Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumeshinda lakini kuna maeneo tunahitaji kuyaboresha sana hususan dirisha hili..

1. Hatuna namba tisa, mipira ming ilkua inaingizwa kwany box haswa kipnd cha pili mfungaji hayupo

2. Fullback zetu butu kabisa kuna maeneo unaona kabisa zinatucost sn

3. Antony ni mchezaji wa kawaida sn

4. Casemiro
 
Picha la kufungia mwaka🔥🔥🔥
 

Attachments

  • Screenshot_2022-12-28-01-31-09-63.jpg
    Screenshot_2022-12-28-01-31-09-63.jpg
    122.1 KB · Views: 16
Tumeshinda lakini kuna maeneo tunahitaji kuyaboresha sana hususan dirisha hili..

1. Hatuna namba tisa, mipira ming ilkua inaingizwa kwany box haswa kipnd cha pili mfungaji hayupo

2. Fullback zetu butu kabisa kuna maeneo unaona kabisa zinatucost sn

3. Antony ni mchezaji wa kawaida sn

4. Casemiro

Fullback na No;9 tayar 10Hag ameshapeleka mapendekezo kwenye Board ni suala wao kutoa mtonyo wa2 waingie sokon
 
Kwa ile budget waliyoitumia kwa Ronaldo wajilipue kumsajili Kylian Mbappé watu tufurahi. View attachment 2460905
Mbappe aende kucheza manyua? Kuwa serious

Zile tetes kuwa January hamna hela Zina Ukweli ndani yake , January hii tegemeeni sajili za mikopo

Erik ten Hag is determined to add to his attack but #mufc declined to go for Cody Gakpo due to finances and the decision has now been made that only loans in January are affordable. [@lauriewhitwell]-Tier 1
 
Mbappe aende kucheza manyua? Kuwa serious

Zile tetes kuwa January hamna hela Zina Ukweli ndani yake , January hii tegemeeni sajili za mikopo

Erik ten Hag is determined to add to his attack but #mufc declined to go for Cody Gakpo due to finances and the decision has now been made that only loans in January are affordable. [@lauriewhitwell]-Tier 1


Confirmed Hatujamsajili Gakpo sababu Timu haina Hela.

So Either mkopo ama Hatusajili January ama anakuja Mchezaji wa Bure kama depay.
 
Tumeshinda lakini kuna maeneo tunahitaji kuyaboresha sana hususan dirisha hili..

1. Hatuna namba tisa, mipira ming ilkua inaingizwa kwany box haswa kipnd cha pili mfungaji hayupo

2. Fullback zetu butu kabisa kuna maeneo unaona kabisa zinatucost sn

3. Antony ni mchezaji wa kawaida sn

4. Casemiro
kwamba Anthony Daniel James WA pauni 100

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom