Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,634
- 11,116
Hivi umeangalia mechi hata moja ya Sunderland msimu huu?Toa Sancho na amad ni takataka
Hivi umeangalia mechi hata moja ya Sunderland msimu huu?Toa Sancho na amad ni takataka
Amad sahivi noma hukoToa Sancho na amad ni takataka
Hamna mchezaji apoElanga yuko slow sana katika maamuzi.
Huyu hapaHuyu Mainoo ndio Nani?
Isimfananishe Garnacho na vitu vya hovyo.Huyu Pellistri ana akili na ni timu player kuliko Garnacho
Hakuna mchezaji humu
Garnacho ni selfish sana. Hatoi pasi hata kama wenzake wapo katika position nzuri. Anapoteza sana chance, maana kuna muda hachezi kama timuIsimfananishe Garnacho na vitu vya hovyo.
Elanga ni very useless kwa kweli.Haiingii akilini elanga ana dk nying uwanjan tangu msimu uanze kuliko pellistri
[emoji23][emoji23][emoji23]Anaelekea Burnely, sema Man U ndio wanamchelewesha.
Huyu jamaa sijawahi hata kumuelewa aisee. Au mganga wake ndio anamfanyia vitu mpaka kupata namba XIElanga yuko slow sana katika maamuzi.
Hata kama Ronaldo alikuwa ni kivuruge ndo afukuzwe alafu Elanga anabakia? Inafikirisha kidogoElanga ni very useless kwa kweli.
Hata mimi nakisapoti icho kikosi Fred akimbie sana pale kati. Yani City inabidi tuwamwagie moto haswaaAgainst city natamani
Degea
AwB/dalot, varane licha Shaw
Casemiro Fred Bruno
Anthony rashyy garnacho
Garnacho nimempendekeza japo ana uchoyo flan/naamini ETh atamuweka sawa, ule upande pia tunatakiwa tuwe wasumbufu ili city wasije sana
Martial, ericksen waanzie benchi,,, hii mechi inatakiwa tuwe wagumu katikati !
Mnaweza kutokuona uwezo asilia wa Anthony bila kuona assist au magoli lakini ule upande jamaa anafaiti Sana defensively, ndio maana recently tunaona Kama tatizo la Beki namba mbili Kama limeisha flani hivi !