Kwa hii momentum timu ime-gain , city hawezi kutusumbua Sana ! Tukiweza kuwathibiti KDB na Bernado kazi imeisha,,,, haaland kule mbele atakosa malisho ataishia kuruka ruka tu !!! Fodeni pia Ni mchezaji mwingine wa kumuangalia !!!
Kwa miaka ya hivi karibuni nadhani msimu huu ndo city hawana beki nzuri ,,, rotation Sana au na majeruhi pia ?
Grealish Nini kimempata ? Hakuna anaemzungumzia, japo hapati Sana nafasi lakini Namba hazidanganyi , hata hizo chances chache hajaweza kuwa mwiba Kama alivyokuwa pale Villa Park !