Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_20230113_073958_372.JPG
 
Najua mashabiki wengi wanaona mbio za UBINGWA zipo Kati ya timu MBILI ARSENAL na MAN City hata baadhi ya mashabiki wenzetu humu wanafikiria hvyo,
Ila kwa upande wangu naona hata sisi TUNA NAFASI YA KUCHUKUA UBINGWA MSIMU HUU....

Na mwanga utaanza kuonekana juma linaloanza ambapo tutacheza na MAN City pamoja na PALACE hapo j5...

Endapo tutashinda hzo mechi mbili tutakuwa tunamkaribia kwa ukaribu zaidi na anaeongoza ligi ambaye ni ARSENAL ambaye nae anakibarua kigumu dhidi ya mpinzani wake TOTTENHAM,

Na akitoka na Tottenham anakutana na sisi...
Patamu hapo!!!

#GGMU
Ushauri wangu Fikira za Ubingwa ziweke mbali kabisa.
Wenye haki ya kuwaza ubingwa kwa sasa Ni Arsenal na Man City.
Sisi Man U tuko kwenye Form nzuri, tusubiri mwezi March tuone tutakuwa wapi.
Hapa kati kila wiki tuna mechi mbili, mashindano manne, kuna kupoteana hapo.


Kwa sasa tunatakiwa kuwazia Gemu inayofuata tuu.

Ushauri tuu kwa mashabiki wenzangu wa Manchester United.
 
Najua mashabiki wengi wanaona mbio za UBINGWA zipo Kati ya timu MBILI ARSENAL na MAN City hata baadhi ya mashabiki wenzetu humu wanafikiria hvyo,
Ila kwa upande wangu naona hata sisi TUNA NAFASI YA KUCHUKUA UBINGWA MSIMU HUU....

Na mwanga utaanza kuonekana juma linaloanza ambapo tutacheza na MAN City pamoja na PALACE hapo j5...

Endapo tutashinda hzo mechi mbili tutakuwa tunamkaribia kwa ukaribu zaidi na anaeongoza ligi ambaye ni ARSENAL ambaye nae anakibarua kigumu dhidi ya mpinzani wake TOTTENHAM,

Na akitoka na Tottenham anakutana na sisi...
Patamu hapo!!!

#GGMU
Kwamba unawaza ubingwa na upo nyuma point tisa kwa Arsenal, mind the gap bruv
 
Kosa la kwanza EtH atakalolifanya kesho ni kuanza na kiungo cha Casemiro,Fernendes na Eriksen.

Tunahitaji mkimbiaji hapo katikati..ile game ya sita goli la kwanza lilianzia pale Eriksen alipoacha kucheza tactical foul..Fred atatusaidia kwa kazi hii.
 
Ushauri wangu Fikira za Ubingwa ziweke mbali kabisa.
Wenye haki ya kuwaza ubingwa kwa sasa Ni Arsenal na Man City.
Sisi Man U tuko kwenye Form nzuri, tusubiri mwezi March tuone tutakuwa wapi.
Hapa kati kila wiki tuna mechi mbili, mashindano manne, kuna kupoteana hapo.


Kwa sasa tunatakiwa kuwazia Gemu inayofuata tuu.

Ushauri tuu kwa mashabiki wenzangu wa Manchester United.
Naomba consider fixture & table
 
Understand Wout Weghorst deal will not include buy option clause. Manchester United have completed the signing on loan until June from Burnley.
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft6e%2F1%2F16%2F1f534.png&hash=1f458558754d28743a621d7a2216e7d5" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft5e%2F1%2F16%2F1f1f3_1f1f1.png&hash=55ebc68be86f435dd0a94125f67b3164" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
#MUFC
Weghorst has completed medical tests and documents have been signed.

Source: Fabrizio Romano
May be an image of 3 people, people standing and outdoors
Sababu in the summer Harry Kane atatua Carrington... Huyu tu mtumie kwa Sasa
 
Wout François Maria Weghorst ni mchezaji ambaye hayuko hata kwenye first team ya championship club inayoitwa Burnley, na ninyi ndio mnamfanya replacement ya Cristiano Ronaldo. Mnamnunua kwa mil 3. Are you serious kweli au ndio strategy mpya baada ya kuwanunua wachezaji wa mil 100 wakashindwa kudeliver?

Kwa mkopo wa miezi 6
 
Manchester City

Crystal Palace

Arsenal

Tukishinda hizi game zote hapo juu aisee we are in the race,niamini.
Binafsi naona hata tukiambulia point 6 kwa kushinda game za arsenal na palace tukapoteza kwa city,matumaini yanakuwa juu zaidi kufungua shampeni mwisho wa msimu.

Arsenal ana game 2 sawa na point 6 dhidi ya city,Pep hatapenda kudhalilishwa na mwanafunzi wake kirahisi.
 
Binafsi naona hata tukiambulia point 6 kwa kushinda game za arsenal na palace tukapoteza kwa city,matumaini yanakuwa juu zaidi kufungua shampeni mwisho wa msimu.

Arsenal ana game 2 sawa na point 6 dhidi ya city,Pep hatapenda kudhalilishwa na mwanafunzi wake kirahisi.
Sasa city akitufunga na Gape la point 7 huoni hata tukimshusha Arsenal ni kazi bure?

Realistically tukiwafunga wote ndio tutakua na nafasi, mechi zao tunaombea draw wakikutana
 
Back
Top Bottom