Alisikika hayawan mmoja.Aisee Casemiro tumipigwa alisikika mlevi mmoja wa gongo akipayuka.
Tumeshinda lakini kuna maeneo tunahitaji kuyaboresha sana hususan dirisha hili..
1. Hatuna namba tisa, mipira ming ilkua inaingizwa kwany box haswa kipnd cha pili mfungaji hayupo
2. Fullback zetu butu kabisa kuna maeneo unaona kabisa zinatucost sn
3. Antony ni mchezaji wa kawaida sn
4. Casemiro![]()
Average player
Mtakuja kukubali tu







Kwa ile budget waliyoitumia kwa Ronaldo wajilipue kumsajili Kylian Mbappé watu tufurahi.Tukipata striker mmoja ,,Ila sokoni kwa Sasa Kuna striker ya maana ?
Mbappe aende kucheza manyua? Kuwa seriousKwa ile budget waliyoitumia kwa Ronaldo wajilipue kumsajili Kylian Mbappé watu tufurahi. View attachment 2460905
Mbappe aende kucheza manyua? Kuwa serious
Zile tetes kuwa January hamna hela Zina Ukweli ndani yake , January hii tegemeeni sajili za mikopo
Erik ten Hag is determined to add to his attack but #mufc declined to go for Cody Gakpo due to finances and the decision has now been made that only loans in January are affordable. [@lauriewhitwell]-Tier 1
Mbape sio namba 9, hana tofaut na Rashford wote wanapenda tokea kushotoKwa ile budget waliyoitumia kwa Ronaldo wajilipue kumsajili Kylian Mbappé watu tufurahi. View attachment 2460905
Tumeshinda lakini kuna maeneo tunahitaji kuyaboresha sana hususan dirisha hili..
1. Hatuna namba tisa, mipira ming ilkua inaingizwa kwany box haswa kipnd cha pili mfungaji hayupo
2. Fullback zetu butu kabisa kuna maeneo unaona kabisa zinatucost sn
3. Antony ni mchezaji wa kawaida sn
4. Casemiro![]()


kwamba Anthony Daniel James WA pauni 100Kwa January hii uongo. Wa-negotiate na ATM kwa Felix wamchukue kwa mkopo hata wasipoweka kipengele cha kumuuza.Which striker should Manchester United sign this January?
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2461405
grazzer's wanasema wao sasa wanataka tu kuuza timu ili wakafie mbele na si kusajili wanasema usajili wao walisha fanya kiangazi ,so kwa muda huu labda mfanye sajili za mikopo, hawawezi ingiliwa wakati wao ni wakusepa muda wowote.Kwa January hii uongo. Wa-negotiate na ATM kwa Felix wamchukue kwa mkopo hata wasipoweka kipengele cha kumuuza.
Next summer tuingie sokoni na budget ya uhakika. Harry Kane au Ivan Toney (akikutwa hana makosa) naona mmoja wapo atatufaa sana au kocha na bodi watakayependekeza.
Thibitisha hii kauliKiangazi walimwaga pesa mingi mingi €250m ,hivo muwe na shukrani
Hata pesa ingekuwepo kusajili striker mzuri January ni ngumu sana. Wafanye loan deal tu, mchezaji anayeweza kucheza CF aliyepo sokoni kwa mkopo ni Joao Felix. Sidhani kama kuna striker mwingine kutoka ligi 5 bora anaweza kusajiliwa kwa mkopo.grazzer's wanasema wao sasa wanataka tu kuuza timu ili wakafie mbele na si kusajili wanasema usajili wao walisha fanya kiangazi ,so kwa muda huu labda mfanye sajili za mikopo, hawawezi ingiliwa wakati wao ni wakusepa muda wowote.
Kiangazi walimwaga pesa mingi mingi €250m ,hivo muwe na shukrani
Manchester United have spent £211.5 million (€245m) on transfers this summer, in what was Erik ten Hag's first season in the Old TraffordThibitisha hii kauli
Chief-Mkwawa hivi ni kweli glazer walimwaga euro millioni 250 majira ya kiangazi?
Nilikosea kidogoHata pesa ingekuwepo kusajili striker mzuri January ni ngumu sana. Wafanye loan deal tu, mchezaji anayeweza kucheza CF aliyepo sokoni kwa mkopo ni Joao Felix. Sidhani kama kuna striker mwingine kutoka ligi 5 bora anaweza kusajiliwa kwa mkopo.
2022 summer Glazers walitoa €225m na siyo €250m.