Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ogopa mataperi wachezaji wa Manchester hawajaludi bado kutoka kwenye mashindano ya kombe la dunia.
1670648193401.jpg
 
Machezaji yenu yanaenda kuharibu kwenye timu zao za taifa ..yani muna machezaji ya kifala sana eti Fred, Antony hahaha hawa wameigharimu Burazil kama wanavyoigharimu timu lenu hili la mchongo
 
Naomba mwenye line up..

Aiweke hapa Kwetu sie mechi bado inaendelea.

Nimepata mwenyewe mamaaezenu machawa.
Screenshot_20221210-225440.jpg


Beki hii lol.

Hiyo middle midfield!! Maajabu
 
Wewe jamaa huna baya ,unaifatilia man u deep , sio kama kina Flano

Wape elimu hasa kina Flano anakwambia Apple wanainunua man u
mkuu Aaron Arsenal mimi usinichukulie serious sana, kazi yangu ni kuchangamsha tu jukwaa kwa utani wa hapa na pale, nalipenda zaidi lile jukwaa lenu maana halina tofauti yoyote na jukwaa la jokes/utani.
 
Back
Top Bottom