Super subFred
3-0[emoji91][emoji91][emoji91]
Nipeni like zangu kwa utabiriUshindi wa tatu 3 unatuhusu Leo
[emoji23]Mwisho wa mwaka tuna Mbweha
Wakipigwa tunaingia top 4 [emoji123][emoji123]
Aache kucheza na jukwaa.. itamcost snAnthony anazingua sana...abadilike ligi itamkataa soon akiendelea hivi.
Alisikika hayawan mmoja.Aisee Casemiro tumipigwa alisikika mlevi mmoja wa gongo akipayuka.
Tumeshinda lakini kuna maeneo tunahitaji kuyaboresha sana hususan dirisha hili..
1. Hatuna namba tisa, mipira ming ilkua inaingizwa kwany box haswa kipnd cha pili mfungaji hayupo
2. Fullback zetu butu kabisa kuna maeneo unaona kabisa zinatucost sn
3. Antony ni mchezaji wa kawaida sn
4. Casemiro[emoji91][emoji91][emoji91][emoji119]
Average player
Mtakuja kukubali tu