fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,205
Angewasaidia sana Spain WC hii sema kiburi na ujuaji wa Enrique tu.Jamaa amekuwa mcharo anapangua tu
Angewasaidia sana Spain WC hii sema kiburi na ujuaji wa Enrique tu.Jamaa amekuwa mcharo anapangua tu
Shabiki maandazi.KWELI UCHAWI UPO,
1. UNASHINDWA KUELEWA MARTIAL "MVIVU" ANAWEZAJE KUWA 1ST ELEVEN?
2. VAN DER BEEK MPIRA WA HAPA ULISHAMSHINDA ANALAZIMISHWA KWA SABABU NI NDUGU YAKE KOCHA
3. ANTHONY KACHEMSHA MECHI TATU MFULULIZO KWA NJIA YOYOTE LEO ALITAKIWA AKAE BENCH, LAKINI ALIKUWA NA KOCHA KULE AJAX HAWEZI KUANZIA BENCHI.
4. KOCHA MJINGA SANA HUYU.
Ndo maana nasema ni bora tubaki na hao kina Martial.Kumpata sasa ni kama kubet huoni nunez kwa bei ile na anachodeliver ni tofauti
Huu Ndio uchezaji wa man utd ninayoifahamu.
Mnahela nyie mkuu unaweka GB ngapi
Amshukuru casemiro ana saidia Sana defenseHizi clean sheet De Gea anazipata kwa jasho lake kabisa.
Game zote alizocheza kaubonda sanaMnasubiri Wan Bissaka akosee muanze kumponda. Akifanya vizuri mnajikausha.
Kulia kuna Casemiro na kushoto kuna Rashford.Enzi zile Ronaldo hajaanza kulia liaView attachment 2468555
Kukaa bench kunasaidia sana mpaka akili zimeanza kurudi.Game zote alizocheza kaubonda sana
Jana kacheza vizuri sana
Casemiro is the greatest thing since sliced bread.Ila Casemirowasipoangalia hizi man of the match atachukua sana.
AWB ametulia kinoma..ila ndo kama hivyo,Dalot amerudi..sasa sijui ataendelea na AWB au vipiMnasubiri Wan Bissaka akosee muanze kumponda. Akifanya vizuri mnajikausha.
Sure mi napenda sana anavyohamisha uwanja ana akili ya haraka sana tominey anatakiwa akaze msuli haswaa bila hivyo atacheza karabao tu.Casemiro is the greatest thing since sliced bread.
Hata ile game ya City tusingepigwa vile zile 6 kama angeanza naamini.
Clean sheet zinaendelea tu kumiminika..huku pia mchango wake mbele kule pia ukiwa mkubwa.