NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,965
- 12,757
Kingine dogo Hana ball possession nzuri.Ila dogo anazingua sn,kwanini hagawi pasi za V pale akifika? Yeye anataka funga mwenyewe hovyo kabisa
Ila Antony kwann hayuko Direct kama Garnacho halafu yeye ni mguu mmoja tu upande wa kulia unakuwa hauna madhara sana
Huyu kijana alikuwa ananifanya nitamani kumuona akipewa mpira kila wakati nadhani anajambo kubwa la kuoffer haswa kwa ajili ya timu.Huyu Pellistri ana akili na ni timu player kuliko Garnacho
Mtu mpk anaitwa world cup ujue mtu... nashangaa sn kocha anavomchukulia poa dogoHuyu Pellistri ana akili na ni timu player kuliko Garnacho
Amenishangaza licha ya kucheza kwa dakika 10Pellistri naye Mtu, sijui kazinguana nini na ETH.
Movement zake ni unpredictable bora leo kapata dakika chache na kaonesha yeye ni bora kuliko ElangaHuyu Pellistri ana akili na ni timu player kuliko Garnacho
Anaelekea Burnely, sema Man U ndio wanamchelewesha.Kuna anayejua scott mctominay anaelekea wapi kimpira.
Umri wake ni 26