Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Ndio mkuu nimeiona hio habari ndio nikaweka alama ya kuuliza.Na inavoonekana wanapendelea zaidi kama wataiuza wauze kwa wamerekani wenzao, tusishangilie sana.
Ndio mkuu nimeiona hio habari ndio nikaweka alama ya kuuliza.Na inavoonekana wanapendelea zaidi kama wataiuza wauze kwa wamerekani wenzao, tusishangilie sana.
Man U inamilikiwa na Bank?? Toka lini mkuu??Mimi hii habari bado sijaielewa, sasa hivi tunamilikiwa na Bank, sio kwamba tunahama tu bank moja kwenda nyengine? Kama wanataka kuuza ila kwa watu fulani tu na si mtu yoyote.
Ukikopa benki ukaenda kununua gari hilo gari litakuwa la nani?Kwa jina sawa ila ukiangalia dividends anayopata Glazzer na interest inayokwenda Bank, interest ni nyingi by far, Glazzer hajainunua Man U amekopa Bank na mpaka leo hajalipa deni lipo vile vile,
So yoyote anaeinunua UTD anarithi hilo deni la Bank mpaka lilipwe itaendelea Bank kuchota mpunga mwingi zaidi. Ndio maana unaona utd hainunuliki kirahisi.
As i said. Striking is no 1 priority right now or should be a top priority.Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,
Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua
Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,
Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,
Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,
Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
Timu za Mpira ni tofauti na kampuni mkuu.Ukikopa benki ukaenda kununua gari hilo gari litakuwa la nani?
Hata ukiliuza, wahakikishie wanaokudai hela yao itarudi, hata kutokana na proceeds za mauzo ya hiyo mali. Man utd itauzwa, bank watachukua chao, the rest kinaenda kwa glazers.
Man Utd ni the best deal. Watu wana mpunga wa kuinunua. Elon anatoa $44bn kununua twitter watu washindwe toa $10bn kununua Man Utd? Timu inanunulika, Saudia wanatoa hata $20bn, haiwaumizi kichwa.
Glazzer wanamiliki ndio ila Glazzer wamekopa na Deni halijalipwa, niwakumbushe tu Toka Glazzer anunue United riba iliolipwa ni zaidi ya £1B, tunalipa hela nyingi bank kuliko tunazotumia kusajili na ku improve vitu vingine kama Uwanja.Man U inamilikiwa na Bank?? Toka lini mkuu??
Sio Glazzer Family ndio wamiliki toka 2005?
Ukikopa benki ukaenda kununua gari hilo gari litakuwa la nani?
Hata ukiliuza, wahakikishie wanaokudai hela yao itarudi, hata kutokana na proceeds za mauzo ya hiyo mali. Man utd itauzwa, bank watachukua chao, the rest kinaenda kwa glazers.
Man Utd ni the best deal. Watu wana mpunga wa kuinunua. Elon anatoa $44bn kununua twitter watu washindwe toa $10bn kununua Man Utd? Timu inanunulika, Saudia wanatoa hata $20bn, haiwaumizi kichwa.
Burnley Mkuu, come on .... Burnley ni kama duka lililo DSM na man UTD ni duka lililo Dubai....Timu za Mpira ni tofauti na kampuni mkuu.
£300M hicho ndio kiasi Saudi wamelipa kununua Newcastle, wamespend kama $200M tayari sasa hivi wapo juu ya Man U,
City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.
Why mtu atoe $5B ama $6B kununua United na Madeni yake wakati anaweza nunua Burnley aka invest nusu ya hio hela na ikawa kubwa?
Mtu anaenunua UTD ni furaha yake tu, otherwise ndio kama wanavyofanya Glazer kuinyonya timu mpaka tone la mwisho.
Huyo cku hz amekuwa na mihemko sn ktk uandishi wake tofauti na mwanzo.Wewe ni wakala wake au mke wake, mpaka uwe na taarifa za uhakika juu ya uhamisho wake?
Mimi sijui ataenda team gani, ndiomaana sijataka kulizungumzia.
