Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,107
- 53,624
Nimesema maeneo yaliokuwa changamoto kwetu yamekuwa improved dirisha lililopita.Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,
Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua
Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,
Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,
Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,
Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
Kuna wakati mkiwa na mshambuliaji hatari mnakuwa na advantage kwenye defence na kiungo.
Mpira unachezwa mbele tu. Inafungua options kwa wengine kufunga.
Ndo maana nasisitiza, kwa sasa tunapata shida kwenye kupata magoli kwasababu hatuna mfungaji natural.
Ronaldo alikuwa anakosa magoli hata matatu mechi 1.