Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Avram Glazer: “The board went through a process and decided to explore different strategical options for Manchester United”.

#RonaLdoFinallYOUT[emoji23][emoji469]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20221124_113935_432.jpg
 
ICD are seen as a front runner and have a "net worth" of $305bn dollars.

Sir Jim Ratcliffe is also preparing to make the bid to buy Man United.

#RonaLdoFinallYOUT[emoji23][emoji469]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20221124_113928_926.jpg
 
Official: Cristiano Ronaldo has been banned for two games and fined £50,000 by the FA for hitting a phone out of a fan's hand at Goodison Park last season. The ban will apply to domestic games at his next club.

#RonaLdoFinallYOUT[emoji23][emoji469]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
 
Bruno Fernandes’ last 4 games for Portugal:

[emoji460][emoji2402] vs. Czech Republic
[emoji777] vs. Spain
[emoji460][emoji460] vs. Nigeria
[emoji2402][emoji2402] vs. Ghana

#RonaLdoFinallYOUT[emoji23][emoji469]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
 
Amancio Ortega, the owner of the Inditex empire that owns the fashion chain Zara, is interested in buying Manchester United. Ortega, 86, is worth $61.3billion.

#Forbes
#RonaLdoFinallYOUT[emoji23][emoji469]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20221124_214033_434.jpg
 
2۲Bruno [emoji1201][emoji91]

[emoji1201] Bruno Fernandes played 90 minutes and Diogo Dalot was an unused substitute in [emoji1201]’s 3-2 win over [emoji1110].

Bruno registered two assists.

#RonaLdoFinallYOUT[emoji23][emoji469]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20221124_213823_304.jpg
 
Glazzer wanataka 7B, sasa hivi kila Bilionea tunahusishwa nae.

Kama nilivyosema mwanzo.

Man Utd ni hot cake.

Mtu akiinunua kwa £7bn akiongeza thamani, miaka 10 ijayo ataiuza si chini ya £12bn.
 

Kama nilivyosema mwanzo.

Man Utd ni hot cake.

Mtu akiinunua kwa £7bn akiongeza thamani, miaka 10 ijayo ataiuza si chini ya £12bn.
Mkuu tutabishana sana hapa, akinunua Newcastle 12 baada ya miaka 12 anapata zaidi ya 20B
 
City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.
Boss, pengine hauko informed sana juu ya hili.
Ebu angalia hapa: The World’s Most Valuable Soccer Teams 2022: Real Madrid, Worth $5.1 Billion, Is Back On Top
4.6B vs. 4.25B; halafu angalia operating income. Hapo kumbuka United hana kikombe wala mafanikio makubwa sana uwanjani kwa karibu miaka 10 sasa. Shitty pamoja na mafanikio yao, bado wanalag behind kwa thamani, na operating income yao siyo kubwa kihivyo kuzidi United.

Haya yanasema kitu tofauti na ulichokisema hapo.
 
Glazzer alikuwa hawana hela ya kununua United, kwanini Bank iwape makapuku kama hawa pesa ndefu yote hio kuinunua United? Lazima kuna deal la chini ya kapeti wameingia ili Bank ifaidike, matokeo yake timu ambayo haikuwa na deni kwa zaidi ya miaka 100 imelipa Riba matrilioni ndani ya muda mfupi.
Boss, kumbuka tunaongelea first world country hapa. Acha hizi story za shithole countries.
Kwa miaka waliyokaa Glazers na underground movements dhidi ya Glazers, ingekuwa hivyo, ingejulikana mapema sana. Kuna Mancunians wapo pale kazi yao ni kufuatilia kila step ya Glazers; wangeyaona hayo mapema mno.
Pili, financial integrity kwa nchi za dunia ya kwanza ni kubwa mno kwa hilo kutojulikana.
 
Kwani mkuu miaka 15 ama 20 iliopita Man city si alikuwa anacheza Championship?

Bruno Fernandes’ last 4 games for Portugal:

[emoji460][emoji2402] vs. Czech Republic
[emoji777] vs. Spain
[emoji460][emoji460] vs. Nigeria
[emoji2402][emoji2402] vs. Ghana

#RonaLdoFinallYOUT[emoji23][emoji469]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
Halafu cha ajabu leo Ronaldo kawa MoTM!
 
