Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,702
- 35,764
Uzuri we jamaa huwa upo real ,Kwani mkuu miaka 15 ama 20 iliopita Man city si alikuwa anacheza Championship?
Uzuri we jamaa huwa upo real ,Kwani mkuu miaka 15 ama 20 iliopita Man city si alikuwa anacheza Championship?
The Investment Corporation of Dubai are in the running to buy Manchester United.
[Chris Winterburn]
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2425486
Watanzania wengi hawajui mpira, na kuna kundi la hawa waliofuata mpira kwa sababu ya betting ni tatizo kubwa zaidi.Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,
Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua
Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,
Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,
Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,
Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
Urafiki wa Saudi Arabia (Nchi za kiarabu) na USA ni wa kinafiki na wa kimaslahi.
Siku USA akimchoka msaudia atapigwa ban kwenye kila kitu.
Man u kuwa salama itafute tajiri mpya mwenye urafiki wa kudumu na USA.
WapeweICD are seen as a front runner and have a "net worth" of $305bn dollars.
Sir Jim Ratcliffe is also preparing to make the bid to buy Man United.
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2425908
Saudia ni strategic partner wa USA.Urafiki wa Saudi Arabia (Nchi za kiarabu) na USA ni wa kinafiki na wa kimaslahi.
Siku USA akimchoka msaudia atapigwa ban kwenye kila kitu.
Man u kuwa salama itafute tajiri mpya mwenye urafiki wa kudumu na USA.
Glazzer wanataka 7B, sasa hivi kila Bilionea tunahusishwa nae.
Mkuu tutabishana sana hapa, akinunua Newcastle 12 baada ya miaka 12 anapata zaidi ya 20B![]()
Saudi Arabia wants its investors to own Manchester United and Liverpool
Sports minister Prince Abdulaziz bin Turki Al-Faisal revealed the countrys latest sporting ambitions in an interview with Sky News - with the sovereign wealth fund already owning Newcastle and now funding LIV Golfwww.skysports.com
Kama nilivyosema mwanzo.
Man Utd ni hot cake.
Mtu akiinunua kwa £7bn akiongeza thamani, miaka 10 ijayo ataiuza si chini ya £12bn.
Boss, pengine hauko informed sana juu ya hili.City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.
Boss, kumbuka tunaongelea first world country hapa. Acha hizi story za shithole countries.Glazzer alikuwa hawana hela ya kununua United, kwanini Bank iwape makapuku kama hawa pesa ndefu yote hio kuinunua United? Lazima kuna deal la chini ya kapeti wameingia ili Bank ifaidike, matokeo yake timu ambayo haikuwa na deni kwa zaidi ya miaka 100 imelipa Riba matrilioni ndani ya muda mfupi.