Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kununua United kwa £4B ni bad investment unless uwe mfanyabiashara na shabiki wa United.
Hiyo ni kama 3.7B katika dollar, inaweza kuwa hela nyingi ila kumiliki tim kwenye premier league tena Club like Man Utd sio bad investment. Moja ya club 3 dunian zenye fanbase kubwa

Why unahisi Glazer family wahihusishe Rainee group, na why mwanzon walikataa offer ya Sir Jim Ratclife, now wanahitaj Bidding war na kiasi wanachokitaka watakipata tu.
 
Hizi ni biashara tusiongee kishabiki.

Chukua mfano United total profit yake last season ni £150m na Newcastle United ni £47m.

Halafu ununue United kwa £4B au zaidi bado ufanye investment kwenye infrastructure + players siyo chini ya £1.2B hapo kwenye £4B sijui kama inalipa na deni benki. Wakati huo kuna timu kama Newcastle imenunuliwa kwa £300m na inatengeneza faida ya £47m na kuna possibility ya ongezeko la mapato.

Ukipiga hesabu ni nani atakuwa kafanya biashara ya maana ambayo in 10 years ana faida ya kutosha na on top of that anaweza kuiuza club kwa thamani ya juu?!
Hapa kuna vitu Viwili kuna Thamani ya Club na Faida ya investment.

Thamani ya Club kama Manchester United ni kubwa mara kumi ya hiyo Newcastle. .
Ndio maana nikasema Manchester United ikiuzwa itakuwa ni zaidi ya £4billions.
Mfano mdogo Chelsea juzi imeuzwa kwa £3 billions na ushee.

Ujika kwenye faida ya investiments..
Hili ni Swala pana.
Wamiliki wengine Faida zao si direct. Mfano timu hizi zinazomilikiwa na Waarabu( PSG, Mancity na Newcastle) hazina faida ya maana ukilinganisha na investments wanazofanya.

Na hata Manchester united ikiuzwa mmiliki yeyote atakae kuja hakuna faida ( kifedha) ya maana atapata ukicompare na investiment atakayofanya.
 
Wayne Rooney: "It's sad to see the story of one of the greatest players of all time, Cristiano Ronaldo at Manchester United, ended like this. He was a good servant to the club. I wish him the best wherever he goes."

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
IMG_20221123_224359_036.jpg
 
United have now started exploring the market for a striker to sign in January.


#FabrizioRomano
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
IMG_20221123_224414_213.jpg
 
Sir Jim Ratcliffe will bid for #MUFC after the Glazers formally put the club on the market.

#JamesDucker
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
IMG_20221123_224424_254.jpg
 
Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,

Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua

Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,

Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,

Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,

Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
Watanzania wengi hawajui mpira, na kuna kundi la hawa waliofuata mpira kwa sababu ya betting ni tatizo kubwa zaidi.

Wanautazama mpira katika dimension moja tu ( Goals)
 
Avram Glazer about Cristiano Ronaldo contract terminated: “Well, I'll tell you about Cristiano Ronaldo - he's a great Manchester United player, I appreciate everything he's done for the club”.

“I wish Ronaldo the best luck in the future”.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221124_113941_367.jpg
 
Avram Glazer: “The board went through a process and decided to explore different strategical options for Manchester United”.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221124_113935_432.jpg
 
ICD are seen as a front runner and have a "net worth" of $305bn dollars.

Sir Jim Ratcliffe is also preparing to make the bid to buy Man United.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221124_113928_926.jpg
 
Official: Cristiano Ronaldo has been banned for two games and fined £50,000 by the FA for hitting a phone out of a fan's hand at Goodison Park last season. The ban will apply to domestic games at his next club.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
Back
Top Bottom