kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,902
- 18,061
Morocco washenzi Sana,,,baada ya kumtoa Spain walisema ule ushindi Ni kwa ajili ya waarabu wote na wamorocco!Ila usisisahau Morocco tunajambo letu.
Sisi ngoz nyeusi tunawashobokea,,, !
Morocco na ulaya Ni karb Sana ndo maana hawajioni Kama waafrica ! Nataka wachapike Kama ngoma !

