Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wacha kuota Mzee , kwahiyo unakata kusema kwa Anthony tumepigwa au?
Anthony anajua... Ila Gakpo anajua zaidi... Gakpo asipofunga anakupa assist za kutosha.. Hapo dawa mi naona wawepo wote tu then tuone nani atafaulu na nani atafeli.. Maana kumekuwa na shida sana kwa wachezaji wa uholanzi kutoboa uingereza. Ni wachache wamehamia uingereza wakatoboa
 
Sancho anashida gani wakuu?..

Amekuwa nje kwa muda mrefu na sasa hivi hata Spain hajaenda na timu badala yake anafanya training mwenyewe.
Match fitness Hana,,,,ako na program maalumu, ndio maana wamefanya decision asiende Spain abaki Manchester kuendelea kujiweka fit,,,, ! Kumbuka ametoka injury,,,,

Sacho
AWB
Williams.,,, Bado hawajawa fit kiviiile !
 
Kesho
Screenshot_20221203-204416.jpg
 
Back
Top Bottom