He is less finished, compared to your club.
Kwani mkuu miaka 15 ama 20 iliopita Man city si alikuwa anacheza Championship?Bunle
Burnley Mkuu, come on .... Burnley ni kama duka lililo DSM na man UTD ni duka lililo Dubai....
Nani akiwekeza atarudisha haraka zaidi??
Chief unalinganisha Man U na Burnely,?? Uko serious Mkuu.Timu za Mpira ni tofauti na kampuni mkuu.
£300M hicho ndio kiasi Saudi wamelipa kununua Newcastle, wamespend kama $200M tayari sasa hivi wapo juu ya Man U,
City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.
Why mtu atoe $5B ama $6B kununua United na Madeni yake wakati anaweza nunua Burnley aka invest nusu ya hio hela na ikawa kubwa?
Mtu anaenunua UTD ni furaha yake tu, otherwise ndio kama wanavyofanya Glazer kuinyonya timu mpaka tone la mwisho.
Business inaenda sambamba na numbers.Bunle
Burnley Mkuu, come on .... Burnley ni kama duka lililo DSM na man UTD ni duka lililo Dubai....
Nani akiwekeza atarudisha haraka zaidi??
Sawa na useme kwanini mtu anunue Ferrari Roma kwa $400,000 wakati anaweza nunua Subaru kwa $35,000 akaitune ikatoa horsepower sawa na Ferrari?Timu za Mpira ni tofauti na kampuni mkuu.
£300M hicho ndio kiasi Saudi wamelipa kununua Newcastle, wamespend kama $200M tayari sasa hivi wapo juu ya Man U,
City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.
Why mtu atoe $5B ama $6B kununua United na Madeni yake wakati anaweza nunua Burnley aka invest nusu ya hio hela na ikawa kubwa?
Mtu anaenunua UTD ni furaha yake tu, otherwise ndio kama wanavyofanya Glazer kuinyonya timu mpaka tone la mwisho.
Deal lazima litokee.Glazzer wanamiliki ndio ila Glazzer wamekopa na Deni halijalipwa, niwakumbushe tu Toka Glazzer anunue United riba iliolipwa ni zaidi ya £1B, tunalipa hela nyingi bank kuliko tunazotumia kusajili na ku improve vitu vingine kama Uwanja.
Glazzer alikuwa hawana hela ya kununua United, kwanini Bank iwape makapuku kama hawa pesa ndefu yote hio kuinunua United? Lazima kuna deal la chini ya kapeti wameingia ili Bank ifaidike, matokeo yake timu ambayo haikuwa na deni kwa zaidi ya miaka 100 imelipa Riba matrilioni ndani ya muda mfupi.
Na issue ya Glazzer kuuza tayari ina ukakasi mkubwa tu, kabla ya Hii taarifa kuna mtu amenunua Hisa za kufa mtu, baada ya hii habari kutoka Hisa zimepanda kwa 14% na zinaendelea kupanda, kuna uwezekano kuna mtu wao Glazzer anataka Quick cash wanacheza na emotion za watu
Man Utd ni cash generating machine. Ni wakati wa corona pekee ndo tulitengeneza hasara.Business inaenda sambamba na numbers.
£4B - £10B ni pesa nyingi sana na ukizingatia zote zitaenda kwenye ununuzi. Kufanya investment ya maana itakuwa ni jambo gumu sana.
Last season United wametengeza faida ya £92.2m kwenye mashindano waliyoshiriki na £58.3m kwenye wadhamini.
While Newcastle wametengeneza £12.2m kwenye mashindano na £34.9m kwenye wadhamini.
Wanachofanya wamiliki wa Newcastle sasa hivi wana-add value kwenye ile timu na soon itaanza kuwa kivutio kwa investors, watashiriki mashindano makubwa pia wataongeza kitu kwenye mapato yao.
