Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Enzi zile Ronaldo hajaanza kulia lia
20230104_081841.jpg
 
Casemiro is the greatest thing since sliced bread.

Hata ile game ya City tusingepigwa vile zile 6 kama angeanza naamini.

Clean sheet zinaendelea tu kumiminika..huku pia mchango wake mbele kule pia ukiwa mkubwa.
Sure mi napenda sana anavyohamisha uwanja ana akili ya haraka sana tominey anatakiwa akaze msuli haswaa bila hivyo atacheza karabao tu.
 
sikubahatika kuangalia mechi ya jana ila ukiniuliza ni wachezaji gani pale manchester united hupendelea zaidi kucheza mpira wa tennis kama alivyosikika erik ten hag akibwatuka basi ni hawa wafuatao.
  1. david de gea
  2. scott mctominay
  3. anthony elanga
  4. bruno fernandez = HUYU NDIYE MASTER
  5. wan bissaka
  6. harry maguire
  7. fred
 
sikubahatika kuangalia mechi ya jana ila ukiniuliza ni wachezaji gani pale manchester united hupendelea zaidi kucheza mpira wa tennis kama alivyosikika erik ten hag akibwatuka basi ni hawa wafuatao.
  1. david de gea
  2. scott mctominay
  3. anthony elanga
  4. bruno fernandez = HUYU NDIYE MASTER
  5. wan bissaka
  6. harry maguire
  7. fred
Fernandes amekosa sana utulivu nowdays..
 
Back
Top Bottom