Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wametuletea bwana misitu..Hayaa tumchape tena zile 3 hazikuwatosha

Upande wapili
Soton vs Nyukasto
Soton hawashindwi mjue...Anaweza kumtoa newcastle tukakutana nae final akala nyingi kama alivyokula zile 7 sijui 8 msimu 2022/2021

#GGMU
20230112_012225.jpg
 
Tunawagonga hapo hapo OT na hakuna kitu mtatufanya [emoji3] zile goli 6 tulizowagonga mmesahau ??
We fala mechi ya October last year bado unafanyia reference? Mambo yamebadilika, timu yako imeshindwa kupata shot on target against Southampton halafu unakuja kujitapa hapa. Everton tu waliwanyoosha.

Halafu ndiyo uje ushinde magetoni, OLD TRAFFORD. Njooni mkamilishe ratiba.
 
Kwa hii momentum timu ime-gain , city hawezi kutusumbua Sana ! Tukiweza kuwathibiti KDB na Bernado kazi imeisha,,,, haaland kule mbele atakosa malisho ataishia kuruka ruka tu !!! Fodeni pia Ni mchezaji mwingine wa kumuangalia !!!


Kwa miaka ya hivi karibuni nadhani msimu huu ndo city hawana beki nzuri ,,, rotation Sana au na majeruhi pia ?


Grealish Nini kimempata ? Hakuna anaemzungumzia, japo hapati Sana nafasi lakini Namba hazidanganyi , hata hizo chances chache hajaweza kuwa mwiba Kama alivyokuwa pale Villa Park !
 
Back
Top Bottom