Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester united 4 vs Bournemouth 1

Time

5.00 usiku

Stadim

Old Trafford

Last match

Manchester united 5 vs Bournemouth 2

GGMU
1672726148395.jpg
 
Timu yetu imeanza kuimarika sana kwenye maeneo mengi.

Tunacheza vizuri kwenye phase zote za uwanja japo bado yapo mapungufu madogo madogo ambayo ni ya mchezaji mmoja mmoja.

Sasa hivi timu yetu ikiwa inacheza unakuwa unajua kuwa at any time tutafunga goli lakini pia unakuwa huna wasi wasi wa kufungwa easy goals.

Kama Erik Ten Hag ataendelea kupewa support kwenye madirisha ya usajili ni vyema kuimarisha kwenye eneo la full backs zetu pamoja na kusajili striker mmoja mwenye kaliba ya Cavan, Zlatan Robin Van Persie au Kane changamoto ni kwamba ni ngumu kupata striker wa kaliba hiyo sokoni.

Mwalimu amefanya vizuri kwenye kudistribute magoli kwa wachezaji mbalimbali hivyo timu inakuwa siyo predictable sana wakati wa kushambulia na kwa kiasi fulani tunakuwa dangerous.

Bado kuna mapungufu fulani upande wa kulia hasa kwa Anthony bila shaka bado hajakomaa au hataki kubadilisha art yake ya uchezaji eneo la kulia bado siyo threat sana kwenye kutengeneza magoli tunatakiwa kubadili sana eneo hilo, Anthony siyo mchezaji mbaya sana japo tangu mwanzo sikuwa nakubali uchezaji wake lakini naona ameongeza kitu defensively ana track back vizuri na mikimbio yake ina faida changamoto ni end product yake.

Kuna tetesi za usajili kwa wachezaji kadhaa hasa Joao Felix kwangu mimi naona tulichelewa sana kumpata Joao napenda resilience yake, fighting spirit na technical ability yake lakini uwezo wa kucheza maeneo tofauti tofauti uwanjani.


Kwenye eneo la ushambuliaji mtu pekee anayeweza kuturudisha kwenye reli ni Harry Kane, japo wapo wengine kama option Benjamin Sesko, Lautaro Martinez pamoja na Patrick Schick.


Kifupi msimu huu kama mechi zetu tatu zijazo hatutapoteza point nyingi huenda tukarudi kwenye mbio za ubingwa rasmi ifikapo February.
Mimi sioni kama Harry Kane anatufaa kwa sasa.
Namuona kama mchezaji wa msimu mmoja.

Japokuwa akiwa na impact kama ya RVP. Itapendeza.
 
Tuuze anthony pale tumepigwa,sehemu ya kutoa pasi yeye anapiga danadana
Nilichogundua Arsenyani hakuna mchezaji wa Man Utd wanaemuogopa na kumchukia kuliko Anthony.
Huyu Mbrazil kwa alichowafanya siku ile lazima nafsi zenu ziwaume kwa kweli, kuwadanganya anaingiza kichwa tu halafu akaishindilia yote halikua jambo la kiungwana hata kidogo.
Halafu mbaya zaidi baada ya kuwatia bao akawakejeli kwa hilo bao lake tayari kashawatia mimba na kuwang'ong'a juu.
Screenshot_20230103_113902.jpg
Screenshot_20230103_113831.jpg
 
Nilichogundua Arsenyani hakuna mchezaji wa Man Utd wanaemuogopa na kumchukia kuliko Anthony.
Huyu Mbrazil kwa alichowafanya siku ile lazima nafsi zenu ziwaume kwa kweli, kuwadanganya anaingiza kichwa tu halafu akaishindilia yote halikua jambo la kiungwana hata kidogo.
Halafu mbaya zaidi baada ya kuwatia bao akawakejeli kwa hilo bao lake tayari kashawatia mimba na kuwang'ong'a juu. View attachment 2467662View attachment 2467663
Hichi sio kichaka Cha kujifichia ,toka awali tuliwaambia huyu kwa €100m mmepigwa

,Kufunga sio hoja, total performance yake ikoje

Wenzio humu wanakubali pale mmepigwa , wewe unatusingizia Arsenal fans

Tuliwaambia Sana humu Ni mchezaji wa kawaida tu ,akaja Paul Schoose akasema ,naye Ni Arsenal ?

Mkaja na kelele za Garanacho tukawaambia Ni average Bado msipige kelele , Sasa Hivi Kiko wapi?

Mmekuja Tena mnautaka ubingwa, sawa kwa uchezaji upi? Nalo tutawakumbusha
 
Hichi sio kichaka Cha kujifichia ,toka awali tuliwaambia huyu kwa €100m mmepigwa

,Kufunga sio hoja, total performance yake ikoje

Wenzio humu wanakubali pale mmepigwa , wewe unatusingizia Arsenal fans

Tuliwaambia Sana humu Ni mchezaji wa kawaida tu ,akaja Paul Schoose akasema ,naye Ni Arsenal ?

Mkaja na kelele za Garanacho tukawaambia Ni average Bado msipige kelele , Sasa Hivi Kiko wapi?

Mmekuja Tena mnautaka ubingwa, sawa kwa uchezaji upi? Nalo tutawakumbusha
20230102_213716.jpg
 
Hichi sio kichaka Cha kujifichia ,toka awali tuliwaambia huyu kwa €100m mmepigwa

,Kufunga sio hoja, total performance yake ikoje

Wenzio humu wanakubali pale mmepigwa , wewe unatusingizia Arsenal fans

Tuliwaambia Sana humu Ni mchezaji wa kawaida tu ,akaja Paul Schoose akasema ,naye Ni Arsenal ?

Mkaja na kelele za Garanacho tukawaambia Ni average Bado msipige kelele , Sasa Hivi Kiko wapi?

Mmekuja Tena mnautaka ubingwa, sawa kwa uchezaji upi? Nalo tutawakumbusha
Issue za pesa hazituumizi kichwa, kwanza kwa walichoifanyia hii club wale Glazers acha wa-spend tu pesa ambazo wame-generate mashabiki wenyewe.

Suala la value ya Antony sisi halituhusu. Kwasababu kocha kapata target yake lakini pia Antony ameongeza kitu kwenye squad yetu.

Antony bado ana room ya ku-improve na kufikia potential yake kulingana na umri alionao.
 
Sure pengine short term anaweza kuwa Ivan Toney wa Brentford au Alexander Mitrovic wa Fullham.

Hata Goncalo Ramos pia ni mzuri tu.
Sasa Goncalo Ramos awe ni short term?mtu aliyemkimbiza CR7 hahahaha una masihara ww,
 
Ten Hag on recalling Amad: "We consider everything. I see his potential, but when we decide for Amad Diallo to return he has to be a player for the starting eleven". #MUFC

"I've a little bit of a reservation for that because I don’t want to stop his great progress on loan".

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230103_212427_170.jpg
 
Back
Top Bottom