Bado kumekuwa na tetesi za ujio wa FdJ majira ya joto yajayo pale United. Na ni matumaini yangu hii nafasi ikitokea basi EtH hawezi kuiacha impite kwa jinsi alivyo na mahaba na huyu kijana.
Shughuli ya Casemiro haina mjadala hapa,Bruno (mzee wa tennis kwa mujibu wa
I AM SALIM ) ingawa tunamponda sana siku hizi (kasoro
Chief-Mkwawa ) ubora wake huwa unaonwa na walimu wake tangu enzi za Ole,EtH na hata kocha wa timu ya taifa ya ureno.
Eriksen pamoja na uzee wake yule mtu ana brain ya mpira
Swali langu ni namna gani atakipanga kiungo chake wakati FdJ akicheza kama Deep Laying Playmaker pamoja na uwepo wa Case,Bruno na Eriksen kwenye eneo la kati?