Mkuu tutabishana sana hapa, akinunua Newcastle 12 baada ya miaka 12 anapata zaidi ya 20B
Hiyo sio investment strategy ya kila mtu.

Kuna watu wanapigana vikumbo wanunue formula 1 teams ili tu iwe prestige kwao na hauzi kirahisi ili apate hela. Na unajua hizo formula 1 teams zinavyokula hela kila msimu.

So, sio kila investor anaenunua timu ya michezo ni kwa ajili ya fedha (capital growth or dividend). Roman Abramovich aliinunua Chelsea just for prestige mpaka alipolazimishwa kuiuza na hakua na mpango wa kuiuza.

Wamarekani mara nyingi wanaangalia faida ndo maana watu hawawapendi. Angalia Liverpool, Man Utd au Arsenal. Timu zimeyumba kwasababu hakuna significant investment wanaiweka baada ya kununua timu. Wao wanasubiria dividends tu.

Man Utd ya sasa ni dhahabu kwenye tope. Inunue Man Utd, jenga uwanja wa kisasa, weka facilities zinazohotajika, weka watu wa mpira wa kufanya maamuzi sahihi. Ndani ya misimu 10 thamani ina double.
 
Hiyo sio investment strategy ya kila mtu.

Kuna watu wanapigana vikumbo wanunue formula 1 teams ili tu iwe prestige kwao na hauzi kirahisi ili apate hela. Na unajua hizo formula 1 teams zinavyokula hela kila msimu.

So, sio kila investor anaenunua timu ya michezo ni kwa ajili ya fedha (capital growth or dividend). Roman Abramovich aliinunua Chelsea just for prestige mpaka alipolazimishwa kuiuza na hakua na mpango wa kuiuza.

Wamarekani mara nyingi wanaangalia faida ndo maana watu hawawapendi. Angalia Liverpool, Man Utd au Arsenal. Timu zimeyumba kwasababu hakuna significant investment wanaiweka baada ya kununua timu. Wao wanasubiria dividends tu.

Man Utd ya sasa ni dhahabu kwenye tope. Inunue Man Utd, jenga uwanja wa kisasa, weka facilities zinazohotajika, weka watu wa mpira wa kufanya maamuzi sahihi. Ndani ya misimu 10 thamani ina double.
hoja hii sijaikataa, ndio mtu anaweza nunua Man U kwa ajili ya prestige, ama hata kwa long term business in case huna haraka na faida, ila mtu anaengalia faida ya sasa haimake sense kununua UTD.
 
Boss, kumbuka tunaongelea first world country hapa. Acha hizi story za shithole countries.
Kwa miaka waliyokaa Glazers na underground movements dhidi ya Glazers, ingekuwa hivyo, ingejulikana mapema sana. Kuna Mancunians wapo pale kazi yao ni kufuatilia kila step ya Glazers; wangeyaona hayo mapema mno.
Pili, financial integrity kwa nchi za dunia ya kwanza ni kubwa mno kwa hilo kutojulikana.
kitu gani Exactly kisichojulikana? Bilioni moja pound iliotoka UTD kwenda Bank? dividends wanazochukua kina Glazzer? deni ambalo halilipwi mwaka wa 15? haya mambo mkuu yanaongelewa kila siku, yamejaa vyombo vyote vya habari wala sio siri.
 
Boss, pengine hauko informed sana juu ya hili.
Ebu angalia hapa: The World’s Most Valuable Soccer Teams 2022: Real Madrid, Worth $5.1 Billion, Is Back On Top
4.6B vs. 4.25B; halafu angalia operating income. Hapo kumbuka United hana kikombe wala mafanikio makubwa sana uwanjani kwa karibu miaka 10 sasa. Shitty pamoja na mafanikio yao, bado wanalag behind kwa thamani, na operating income yao siyo kubwa kihivyo kuzidi United.

Haya yanasema kitu tofauti na ulichokisema hapo.
tatizo nyie mnaongea ushabiki. ni simple math mimi nakupa 7B iwekeze, una option ya kununua
1. uinunue Man U pekee
2. ununue timu ndogo 22 kwa 300m

baada ya miaka 10 biashara ipi itakupa return zaidi? na kwa nini?
 
Back
Top Bottom