tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 22,189
- 29,748
Ila dogo anazingua sn,kwanini hagawi pasi za V pale akifika? Yeye anataka funga mwenyewe hovyo kabisaGarnacho anawachukua balaa..
Ila dogo anazingua sn,kwanini hagawi pasi za V pale akifika? Yeye anataka funga mwenyewe hovyo kabisaGarnacho anawachukua balaa..
Kama aliyowapiga city nadhani jumamosi ataipiga tena hii city wajiandaeCurve moja ya hatari..
Asante Anthony..
Kachoyo kinomaIla dogo anazingua sn,kwanini hagawi pasi za V pale akifika? Yeye anataka funga mwenyewe hovyo kabisa
Kingine dogo Hana ball possession nzuri.Ila dogo anazingua sn,kwanini hagawi pasi za V pale akifika? Yeye anataka funga mwenyewe hovyo kabisa
Ila Antony kwann hayuko Direct kama Garnacho halafu yeye ni mguu mmoja tu upande wa kulia unakuwa hauna madhara sana
Huyu kijana alikuwa ananifanya nitamani kumuona akipewa mpira kila wakati nadhani anajambo kubwa la kuoffer haswa kwa ajili ya timu.Huyu Pellistri ana akili na ni timu player kuliko Garnacho