana na sisi...
Patamu hapo!!!
#GGMU

JANABA LA SOTON UMEOGA AU UNABWABWAJA TU.Tunawagonga hapo hapo OT na hakuna kitu mtatufanyazile goli 6 tulizowagonga mmesahau ??
Huyu kijana anajua kupotea mambo yakiwa magumu
Naomba consider fixture & tableUshauri wangu Fikira za Ubingwa ziweke mbali kabisa.
Wenye haki ya kuwaza ubingwa kwa sasa Ni Arsenal na Man City.
Sisi Man U tuko kwenye Form nzuri, tusubiri mwezi March tuone tutakuwa wapi.
Hapa kati kila wiki tuna mechi mbili, mashindano manne, kuna kupoteana hapo.
Kwa sasa tunatakiwa kuwazia Gemu inayofuata tuu.
Ushauri tuu kwa mashabiki wenzangu wa Manchester United.
#MUFCUnderstand Wout Weghorst deal will not include buy option clause. Manchester United have completed the signing on loan until June from Burnley. " data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft6e%2F1%2F16%2F1f534.png&hash=1f458558754d28743a621d7a2216e7d5" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1">" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft5e%2F1%2F16%2F1f1f3_1f1f1.png&hash=55ebc68be86f435dd0a94125f67b3164" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1">" title="
" width="" height="" />
" title="
" width="" height="" />
Weghorst has completed medical tests and documents have been signed.
Source: Fabrizio Romano
![]()
Hahahaha.. Kweli mkuu ila angalia fixture katika game 3 zetu....Kwamba unawaza ubingwa na upo nyuma point tisa kwa Arsenal, mind the gap bruv![]()
Wout François Maria Weghorst ni mchezaji ambaye hayuko hata kwenye first team ya championship club inayoitwa Burnley, na ninyi ndio mnamfanya replacement ya Cristiano Ronaldo. Mnamnunua kwa mil 3. Are you serious kweli au ndio strategy mpya baada ya kuwanunua wachezaji wa mil 100 wakashindwa kudeliver?
Wewe Ni Amina tu tufungwe ama tusifungweKesho msipofirw* goals 5 mniite Amina
Binafsi naona hata tukiambulia point 6 kwa kushinda game za arsenal na palace tukapoteza kwa city,matumaini yanakuwa juu zaidi kufungua shampeni mwisho wa msimu.Manchester City
Crystal Palace
Arsenal
Tukishinda hizi game zote hapo juu aisee we are in the race,niamini.
Sasa city akitufunga na Gape la point 7 huoni hata tukimshusha Arsenal ni kazi bure?Binafsi naona hata tukiambulia point 6 kwa kushinda game za arsenal na palace tukapoteza kwa city,matumaini yanakuwa juu zaidi kufungua shampeni mwisho wa msimu.
Arsenal ana game 2 sawa na point 6 dhidi ya city,Pep hatapenda kudhalilishwa na mwanafunzi wake kirahisi.