kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,131
- 15,723
Sure,,, siku hizi mtu anakuambia mbona Bruno hafungi Sana ? Assist ??Watu wanamuangalia Bruno kama mtoa pasi za Mwisho tu ila jamaa ni Fighter sana, hata kama hachezi vizuri ila yupo maeneo yote anakaba, mara nyingi asipokuepo Eriksen anakuwa exposed.
Akija FDJ ina maana Eriksen atakuwa rotated nafasi ya Bruno na FDJ, mtu ambaye atapata tabu kwenye ujio wa FDJ ni Fred kwa inavyoonekana ETH anamtumia kama sub ya Eriksen.
Ila siku hizi kuna sub 5 watacheza wote, mashindano mengi,
Lakini ukimuangalia vzr Ni Kama ETH amempa free role,,,,, ! Yupo kote kote, sio kukaba tu bali kushambulia pia Yani kila mahali utamuona, achilia mbali zile long range zake ambazo Zina madhara Sana ,,,akizipata rashyy mpinzani ameumia !
Pia fighting spirit yake iko juu Sana ,,,,