Encryption
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 999
- 1,356
Mwisho wa mwaka tuna Mbweha
Wakipigwa tunaingia top 4![]()

Mwisho wa mwaka tuna Mbweha
Wakipigwa tunaingia top 4![]()





Aache kucheza na jukwaa.. itamcost snAnthony anazingua sana...abadilike ligi itamkataa soon akiendelea hivi.
Alisikika hayawan mmoja.Aisee Casemiro tumipigwa alisikika mlevi mmoja wa gongo akipayuka.
Tumeshinda lakini kuna maeneo tunahitaji kuyaboresha sana hususan dirisha hili..
1. Hatuna namba tisa, mipira ming ilkua inaingizwa kwany box haswa kipnd cha pili mfungaji hayupo
2. Fullback zetu butu kabisa kuna maeneo unaona kabisa zinatucost sn
3. Antony ni mchezaji wa kawaida sn
4. Casemiro![]()
Average player
Mtakuja kukubali tu







Kwa ile budget waliyoitumia kwa Ronaldo wajilipue kumsajili Kylian Mbappé watu tufurahi.Tukipata striker mmoja ,,Ila sokoni kwa Sasa Kuna striker ya maana ?
Mbappe aende kucheza manyua? Kuwa seriousKwa ile budget waliyoitumia kwa Ronaldo wajilipue kumsajili Kylian Mbappé watu tufurahi. View attachment 2460905
Mbappe aende kucheza manyua? Kuwa serious
Zile tetes kuwa January hamna hela Zina Ukweli ndani yake , January hii tegemeeni sajili za mikopo
Erik ten Hag is determined to add to his attack but #mufc declined to go for Cody Gakpo due to finances and the decision has now been made that only loans in January are affordable. [@lauriewhitwell]-Tier 1
Mbape sio namba 9, hana tofaut na Rashford wote wanapenda tokea kushotoKwa ile budget waliyoitumia kwa Ronaldo wajilipue kumsajili Kylian Mbappé watu tufurahi. View attachment 2460905
Tumeshinda lakini kuna maeneo tunahitaji kuyaboresha sana hususan dirisha hili..
1. Hatuna namba tisa, mipira ming ilkua inaingizwa kwany box haswa kipnd cha pili mfungaji hayupo
2. Fullback zetu butu kabisa kuna maeneo unaona kabisa zinatucost sn
3. Antony ni mchezaji wa kawaida sn
4. Casemiro![]()


kwamba Anthony Daniel James WA pauni 100