Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Newcastle United have recalled Martin Dubravka from his loan at Man United. Newcastle's decision to activate their January recall clause. United yet to make a decision on whether to sign a replacement. Leaves Heaton and Bishop as back-ups for De Gea.
Top 4 Race sasa hivi hawa jamaa ni competitor wetu,
 
Kama wataweza ku-battle na top 2 clubs litakuwa jambo zuri sana kwa wachezaji maana yake mechi 3 zijzo tukusanye points 9 na 6 kati ya hizo zitoke kwa City na Arsenal.

Points 3 kwa Arsenal inawezekana kabisa ila City nina mashaka sana. Tusubiri tu tuone.
Yaani uchukue points 3 kwa arsenal Emirates kirahisi ? Ile mechi ya OT yenyewe hata kuikamata au kui dominate mlishindwa ,itakuwa Emirates?

Yangu macho
 
Ni ndoto? Thats Mathematical possible, Tukishinda Mechi 3 zijazo bila kujali Matokeo ya wengine
1. Tunakua point moja Nyuma ya mshindi wa Pili City
2. Tunakuwa Point 8 nyuma ya Arsenal.
Walikuwa wakikimbia kipindi cha hesabu,wataelewa taratibu.
 
Yaani uchukue points 3 kwa arsenal Emirates kirahisi ? Ile mechi ya OT yenyewe hata kuikamata au kui dominate mlishindwa ,itakuwa Emirates?

Yangu macho
Kuna siku nilielezea kwenye uzi wenu kwanini tuliwafunga japokuwa mlituzidi kiuchezaji.

MBINU, MBINU, MBINU. Ile mechi hatukushinda kibahati tu na pale tulikuwa vibaya tukacheza counter attack football. Sasa hivi tunapiga kotekote maana defensively tume-improve na pasi pia tunaziweza, kwenye timu zilizotengeneza nafasi nyingi msimu huu tupo. Emirates ni uwanja tu.
 
Ni ndoto? Thats Mathematical possible, Tukishinda Mechi 3 zijazo bila kujali Matokeo ya wengine
1. Tunakua point moja Nyuma ya mshindi wa Pili City
2. Tunakuwa Point 8 nyuma ya Arsenal.
Ukisikia hesabu za kufikirika ndio hizi sasa
 
Jamaa ana stress achana nae. Sio kwa arsenal hii. Kwanza kuilinganisha arsenal na man u hii ni makosa sana
Arsenal ya kawaida sana na jana defense yenu imekuwa exposed na Brighton.

Brighton ndiyo timu pekee ukiacha United imeonyesha udhaifu wenu ni vile tu na wao walikuwa na makosa mengi ya kiulinzi na udakaji.
 
The real test kwa Arsenal ni top 6 clubs tu.

United tuliwaonyesha jinsi mlivyo weupe.

Liverpool mlimpiga kwa margin ya goli 1 akiwa kawakimbiza mkapata penalty.

Spurs alipotea baada ya red card na ndiyo mkaweza kumkimbiza kwa kila eneo.

Chelsea vichaa tu.

Brace yourself, a storm is coming.
Na Nyie mlitufunga tukiwaje, ule mchezo tuliteleza tu, Kwa Arsenal kwa sasa the real test ni Man City tu...wengine labda wabahatishe.
 
Kwa mashabiki waliopo Afrika, upinzani wa Arsenal dhidi ya Manchester united sijui utaishi lini.

Nyakati zile timu mbili hizi zilipokuwa kwenye kiwango bora tulishuhudia upinzani wa maneno usiokwisha.

kushuka kwa viwango kwa timu zote mbili nilitegemea upinzani wao utafishwa na ujio wa timu kama chelsea na manchester city ila hali bado imebaki kuwa vile vile.

Ni makelele yasiokwisha.
Mashabiki wa timu mbili hizi wanahitaji tuzo maalumu.
 
The real test kwa Arsenal ni top 6 clubs tu.

United tuliwaonyesha jinsi mlivyo weupe.

Liverpool mlimpiga kwa margin ya goli 1 akiwa kawakimbiza mkapata penalty.

Spurs alipotea baada ya red card na ndiyo mkaweza kumkimbiza kwa kila eneo.

Chelsea vichaa tu.

Brace yourself, a storm is coming.
Rudia tena game ya united vs Arsenal alafu uje kuandika upya ,najua itakusaidia kujiamdaa kisaikolojia namna utakavyopigika hapo Emirate,najua kuwa wajua ila nataka ufanye reinforcement.....tuliwapigia soka la uhakika....

Emirates stadium ni KABULI LA WAGAGAGIGIKOKO KAMA NYINYI

ATMOSPHERE YA PALE HAMUWEZI KUIKABILI
MTAPIGIKA MCHAKAE
 
Lini united aliwahi dominate game na aseno

Toka enzi ya wenger nyie ndio mnaokamata game ila ubao sasa unasomaje mi sijui
Aisee kama kuna ukweli hivi maana hata ile mechi ambayo United anashinda goli 8-2 Arsenal aliongoza ball possession. Nakumbuka hata mechi ya mwaka 2001 ambayo United alishinda goli 6-1 pia Arsenal aliongoza kwa kumiliki mpira.
 
Arsenal ya kawaida sana na jana defense yenu imekuwa exposed na Brighton.

Brighton ndiyo timu pekee ukiacha United imeonyesha udhaifu wenu ni vile tu na wao walikuwa na makosa mengi ya kiulinzi na udakaji.
Kwamba????🦻🦻 Ongeza volume kidooooogooo....
images%20(90).jpg
 
Full fit Rashford na Martial, City anafungika.
Mkuu Chief mie huwa unanivutia sana kwa namna ulivyo optimistic na timu yetu hata iwe ovyo kiasi gani.
Vile vile sijawahi kuona ukimkosoa mchezaji yeyote wa united hata awe out of form kiasi gani,utapata positive 2/3 utamsemea tu.

Mfano mzuri ni kuhusu Anthony,kijana ameanza kuwakatisha tamaa mashabiki nami nikiwa mmoja wao lakini umemtetea kwenye angle ya defensive contribution yake kama vile alikuja mahsusi kwa ajili ya hili.

Wewe ni mfia timu kwakweli mkuu,big up.
 
Back
Top Bottom