Yaan hiyo michezaji ndio imesababsha brazil ikatolewa, sijui hat kocha kawaingiza ya nn.Dah Fred plus Anthony![]()
Yaan hiyo michezaji ndio imesababsha brazil ikatolewa, sijui hat kocha kawaingiza ya nn.Dah Fred plus Anthony![]()


Hata mimi itakua kajisahau kuweka za UTD.Chief-Mkwawa Hii application ulioiweka juzi naona leo imenigomea kuonyesha mechi ya manchester
Hakuna njia nyengine..
Hesgoal haifanyi kazi
Kipindi cha pili iko hewaniHata mimi itakua kajisahau kuweka za UTD.
Mndengereko wa Bungu.Kitoabu nimekufatilia unawapamba Morocco Sana, unatetea Sana hiyo Kauli ya Sufiane, je wewe mpemba au Muarabu wa Oman?
Acheni kukaza misuli ya shingo, hili tangazo la tahadhari mbona lilitoka mapema sana kabla ya hio mechi.
Wewe jamaa huna baya ,unaifatilia man u deep , sio kama kina Flano
tayari wameanza kufunguka, wale mliokuwa mnabisha kuhusu valuation ya kina Glazzer, Tier 1 huyu

Wewe jamaa huna baya ,unaifatilia man u deep , sio kama kina Flano
Wape elimu hasa kina Flano anakwambia Apple wanainunua man u![]()


mkuu Aaron Arsenal mimi usinichukulie serious sana, kazi yangu ni kuchangamsha tu jukwaa kwa utani wa hapa na pale, nalipenda zaidi lile jukwaa lenu maana halina tofauti yoyote na jukwaa la jokes/utani.
Izo coment raia wameharibu balaa
tayari wameanza kufunguka, wale mliokuwa mnabisha kuhusu valuation ya kina Glazzer, Tier 1 huyu