verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,150
- 6,256
Msijikaushe mlikua na gemu leo na matokeo ni kama yanavyoonekana hapo chini
Mndengereko wa Bungu.Kitoabu nimekufatilia unawapamba Morocco Sana, unatetea Sana hiyo Kauli ya Sufiane, je wewe mpemba au Muarabu wa Oman?
Acheni kukaza misuli ya shingo, hili tangazo la tahadhari mbona lilitoka mapema sana kabla ya hio mechi.
Wewe jamaa huna baya ,unaifatilia man u deep , sio kama kina Flano
tayari wameanza kufunguka, wale mliokuwa mnabisha kuhusu valuation ya kina Glazzer, Tier 1 huyu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu Aaron Arsenal mimi usinichukulie serious sana, kazi yangu ni kuchangamsha tu jukwaa kwa utani wa hapa na pale, nalipenda zaidi lile jukwaa lenu maana halina tofauti yoyote na jukwaa la jokes/utani.Wewe jamaa huna baya ,unaifatilia man u deep , sio kama kina Flano
Wape elimu hasa kina Flano anakwambia Apple wanainunua man u [emoji1787]
Izo coment raia wameharibu balaa
tayari wameanza kufunguka, wale mliokuwa mnabisha kuhusu valuation ya kina Glazzer, Tier 1 huyu
Unazingua Sana wewe jamaa , nataka tukae pamoja mechi ya karibuni hapa Arsenal vs man u[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu Aaron Arsenal mimi usinichukulie serious sana, kazi yangu ni kuchangamsha tu jukwaa kwa utani wa hapa na pale, nalipenda zaidi lile jukwaa lenu maana halina tofauti yoyote na jukwaa la jokes/utani.
Ana mapafu ya mbwaAzzedine Ounahi
Dogo nimemwelewa sana..Barca tayari wanamtaka
Dogo yupo on fire.[emoji2393] goals in his last [emoji2395] starts
Amad Diallo is on [emoji91]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]
man utd |View attachment 2445406
Huyu dogo ndio ana dhihirisha kua Manchester United inachuki na wachezaji weusi kutoka Africa.[emoji2393] goals in his last [emoji2395] starts
Amad Diallo is on [emoji91]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]
man utd |View attachment 2445406
Dogo ana potential kuliko SanchoHuyu dogo ndio ana dhihirisha kua Manchester United inachuki na wachezaji weusi kutoka Africa.