hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Hichi sio kichaka Cha kujifichia ,toka awali tuliwaambia huyu kwa €100m mmepigwaNilichogundua Arsenyani hakuna mchezaji wa Man Utd wanaemuogopa na kumchukia kuliko Anthony.
Huyu Mbrazil kwa alichowafanya siku ile lazima nafsi zenu ziwaume kwa kweli, kuwadanganya anaingiza kichwa tu halafu akaishindilia yote halikua jambo la kiungwana hata kidogo.
Halafu mbaya zaidi baada ya kuwatia bao akawakejeli kwa hilo bao lake tayari kashawatia mimba na kuwang'ong'a juu. View attachment 2467662View attachment 2467663
,Kufunga sio hoja, total performance yake ikoje
Wenzio humu wanakubali pale mmepigwa , wewe unatusingizia Arsenal fans
Tuliwaambia Sana humu Ni mchezaji wa kawaida tu ,akaja Paul Schoose akasema ,naye Ni Arsenal ?
Mkaja na kelele za Garanacho tukawaambia Ni average Bado msipige kelele , Sasa Hivi Kiko wapi?
Mmekuja Tena mnautaka ubingwa,
sawa kwa uchezaji upi? Nalo tutawakumbusha

#MUFC




