Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,

Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua

Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,

Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,

Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,

Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
Watanzania wengi hawajui mpira, na kuna kundi la hawa waliofuata mpira kwa sababu ya betting ni tatizo kubwa zaidi.

Wanautazama mpira katika dimension moja tu ( Goals)
 
Avram Glazer about Cristiano Ronaldo contract terminated: “Well, I'll tell you about Cristiano Ronaldo - he's a great Manchester United player, I appreciate everything he's done for the club”.

“I wish Ronaldo the best luck in the future”.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221124_113941_367.jpg
 
Avram Glazer: “The board went through a process and decided to explore different strategical options for Manchester United”.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221124_113935_432.jpg
 
ICD are seen as a front runner and have a "net worth" of $305bn dollars.

Sir Jim Ratcliffe is also preparing to make the bid to buy Man United.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221124_113928_926.jpg
 
Official: Cristiano Ronaldo has been banned for two games and fined £50,000 by the FA for hitting a phone out of a fan's hand at Goodison Park last season. The ban will apply to domestic games at his next club.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
Amancio Ortega, the owner of the Inditex empire that owns the fashion chain Zara, is interested in buying Manchester United. Ortega, 86, is worth $61.3billion.

#Forbes
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221124_214033_434.jpg
 
2۲Bruno

Bruno Fernandes played 90 minutes and Diogo Dalot was an unused substitute in ’s 3-2 win over .

Bruno registered two assists.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221124_213823_304.jpg
 
Glazzer wanataka 7B, sasa hivi kila Bilionea tunahusishwa nae.

Kama nilivyosema mwanzo.

Man Utd ni hot cake.

Mtu akiinunua kwa £7bn akiongeza thamani, miaka 10 ijayo ataiuza si chini ya £12bn.
 

Kama nilivyosema mwanzo.

Man Utd ni hot cake.

Mtu akiinunua kwa £7bn akiongeza thamani, miaka 10 ijayo ataiuza si chini ya £12bn.
Mkuu tutabishana sana hapa, akinunua Newcastle 12 baada ya miaka 12 anapata zaidi ya 20B
 
City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.
Boss, pengine hauko informed sana juu ya hili.
Ebu angalia hapa: The World’s Most Valuable Soccer Teams 2022: Real Madrid, Worth $5.1 Billion, Is Back On Top
4.6B vs. 4.25B; halafu angalia operating income. Hapo kumbuka United hana kikombe wala mafanikio makubwa sana uwanjani kwa karibu miaka 10 sasa. Shitty pamoja na mafanikio yao, bado wanalag behind kwa thamani, na operating income yao siyo kubwa kihivyo kuzidi United.

Haya yanasema kitu tofauti na ulichokisema hapo.
 
Glazzer alikuwa hawana hela ya kununua United, kwanini Bank iwape makapuku kama hawa pesa ndefu yote hio kuinunua United? Lazima kuna deal la chini ya kapeti wameingia ili Bank ifaidike, matokeo yake timu ambayo haikuwa na deni kwa zaidi ya miaka 100 imelipa Riba matrilioni ndani ya muda mfupi.
Boss, kumbuka tunaongelea first world country hapa. Acha hizi story za shithole countries.
Kwa miaka waliyokaa Glazers na underground movements dhidi ya Glazers, ingekuwa hivyo, ingejulikana mapema sana. Kuna Mancunians wapo pale kazi yao ni kufuatilia kila step ya Glazers; wangeyaona hayo mapema mno.
Pili, financial integrity kwa nchi za dunia ya kwanza ni kubwa mno kwa hilo kutojulikana.
 
Back
Top Bottom