Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Butland..

Welcome to Manchester United
Usajili wake umefanyika kimyakimya wengine hata tetesi hatukusikia.
10 Hag akomae tupate na striker wa maana pale mbele.
Screenshot_20230106_163922.jpg
 
Sisi nyota yetu ipo kwa makipa, huwa hatutaki mchezo. Kuna kipindi tulikuwa na Valdez, De gea na Romero msimu mmoja.
Shida yetu kubwa hua ni beki na mshambuliaji pale mbele, upande wa beki tokea ujio wa Lisandro Martinez naona ukuta umeimarika, ila pale mbele kwa kumtegemea Martial tutafeli vibaya mno endapo Rashford ataumia.
 
Shida yetu kubwa hua ni beki na mshambuliaji pale mbele, upande wa beki tokea ujio wa Lisandro Martinez naona ukuta umeimarika, ila pale mbele kwa kumtegemea Martial tutafeli vibaya mno endapo Rashford ataumia.
Wanatafuta Mshambuliaji ila ndo wa bei ya mafungu,

Report ni huyo Felix, wamepeleka 4m na Atletico wanataka 12m, ngoja tuone.
 
Shida yetu kubwa hua ni beki na mshambuliaji pale mbele, upande wa beki tokea ujio wa Lisandro Martinez naona ukuta umeimarika, ila pale mbele kwa kumtegemea Martial tutafeli vibaya mno endapo Rashford ataumia.
Hakika Jombaa. Binafsi sina imani sana na Martial kwanza hana uhakika wa kucheza mechi 5 mfululizo bila injuries.

N.B Martial dhidi ya City huwa hajawahi kuniangusha.
 
Back
Top Bottom