Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ander Herrera: “Leaving was difficult because six months before I expected an offer to stay. It's not the time to speak ill of someone and I'm not going to do it, but after my third season, I expected a little more from the club at that time.”


#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221217_200004_149.jpg
 
Manchester United are reportedly planning a €50m (£43.1m) bid for Cody Gakpo

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221217_195955_613.jpg
 
Antonio Valencia: "It was too bad Cristiano Ronaldo left Manchester United in the way he did. A player like him should leave a club by walking off the pitch to applause at a sold-out stadium. The people there loved him."

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
Ndugu wazee, wakati tukirejea kwenye msimu wa mpira baada ya World Cup naomba mnisaidie link ya kutazama mpira online. Ile link ya Domain Seized by Law Enforcement tuliyokuwa tunatazamia mpira imefungiwa rasmi na magaidi. Natanguliza shukrani.
1671425411289.png
 
Raisi wa nchi ya Argentina Alberto Ángel Fernández Pérez amempongeza mno Lisandro Martinez kwa kuiwezesha nchi yake kutwaa kombe la dunia, Pia ameishukuru sana club ya Manchester United kwa mchango wake mkubwa wa kuwang'arisha wachezaji wa Argentina duniani, akitolea mfano wa Carlos Tevez raisi Fernández amesema anaandaa memorandum of understanding kati ya Argentina na United ili raia yoyote wa Argentina anapotaka kucheza soka nje ya nchi kipaumbele cha kwanza iwe kwenda kucheza soka kwenye club kubwa zaidi ya Manchester United.
Raisi Alberto Ángel Fernández Pérez alikua anaongea kwa hisia kali mpaka machozi yalikua yanamtiririka.

#Viva Lisandro Martinez
#Viva Manchester United
#Viva La Albiceleste
 
Raisi wa nchi ya Argentina Alberto Ángel Fernández Pérez amempongeza mno Lisandro Martinez kwa kuiwezesha nchi yake kutwaa kombe la dunia, Pia ameishukuru sana club ya Manchester United kwa mchango wake mkubwa wa kuwang'arisha wachezaji wa Argentina duniani, akitolea mfano wa Carlos Tevez raisi Fernández amesema anaanda memorandum of understanding kati ya Argentina na United ili raia yoyote wa Argentina anapotoka kucheza soka nje ya nchi kipaumbele cha kwanza iwe kwenda kucheza soka kwenye club kubwa zaidi ya Manchester United.
Raisi Alberto Ángel Fernández Pérez alikua anaongea kwa hisia kali mpaka machozi yalikua yanamtiririka.

#Viva Lisandro Martinez
#Viva Manchester United
#Viva La Albiceleste


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mechi ya mwisho Varane kuichezea united alipata majeraha yaliyopelekea kuwa na wasi wasi wa kuliwakilisha taifa la ufaransa kwenye mashindano ya kombe la dunia,jamaa alilia kama mtoto mdogo vile. Jana wakati akiliwakilisha taifa la ufaransa kwenye kombe la dunia alipata majeraha yaliyofanya akatolewa uwanjani lakini hakuwa akiwaza kuhusu kuzikosa mechi kadhaa za united msimu utakapoanza wiki ijayo
.
Ndio maana nilimsapoti sana Licha kunyanyua kwapa QATAR dhidi ya huyu mfaransa.
 
Mechi ya mwisho Varane kuichezea united alipata majeraha yaliyopelekea kuwa na wasi wasi wa kuliwakilisha taifa la ufaransa kwenye mashindano ya kombe la dunia,jamaa alilia kama mtoto mdogo vile. Jana wakati akiliwakilisha taifa la ufaransa kwenye kombe la dunia alipata majeraha yaliyofanya akatolewa uwanjani lakini hakuwa akiwaza kuhusu kuzikosa mechi kadhaa za united msimu utakapoanza wiki ijayo
.
Ndio maana nilimsapoti sana Licha kunyanyua kwapa QATAR dhidi ya huyu mfaransa.
Varane mbona hajaumia? Si alitolewa tu amechoka?
 
Mechi ya mwisho Varane kuichezea united alipata majeraha yaliyopelekea kuwa na wasi wasi wa kuliwakilisha taifa la ufaransa kwenye mashindano ya kombe la dunia,jamaa alilia kama mtoto mdogo vile. Jana wakati akiliwakilisha taifa la ufaransa kwenye kombe la dunia alipata majeraha yaliyofanya akatolewa uwanjani lakini hakuwa akiwaza kuhusu kuzikosa mechi kadhaa za united msimu utakapoanza wiki ijayo
.
Ndio maana nilimsapoti sana Licha kunyanyua kwapa QATAR dhidi ya huyu mfaransa.
Varane Jana alitera sio injury
 
Varane mbona hajaumia? Si alitolewa tu amechoka?
Hata kama aliumia, michuano ya Wc inafanyika mara 1 kwa kipindi cha miaka 4 tena mechi zake mpaka kufika fainali hazizidi 10, ila mechi za ligi pamoja na mashindano mengine mbalimbali ya club ni zaidi ya 60 tena kila mwaka yapo.
Kikubwa ufaransa tayari alishachukua WC 2018 hii ilitakiwa wachukue wengine.
 
Back
Top Bottom