Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,178
- 37,475
Squad playerHivi tokea Wc ianze huyo Salima ashawahi kucheza hata mechi moja?
Squad playerHivi tokea Wc ianze huyo Salima ashawahi kucheza hata mechi moja?
Nikimtizama dogo ni km najiona mimi vile.. Dogo akitulia atakuja kuwwa midfielder mzuri saanaAzzedine Ounahi
Dogo nimemwelewa sana..Barca tayari wanamtaka
Kwangu varane itapendeza zaidiKati ya Varane na Lisandro ni nani unataka abebe ndoo leo?
Mimi Lisandro all the way..
Jumatano tunaanza tena kuliangalia chama..EFL cup vs Burnley.
Raisi wa nchi ya Argentina Alberto Ángel Fernández Pérez amempongeza mno Lisandro Martinez kwa kuiwezesha nchi yake kutwaa kombe la dunia, Pia ameishukuru sana club ya Manchester United kwa mchango wake mkubwa wa kuwang'arisha wachezaji wa Argentina duniani, akitolea mfano wa Carlos Tevez raisi Fernández amesema anaandaa memorandum of understanding kati ya Argentina na United ili raia yoyote wa Argentina anapotaka kucheza soka nje ya nchi kipaumbele cha kwanza iwe kwenda kucheza soka kwenye club kubwa zaidi ya Manchester United.
Raisi wa nchi ya Argentina Alberto Ángel Fernández Pérez amempongeza mno Lisandro Martinez kwa kuiwezesha nchi yake kutwaa kombe la dunia, Pia ameishukuru sana club ya Manchester United kwa mchango wake mkubwa wa kuwang'arisha wachezaji wa Argentina duniani, akitolea mfano wa Carlos Tevez raisi Fernández amesema anaanda memorandum of understanding kati ya Argentina na United ili raia yoyote wa Argentina anapotoka kucheza soka nje ya nchi kipaumbele cha kwanza iwe kwenda kucheza soka kwenye club kubwa zaidi ya Manchester United.
Raisi Alberto Ángel Fernández Pérez alikua anaongea kwa hisia kali mpaka machozi yalikua yanamtiririka.
#Viva Lisandro Martinez
#Viva Manchester United
#Viva La Albiceleste






Varane mbona hajaumia? Si alitolewa tu amechoka?Mechi ya mwisho Varane kuichezea united alipata majeraha yaliyopelekea kuwa na wasi wasi wa kuliwakilisha taifa la ufaransa kwenye mashindano ya kombe la dunia,jamaa alilia kama mtoto mdogo vile. Jana wakati akiliwakilisha taifa la ufaransa kwenye kombe la dunia alipata majeraha yaliyofanya akatolewa uwanjani lakini hakuwa akiwaza kuhusu kuzikosa mechi kadhaa za united msimu utakapoanza wiki ijayo
.
Ndio maana nilimsapoti sana Licha kunyanyua kwapa QATAR dhidi ya huyu mfaransa.
Inawezekana lakini kwa mazingira aliyofanyiwa sub,ni kama aliumia akashindwa kuendelea na mchezo.Varane mbona hajaumia? Si alitolewa tu amechoka?
report nilizoziona ni uchovu tu.Inawezekana lakini kwa mazingira aliyofanyiwa sub,ni kama aliumia akashindwa kuendelea na mchezo.
Varane Jana alitera sio injuryMechi ya mwisho Varane kuichezea united alipata majeraha yaliyopelekea kuwa na wasi wasi wa kuliwakilisha taifa la ufaransa kwenye mashindano ya kombe la dunia,jamaa alilia kama mtoto mdogo vile. Jana wakati akiliwakilisha taifa la ufaransa kwenye kombe la dunia alipata majeraha yaliyofanya akatolewa uwanjani lakini hakuwa akiwaza kuhusu kuzikosa mechi kadhaa za united msimu utakapoanza wiki ijayo
.
Ndio maana nilimsapoti sana Licha kunyanyua kwapa QATAR dhidi ya huyu mfaransa.
Hata kama aliumia, michuano ya Wc inafanyika mara 1 kwa kipindi cha miaka 4 tena mechi zake mpaka kufika fainali hazizidi 10, ila mechi za ligi pamoja na mashindano mengine mbalimbali ya club ni zaidi ya 60 tena kila mwaka yapo.Varane mbona hajaumia? Si alitolewa tu amechoka?