Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,144
- 43,866
Glazzer wanamiliki ndio ila Glazzer wamekopa na Deni halijalipwa, niwakumbushe tu Toka Glazzer anunue United riba iliolipwa ni zaidi ya £1B, tunalipa hela nyingi bank kuliko tunazotumia kusajili na ku improve vitu vingine kama Uwanja.Man U inamilikiwa na Bank?? Toka lini mkuu??
Sio Glazzer Family ndio wamiliki toka 2005?
Glazzer alikuwa hawana hela ya kununua United, kwanini Bank iwape makapuku kama hawa pesa ndefu yote hio kuinunua United? Lazima kuna deal la chini ya kapeti wameingia ili Bank ifaidike, matokeo yake timu ambayo haikuwa na deni kwa zaidi ya miaka 100 imelipa Riba matrilioni ndani ya muda mfupi.
Na issue ya Glazzer kuuza tayari ina ukakasi mkubwa tu, kabla ya Hii taarifa kuna mtu amenunua Hisa za kufa mtu, baada ya hii habari kutoka Hisa zimepanda kwa 14% na zinaendelea kupanda, kuna uwezekano kuna mtu wao Glazzer anataka Quick cash wanacheza na emotion za watu
Ukikopa benki ukaenda kununua gari hilo gari litakuwa la nani?
Hata ukiliuza, wahakikishie wanaokudai hela yao itarudi, hata kutokana na proceeds za mauzo ya hiyo mali. Man utd itauzwa, bank watachukua chao, the rest kinaenda kwa glazers.
Man Utd ni the best deal. Watu wana mpunga wa kuinunua. Elon anatoa $44bn kununua twitter watu washindwe toa $10bn kununua Man Utd? Timu inanunulika, Saudia wanatoa hata $20bn, haiwaumizi kichwa.



