D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Dogo kavurugwa, huenda kanyimwa pesa ya kununulia jersey
Na aliwapiga kiakili city dawa yao za mbalimbali tu Nje ya boksi sasa sisi nao tukicheza nao tunafosi kupenya mpaka kumfikia kipaKama aliyowapiga city nadhani jumamosi ataipiga tena hii city wajiandae
Toa Sancho na amad ni takatakaMovement zake ni unpredictable bora leo kapata dakika chache na kaonesha yeye ni bora kuliko Elanga
Amad
Garnacho
Pellistri
Sancho
Antony
Tuna mawinga wakutosha
Hiyo ndiyo aina ya wachezaji nawapenda kabla ya ku-shoot unaangalia kwanza: je, kuna mtu yupo position nzuri ya kufunga zaidi yangu? Kama jibu ni ndiyo, ni pasi moja tu unatoa.Huyu Pellistri ana akili na ni timu player kuliko Garnacho
Hivi umeangalia mechi hata moja ya Sunderland msimu huu?Toa Sancho na amad ni takataka
Amad sahivi noma hukoToa Sancho na amad ni takataka
Hamna mchezaji apoElanga yuko slow sana katika maamuzi.
Huyu hapaHuyu Mainoo ndio Nani?
Isimfananishe Garnacho na vitu vya hovyo.Huyu Pellistri ana akili na ni timu player kuliko Garnacho
Hakuna mchezaji humu
Garnacho ni selfish sana. Hatoi pasi hata kama wenzake wapo katika position nzuri. Anapoteza sana chance, maana kuna muda hachezi kama timuIsimfananishe Garnacho na vitu vya hovyo.
Elanga ni very useless kwa kweli.Haiingii akilini elanga ana dk nying uwanjan tangu msimu uanze kuliko pellistri