GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,380
Trendi ni ileile, Mechi ambazo Man U ameshinda, nyie huwa mnadominate ball possession.Vipi after Fergie ,Wenger era?
Trendi ni ileile, Mechi ambazo Man U ameshinda, nyie huwa mnadominate ball possession.Vipi after Fergie ,Wenger era?
SanaJamaa unamkubali Patrick kinoma
Mimi sioni kama Harry Kane anatufaa kwa sasa.Timu yetu imeanza kuimarika sana kwenye maeneo mengi.
Tunacheza vizuri kwenye phase zote za uwanja japo bado yapo mapungufu madogo madogo ambayo ni ya mchezaji mmoja mmoja.
Sasa hivi timu yetu ikiwa inacheza unakuwa unajua kuwa at any time tutafunga goli lakini pia unakuwa huna wasi wasi wa kufungwa easy goals.
Kama Erik Ten Hag ataendelea kupewa support kwenye madirisha ya usajili ni vyema kuimarisha kwenye eneo la full backs zetu pamoja na kusajili striker mmoja mwenye kaliba ya Cavan, Zlatan Robin Van Persie au Kane changamoto ni kwamba ni ngumu kupata striker wa kaliba hiyo sokoni.
Mwalimu amefanya vizuri kwenye kudistribute magoli kwa wachezaji mbalimbali hivyo timu inakuwa siyo predictable sana wakati wa kushambulia na kwa kiasi fulani tunakuwa dangerous.
Bado kuna mapungufu fulani upande wa kulia hasa kwa Anthony bila shaka bado hajakomaa au hataki kubadilisha art yake ya uchezaji eneo la kulia bado siyo threat sana kwenye kutengeneza magoli tunatakiwa kubadili sana eneo hilo, Anthony siyo mchezaji mbaya sana japo tangu mwanzo sikuwa nakubali uchezaji wake lakini naona ameongeza kitu defensively ana track back vizuri na mikimbio yake ina faida changamoto ni end product yake.
Kuna tetesi za usajili kwa wachezaji kadhaa hasa Joao Felix kwangu mimi naona tulichelewa sana kumpata Joao napenda resilience yake, fighting spirit na technical ability yake lakini uwezo wa kucheza maeneo tofauti tofauti uwanjani.
Kwenye eneo la ushambuliaji mtu pekee anayeweza kuturudisha kwenye reli ni Harry Kane, japo wapo wengine kama option Benjamin Sesko, Lautaro Martinez pamoja na Patrick Schick.
Kifupi msimu huu kama mechi zetu tatu zijazo hatutapoteza point nyingi huenda tukarudi kwenye mbio za ubingwa rasmi ifikapo February.
Tuuze anthony pale tumepigwa,sehemu ya kutoa pasi yeye anapiga danadana![]()


Nilichogundua Arsenyani hakuna mchezaji wa Man Utd wanaemuogopa na kumchukia kuliko Anthony. Hichi sio kichaka Cha kujifichia ,toka awali tuliwaambia huyu kwa €100m mmepigwaNilichogundua Arsenyani hakuna mchezaji wa Man Utd wanaemuogopa na kumchukia kuliko Anthony.
Huyu Mbrazil kwa alichowafanya siku ile lazima nafsi zenu ziwaume kwa kweli, kuwadanganya anaingiza kichwa tu halafu akaishindilia yote halikua jambo la kiungwana hata kidogo.
Halafu mbaya zaidi baada ya kuwatia bao akawakejeli kwa hilo bao lake tayari kashawatia mimba na kuwang'ong'a juu. View attachment 2467662View attachment 2467663
sawa kwa uchezaji upi? Nalo tutawakumbushaHichi sio kichaka Cha kujifichia ,toka awali tuliwaambia huyu kwa €100m mmepigwa
,Kufunga sio hoja, total performance yake ikoje
Wenzio humu wanakubali pale mmepigwa , wewe unatusingizia Arsenal fans
Tuliwaambia Sana humu Ni mchezaji wa kawaida tu ,akaja Paul Schoose akasema ,naye Ni Arsenal ?
Mkaja na kelele za Garanacho tukawaambia Ni average Bado msipige kelele , Sasa Hivi Kiko wapi?
Mmekuja Tena mnautaka ubingwa,sawa kwa uchezaji upi? Nalo tutawakumbusha

Issue za pesa hazituumizi kichwa, kwanza kwa walichoifanyia hii club wale Glazers acha wa-spend tu pesa ambazo wame-generate mashabiki wenyewe.Hichi sio kichaka Cha kujifichia ,toka awali tuliwaambia huyu kwa €100m mmepigwa
,Kufunga sio hoja, total performance yake ikoje
Wenzio humu wanakubali pale mmepigwa , wewe unatusingizia Arsenal fans
Tuliwaambia Sana humu Ni mchezaji wa kawaida tu ,akaja Paul Schoose akasema ,naye Ni Arsenal ?
Mkaja na kelele za Garanacho tukawaambia Ni average Bado msipige kelele , Sasa Hivi Kiko wapi?
Mmekuja Tena mnautaka ubingwa,sawa kwa uchezaji upi? Nalo tutawakumbusha
Sasa Goncalo Ramos awe ni short term?mtu aliyemkimbiza CR7 hahahaha una masihara ww,Sure pengine short term anaweza kuwa Ivan Toney wa Brentford au Alexander Mitrovic wa Fullham.
Hata Goncalo Ramos pia ni mzuri tu.
Sancho alikuwa rehab..ngoja tuone comeback yakeTuweke ushabiki pembeni. Usajili wa Sancho na Anthony, Manchester United "walipuyanga".
Wote hao kwa pamoja hawajafika uwezo wa bwana mdogo Mason Greenwood.
Greenwood msenge utelezi umemponzaTuweke ushabiki pembeni. Usajili wa Sancho na Anthony, Manchester United "walipuyanga".
Wote hao kwa pamoja hawajafika uwezo wa bwana mdogo Mason Greenwood.
#MUFC


Duu huyo donny asee wacha tuone.