Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Okay okay
Screenshot_20221208-075947_Instagram.jpg
 
Ila usisisahau Morocco tunajambo letu.
Morocco washenzi Sana,,,baada ya kumtoa Spain walisema ule ushindi Ni kwa ajili ya waarabu wote na wamorocco!

Sisi ngoz nyeusi tunawashobokea,,, !

Morocco na ulaya Ni karb Sana ndo maana hawajioni Kama waafrica ! Nataka wachapike Kama ngoma !
 
Kuna tetesi cr7 anaweza kuondoka kambini means mechi zijazo hatacheza,,, inasemekana hivi karibuni hawana maelewano mazuri na kocha wake,,, huyu jamaa Ni kirusi

Chief-Mkwawa
 
Morocco washenzi Sana,,,baada ya kumtoa Spain walisema ule ushindi Ni kwa ajili ya waarabu wote na wamorocco!

Sisi ngoz nyeusi tunawashobokea,,, !

Morocco na ulaya Ni karb Sana ndo maana hawajioni Kama waafrica ! Nataka wachapike Kama ngoma !
Mkuu hili jukwaa la Man U


Mi nimeangalia Mechi ya Senegal na Uingereza kulikuwa na mashabiki wengi wa Morocco naongelea maelfu walikuwa wanawapa Support wenzao wa senegal angalia hicho ki clip nimeweka.
 
Morocco washenzi Sana,,,baada ya kumtoa Spain walisema ule ushindi Ni kwa ajili ya waarabu wote na wamorocco!

Sisi ngoz nyeusi tunawashobokea,,, !

Morocco na ulaya Ni karb Sana ndo maana hawajioni Kama waafrica ! Nataka wachapike Kama ngoma !
Mkuu hili jukwaa la Man U


Mi nimeangalia Mechi ya Senegal na Uingereza kulikuwa na mashabiki wengi wa Morocco naongelea maelfu walikuwa wanawapa Support wenzao wa senegal angalia hicho ki clip nimeweka.
 
After 16 years of immense service, our club doctor, Steve McNally, is to leave Manchester United.

Under his leadership, the club has been at the forefront of innovation in sports medicine & science.

We are enormously grateful to Steve & wish him every success in his new role.
1670518968583.png
 
Morocco washenzi Sana,,,baada ya kumtoa Spain walisema ule ushindi Ni kwa ajili ya waarabu wote na wamorocco!

Sisi ngoz nyeusi tunawashobokea,,, !

Morocco na ulaya Ni karb Sana ndo maana hawajioni Kama waafrica ! Nataka wachapike Kama ngoma !
Dua lako ni la kuku tu, kamwe halimpati mwewe.
Ninacho jua mimi Morocco inatokea Africa, hilo mpaka huyo Sufiane na wewe munalijua hilo.
Nibora niwashabikie hao, kuliko kuwashabikia wazungu kutoka bara tofauti na Africa.
 
Dua lako ni la kuku tu, kamwe halimpati mwewe.
Ninacho jua mimi Morocco inatokea Africa, hilo mpaka huyo Sufiane na wewe munalijua hilo.
Nibora niwashabikie hao, kuliko kuwashabikia wazungu kutoka bara tofauti na Africa.
Kitoabu nimekufatilia unawapamba Morocco Sana, unatetea Sana hiyo Kauli ya Sufiane, je wewe mpemba au Muarabu wa Oman?
 
Back
Top Bottom