Madon wa UAE wataichukua mapema tu kabla ya PasakaKuna karibia kukucha.View attachment 2424576

#MUFC



Mimi hii habari bado sijaielewa, sasa hivi tunamilikiwa na Bank, sio kwamba tunahama tu bank moja kwenda nyengine? Kama wanataka kuuza ila kwa watu fulani tu na si mtu yoyote.Kuna karibia kukucha.View attachment 2424576
Na inavoonekana wanapendelea zaidi kama wataiuza wauze kwa wamerekani wenzao, tusishangilie sana.Mimi hii habari bado sijaielewa, sasa hivi tunamilikiwa na Bank, sio kwamba tunahama tu bank moja kwenda nyengine? Kama wanataka kuuza ila kwa watu fulani tu na si mtu yoyote.
Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.
Striking force pekee ndo inazingua.
Tunamilikiwa na Glazers.Mimi hii habari bado sijaielewa, sasa hivi tunamilikiwa na Bank, sio kwamba tunahama tu bank moja kwenda nyengine? Kama wanataka kuuza ila kwa watu fulani tu na si mtu yoyote.
Nimesema maeneo yaliokuwa changamoto kwetu yamekuwa improved dirisha lililopita.Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,
Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua
Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,
Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,
Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,
Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
Wanaondoka hawa.Kweli wata achia timu hawa isije ikawa kama yale mambo wanamtoa boss huyu wanaingiza mshikaji wao Richard Arnold kwa wood.View attachment 2424649
Sinasikia munampango wa kumpa mkataba wa miaka mitatu?Cr7 mzee ni bora kuliko rashford, elanga, martial, antonty, Sancho kwa pamoja
Mkubali kuwa mmeshindwa kumtumia cr7
Cr7 ni tunu
Kijiji bila wazee ni kikundi cha wahuni
Nyie wapuuzi mjiandae kumtoa mbuzi mwingine wa kafala
Mmeacha mpira, mmekua washirikina washirikana tu
Binafsi kwa huyo jamaa nimejilamba.Hata na sisi tuna sema tunakupenda sana kama legendary wetu,bado tutaendelea kuwa timu CR7.
Lakini hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya club.View attachment 2424400
Luataro wa kawaida,,,,,Vlahovic.
Gapko.
Lautaro Martinez.
Sesko.
Osimhen.
Kane.
Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
We mbona kama sigara kali?Wamiliki wamemwachia jamaa Kwa Shingo upande Sana , Ila najua Wana hasira na kochasa hv wanawaza tuu huyu msenge timu isipoingia top 4 , tunamfukuza
Ombeni nipige Ruby gram 21 niinunue hii club ili upuuzi wenyewe uishie mbali.Kuna karibia kukucha.View attachment 2424576
Kwa jina sawa ila ukiangalia dividends anayopata Glazzer na interest inayokwenda Bank, interest ni nyingi by far, Glazzer hajainunua Man U amekopa Bank na mpaka leo hajalipa deni lipo vile vile,Tunamilikiwa na Glazers.
Hiyo bank imeambiwa tafuta mteja wa either kuinunua club yote au sehemu ya umiliki.