Wafanya biashara wanaangalia vitu realistic. Kununua United kwa £4B - £10B ni uwekezaji mbaya kwasababu bado utahitajika kuzama mfukoni zaidi na kupata profit inabidi uipe club thamani kubwa sana na kuuza baada ya miaka kadhaa kitu ambacho siyo guaranteed.
Mfano wa kununua Burnley ni mzuri sana kwasababu ni timu itakayorudi EPL na ni cheap kushinda United. Hapo ni kibiashara zaidi ila kama una mahaba na club ndiyo unaweza kutoa £4B - £10B.
Hizi ni biashara tusiongee kishabiki.Chief unalinganisha Man U na Burnely,?? Uko serious Mkuu.
Timu yenye fans duniani Bil 1.1, ndio uilinganishe na Burnely kweli.??
Kivyovyote Vile Man U ikiuzwa haitauzwa chini ya £4billions.
Moja ya sababu ligi ya Uingereza ipo competitive ni kwamba mpunga unagawanywa kwa timu zote, even timu inayoshuka daraja inapiga hela ya kutosha, hivyo kinachobakia hapa ni commercial value tu.Sawa na useme kwanini mtu anunue Ferrari Roma kwa $400,000 wakati anaweza nunua Subaru kwa $35,000 akaitune ikatoa horsepower sawa na Ferrari?
Mtu anaepiga mahesabu kwa mtindo huo hana hela. Anatafuta cheap option.
Multiplier effect ya kumiliki Man Utd ni kubwa sana kuliko Burnley. Arsenal hawajawahi chukua UCL ila wana loyal fan base. Hata Burnley wakiongoza league kwa misimu 10 mfululizo, satisfaction haiwezi kuwa sana na Man Utd ichukue mara 3 mfululizo.
Kwanini wachezaji wanatamani kucheza EPL au Europe wanakataa kwenda South America, USA, China au Arabuni?
Kuna intangible asset ipo kwenye ligi za Europe ambazo hizo ligi nyingine hazina. Tena zinapelekea ulipwe hata mishahara mizuri tu.
Man Utd ina 1.1bn fan base. Just imagine 1 person out of 8 anashangilia Man Utd. Ni asset kubwa sana.
Man City na Newcastle ni nothing when it comes to comercial value. Usitegemee hata inunuliwe kwa bei sawa na Arsenal au Chelsea.
Man Utd, Madrid na Barca. Zipo kwenye league ya aina yake kwenye mambo ya pesa.
Kwa lugha rahisi unanunua Newcastle 12 kwa United moja so chukua Faida ya Newcastle zidisha mara 12.Hizi ni biashara tusiongee kishabiki.
Chukua mfano United total profit yake last season ni £150m na Newcastle United ni £47m.
Halafu ununue United kwa £4B au zaidi bado ufanye investment kwenye infrastructure + players siyo chini ya £1.2B hapo kwenye £4B sijui kama inalipa na deni benki. Wakati huo kuna timu kama Newcastle imenunuliwa kwa £300m na inatengeneza faida ya £47m na kuna possibility ya ongezeko la mapato.
Ukipiga hesabu ni nani atakuwa kafanya biashara ya maana ambayo in 10 years ana faida ya kutosha na on top of that anaweza kuiuza club kwa thamani ya juu?!
Kununua United kwa £4B ni bad investment unless uwe mfanyabiashara na shabiki wa United.Man Utd ni cash generating machine. Ni wakati wa corona pekee ndo tulitengeneza hasara.
Pesa wanayoitengeneza pekee wanaweza fanya maendeleo makubwa sana tena bila kusubiri njuruu ya mmiliki.
Tottenham wametumia £1bn kujenga uwanja wa kisasa Europe nzima. Na sisi tumetumia kiasi hikohiko kuwapelekea dividend wakina Glazers.
Leo ningekuwa nainunua Man Utd, ningetoa £1bn kujenga uwanja mpya tu. Zile faida wanazopata wanunue wachezaji na kufanya maintanace kwenye facilities zilizobaki.
Then nakaa pembeni, sichukui hata sh 100 yao.