Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumeshinda lakini kuna maeneo tunahitaji kuyaboresha sana hususan dirisha hili..

1. Hatuna namba tisa, mipira ming ilkua inaingizwa kwany box haswa kipnd cha pili mfungaji hayupo

2. Fullback zetu butu kabisa kuna maeneo unaona kabisa zinatucost sn

3. Antony ni mchezaji wa kawaida sn

4. Casemiro[emoji91][emoji91][emoji91][emoji119]
 
Picha la kufungia mwaka🔥🔥🔥
 

Attachments

  • Screenshot_2022-12-28-01-31-09-63.jpg
    Screenshot_2022-12-28-01-31-09-63.jpg
    122.1 KB · Views: 24
Tumeshinda lakini kuna maeneo tunahitaji kuyaboresha sana hususan dirisha hili..

1. Hatuna namba tisa, mipira ming ilkua inaingizwa kwany box haswa kipnd cha pili mfungaji hayupo

2. Fullback zetu butu kabisa kuna maeneo unaona kabisa zinatucost sn

3. Antony ni mchezaji wa kawaida sn

4. Casemiro[emoji91][emoji91][emoji91][emoji119]

Fullback na No;9 tayar 10Hag ameshapeleka mapendekezo kwenye Board ni suala wao kutoa mtonyo wa2 waingie sokon
 
Back
Top Bottom