verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Gemu iliishaje wakuu tupeane updates
Sawa sawaOkay okay View attachment 2439213
Ila usisisahau Morocco tunajambo letu.Lazima mchezaji wa utd ashinde hii Wc
Licha - Argentina
Dalot/Bruno - Portugal
Fred/Anthony/Casemiro- Brazil
Mshindi yupo hapo, akitokea mshindi mwingine Ni ngekewa !!!!
Mtu mbadi huyo.Sofyan Amrabat..huyu mwamba mnamwonaje?
Morocco washenzi Sana,,,baada ya kumtoa Spain walisema ule ushindi Ni kwa ajili ya waarabu wote na wamorocco!Ila usisisahau Morocco tunajambo letu.
Wamekanusha Portugal, walioreport ni Marca na Daily Mail vyombo ambavyo ni hovyo kabisa.Kuna tetesi cr7 anaweza kuondoka kambini means mechi zijazo hatacheza,,, inasemekana hivi karibuni hawana maelewano mazuri na kocha wake,,, huyu jamaa Ni kirusi
Chief-Mkwawa
Mkuu hili jukwaa la Man UMorocco washenzi Sana,,,baada ya kumtoa Spain walisema ule ushindi Ni kwa ajili ya waarabu wote na wamorocco!
Sisi ngoz nyeusi tunawashobokea,,, !
Morocco na ulaya Ni karb Sana ndo maana hawajioni Kama waafrica ! Nataka wachapike Kama ngoma !
Mkuu hili jukwaa la Man UMorocco washenzi Sana,,,baada ya kumtoa Spain walisema ule ushindi Ni kwa ajili ya waarabu wote na wamorocco!
Sisi ngoz nyeusi tunawashobokea,,, !
Morocco na ulaya Ni karb Sana ndo maana hawajioni Kama waafrica ! Nataka wachapike Kama ngoma !
Dua lako ni la kuku tu, kamwe halimpati mwewe.Morocco washenzi Sana,,,baada ya kumtoa Spain walisema ule ushindi Ni kwa ajili ya waarabu wote na wamorocco!
Sisi ngoz nyeusi tunawashobokea,,, !
Morocco na ulaya Ni karb Sana ndo maana hawajioni Kama waafrica ! Nataka wachapike Kama ngoma !
Kitoabu nimekufatilia unawapamba Morocco Sana, unatetea Sana hiyo Kauli ya Sufiane, je wewe mpemba au Muarabu wa Oman?Dua lako ni la kuku tu, kamwe halimpati mwewe.
Ninacho jua mimi Morocco inatokea Africa, hilo mpaka huyo Sufiane na wewe munalijua hilo.
Nibora niwashabikie hao, kuliko kuwashabikia wazungu kutoka bara tofauti na Africa.
Wapemba tumefanyaje tena?Kitoabu nimekufatilia unawapamba Morocco Sana, unatetea Sana hiyo Kauli ya Sufiane, je wewe mpemba au Muarabu wa Oman?
Huyu amenifanya niwaombee BRA dua mbaya kwasababu ya mbwembwe zakeMan u, Antony mmepgwa aisee.






