Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,144
- 43,865
Mkuu deni roughly lipo vile vile sometime linapungua kidogo sometime linaongezeka kidogo.Mkuu Mc cane shukrani na hongera kwa kulielezea suala hili kinagaubaga. Sasa nimeelewa vizuri hili sakata.
Pamoja na hayo nina swali moja dogo kama utakua katika wasaa mzuri wa kunijibu nitafurahi sana.
Swali langu ni kuhusu hilo deni. Nitaliuliza katika vipengele vinne kama ifuatavyo:-
1. Kwa sasa limepungua au kuongezeka kwa kiasi gani ?
Kwa maneno mengine tunadaiwa shilingi ngapi kwa sasa kwenye hiyo SONGESHA yetu sisi kama klabu ?
Hili graph linaonesha deni kuanzia 2005
2006 ilikuwa ni 590M na 2022 ni 620M, ukumbuke hili deni ni la Glazzer na sio la Man U wamehamisha hili deni kwenye timu kwa ajili ya Biashara zao Binafsi.
Ndio mkuu mnunuzi mpya anauziwa deni, moja ya sababu Chelsea imeuzwa bei rahisi ni sababu Abramovich amesamehe 1.8B kama kumbukumbu zipo sahihi ambayo alikuwa anawadai Chelsea, ila kwa United ni viceversa Atakayenunua deni linamuhusu.2. Ni nini hatma ya deni hilo katika mauzo au manunuzi ya klabu ? Je, mnunuzi mpya atauziwa deni (litahusika katika uthaminishaji wa klabu bila shaka) na kutakiwa kulihudumia ?
Tayari ni kikwazo kuna watu wamejitoa sababu ya Deni, halimake sense, kuna kundi la washabiki wa united wenye pesa waliwahi kujichanga hadi 1.5B na kumtest Glazzer kama miaka 12 iliopita ila alikataa, kundi hilo naona kiongozi wake tayari amekataa valuation ya sasa na wamejitoa.3. Je, deni hilo haliwezi kuwa kama kikwazo cha baadhi ya wanunuzi kuvutiwa kutaka kuinunua klabu ? Deni hilo halifukuzi wateja kweli ?
Inawezekana, ila wakati Chelsea inauzwa kulikuwa na kipengele kabisa kinaitwa Anti Glazzer, kwamba mtu awe na Cash, hakuna mambo ya kuweka madeni kwenye timu, so i hope Utd pia wataweka hiko kipengele na Mmiliki aingize hela kwenye timu n sio kutoa.4. Je, katika mchakato huu wa kuuzwa kwa klabu, hatuwezi kupata mnunuzi mpya ambaye nayeye atakua amekopa fedha na kisha deni hilo kulihamishia klabuni kama walivyofanya hawa Glazers ?
Yangu ni hayo.
Bavaria Chief-Mkwawa na wajumbe wengine mnaweza kuweka neno pia.
Na mkuu kuongezea Glazzer wanauza sababu timu inataka investment ya maana, sio tu hilo deni, Old trafford yenyewe inahitaji karibia £1B either ibomolewe ijengwe ama ufanywe ukarAbati mkubwa, bado viwanja vya mazoezi na miundombinu mingine, kifupi Glazzer hawajaboresha chochote toka 2005 club ipo vile vile, mpaka vitimu vidogo kama Leicester vina modern infrastructure.
So atakayenunua inabidi awe willing kuspend zaidi ya kununua UTD awe commited kujenga na miundombinu.