Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,165
- 123,284
Wakati naandika hiyo comment ndio nimeona hapa ikikataliwaOffside
Wakati naandika hiyo comment ndio nimeona hapa ikikataliwaOffside
Kuuruka tu ni sehemu ya kumhadaa kipa huku ukiwa offside.Refa kazingua, Casemiro hakucheza mguu wa yule jamaa, jamaa aliuruka sijui hata hiyo foul kaiamuaje
Analazimisha kufunga
Anthony amepatwa na nini?
HujanielewaKuuruka tu ni sehemu ya kumhadaa kipa huku ukiwa offside.
Ni offside
Kazi nzuri ya MwlSema Goal la Rashford ni bonge la goli pasi ya Eriksen unaombea mkopo Bank
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ana bahati mbaya leoAntony wa Brazil mh
Super subFred
3-0![]()
Nipeni like zangu kwa utabiriUshindi wa tatu 3 unatuhusu Leo
