juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,949
- 5,430
Hiyo ni kama 3.7B katika dollar, inaweza kuwa hela nyingi ila kumiliki tim kwenye premier league tena Club like Man Utd sio bad investment. Moja ya club 3 dunian zenye fanbase kubwaKununua United kwa £4B ni bad investment unless uwe mfanyabiashara na shabiki wa United.
Why unahisi Glazer family wahihusishe Rainee group, na why mwanzon walikataa offer ya Sir Jim Ratclife, now wanahitaj Bidding war na kiasi wanachokitaka watakipata tu.




vs. Czech Republic
vs. Spain