Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna karibia kukucha.
20221123_001537.jpg
 
The process is designed to enhance the club's future growth. the Board will consider all strategic alternatives, including new investment into the club, a sale, or other transactions involving the Company.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
IMG_20221123_012550_526.jpg
 
#mufc's share price is up 17% following announcement of potential sale by Glazers. It has already added almost $400m to the club’s market capitalisation.


[KieranMaguire]
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
IMG_20221123_004200_410.jpg
 
No pay off for Cristiano Ronaldo as both sides only wanted to have clean resolution to respect the history of Ronaldo at Man Utd. No ongoing strings on either side. #MUFC

Erik ten Hag immediatly approved the decision together with the board.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
IMG_20221123_004257_261.jpg
 
Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.

Striking force pekee ndo inazingua.
Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,

Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua

Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,

Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,

Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,

Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
 
Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,

Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua

Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,

Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,

Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,

Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
Nimesema maeneo yaliokuwa changamoto kwetu yamekuwa improved dirisha lililopita.

Kuna wakati mkiwa na mshambuliaji hatari mnakuwa na advantage kwenye defence na kiungo.

Mpira unachezwa mbele tu. Inafungua options kwa wengine kufunga.

Ndo maana nasisitiza, kwa sasa tunapata shida kwenye kupata magoli kwasababu hatuna mfungaji natural.

Ronaldo alikuwa anakosa magoli hata matatu mechi 1.
 
IMG_20221123_071826.jpg


Wahuni wameona hapa hamna mtonyo tena 😁😁😁😁😁😁 , kama wenye hela za matangazo wanachora , kilichobak ni kuuza club chap na kusepa
 
Cr7 mzee ni bora kuliko rashford, elanga, martial, antonty, Sancho kwa pamoja

Mkubali kuwa mmeshindwa kumtumia cr7

Cr7 ni tunu

Kijiji bila wazee ni kikundi cha wahuni

Nyie wapuuzi mjiandae kumtoa mbuzi mwingine wa kafala
Mmeacha mpira, mmekua washirikina washirikana tu
Sinasikia munampango wa kumpa mkataba wa miaka mitatu?
Tunawatakieni kila la kheri na chezaji la Dunia.
 
Vlahovic.

Gapko.

Lautaro Martinez.

Sesko.

Osimhen.

Kane.

Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
Luataro wa kawaida,,,,,

Levy hawezi kumuachia Kane,,,

Wengine yes,,,,
 
Tunamilikiwa na Glazers.

Hiyo bank imeambiwa tafuta mteja wa either kuinunua club yote au sehemu ya umiliki.
Kwa jina sawa ila ukiangalia dividends anayopata Glazzer na interest inayokwenda Bank, interest ni nyingi by far, Glazzer hajainunua Man U amekopa Bank na mpaka leo hajalipa deni lipo vile vile,

So yoyote anaeinunua UTD anarithi hilo deni la Bank mpaka lilipwe itaendelea Bank kuchota mpunga mwingi zaidi. Ndio maana unaona utd hainunuliki kirahisi.
 
Back
Top Bottom