Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa jina sawa ila ukiangalia dividends anayopata Glazzer na interest inayokwenda Bank, interest ni nyingi by far, Glazzer hajainunua Man U amekopa Bank na mpaka leo hajalipa deni lipo vile vile,

So yoyote anaeinunua UTD anarithi hilo deni la Bank mpaka lilipwe itaendelea Bank kuchota mpunga mwingi zaidi. Ndio maana unaona utd hainunuliki kirahisi.
Ukikopa benki ukaenda kununua gari hilo gari litakuwa la nani?

Hata ukiliuza, wahakikishie wanaokudai hela yao itarudi, hata kutokana na proceeds za mauzo ya hiyo mali. Man utd itauzwa, bank watachukua chao, the rest kinaenda kwa glazers.

Man Utd ni the best deal. Watu wana mpunga wa kuinunua. Elon anatoa $44bn kununua twitter watu washindwe toa $10bn kununua Man Utd? Timu inanunulika, Saudia wanatoa hata $20bn, haiwaumizi kichwa.
 
Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,

Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua

Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,

Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,

Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,

Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
As i said. Striking is no 1 priority right now or should be a top priority.
20221123_134635.jpg
 
Ukikopa benki ukaenda kununua gari hilo gari litakuwa la nani?

Hata ukiliuza, wahakikishie wanaokudai hela yao itarudi, hata kutokana na proceeds za mauzo ya hiyo mali. Man utd itauzwa, bank watachukua chao, the rest kinaenda kwa glazers.

Man Utd ni the best deal. Watu wana mpunga wa kuinunua. Elon anatoa $44bn kununua twitter watu washindwe toa $10bn kununua Man Utd? Timu inanunulika, Saudia wanatoa hata $20bn, haiwaumizi kichwa.
Timu za Mpira ni tofauti na kampuni mkuu.

£300M hicho ndio kiasi Saudi wamelipa kununua Newcastle, wamespend kama $200M tayari sasa hivi wapo juu ya Man U,

City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.

Why mtu atoe $5B ama $6B kununua United na Madeni yake wakati anaweza nunua Burnley aka invest nusu ya hio hela na ikawa kubwa?

Mtu anaenunua UTD ni furaha yake tu, otherwise ndio kama wanavyofanya Glazer kuinyonya timu mpaka tone la mwisho.
 
Man U inamilikiwa na Bank?? Toka lini mkuu??
Sio Glazzer Family ndio wamiliki toka 2005?
Glazzer wanamiliki ndio ila Glazzer wamekopa na Deni halijalipwa, niwakumbushe tu Toka Glazzer anunue United riba iliolipwa ni zaidi ya £1B, tunalipa hela nyingi bank kuliko tunazotumia kusajili na ku improve vitu vingine kama Uwanja.

Glazzer alikuwa hawana hela ya kununua United, kwanini Bank iwape makapuku kama hawa pesa ndefu yote hio kuinunua United? Lazima kuna deal la chini ya kapeti wameingia ili Bank ifaidike, matokeo yake timu ambayo haikuwa na deni kwa zaidi ya miaka 100 imelipa Riba matrilioni ndani ya muda mfupi.

Na issue ya Glazzer kuuza tayari ina ukakasi mkubwa tu, kabla ya Hii taarifa kuna mtu amenunua Hisa za kufa mtu, baada ya hii habari kutoka Hisa zimepanda kwa 14% na zinaendelea kupanda, kuna uwezekano kuna mtu wao Glazzer anataka Quick cash wanacheza na emotion za watu


Ukikopa benki ukaenda kununua gari hilo gari litakuwa la nani?

Hata ukiliuza, wahakikishie wanaokudai hela yao itarudi, hata kutokana na proceeds za mauzo ya hiyo mali. Man utd itauzwa, bank watachukua chao, the rest kinaenda kwa glazers.

Man Utd ni the best deal. Watu wana mpunga wa kuinunua. Elon anatoa $44bn kununua twitter watu washindwe toa $10bn kununua Man Utd? Timu inanunulika, Saudia wanatoa hata $20bn, haiwaumizi kichwa.
 
Bunle
Timu za Mpira ni tofauti na kampuni mkuu.

£300M hicho ndio kiasi Saudi wamelipa kununua Newcastle, wamespend kama $200M tayari sasa hivi wapo juu ya Man U,

City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.

Why mtu atoe $5B ama $6B kununua United na Madeni yake wakati anaweza nunua Burnley aka invest nusu ya hio hela na ikawa kubwa?

Mtu anaenunua UTD ni furaha yake tu, otherwise ndio kama wanavyofanya Glazer kuinyonya timu mpaka tone la mwisho.
Burnley Mkuu, come on .... Burnley ni kama duka lililo DSM na man UTD ni duka lililo Dubai....

Nani akiwekeza atarudisha haraka zaidi??
 
Wewe ni wakala wake au mke wake, mpaka uwe na taarifa za uhakika juu ya uhamisho wake?

Mimi sijui ataenda team gani, ndiomaana sijataka kulizungumzia.

He is less finished, compared to your club.
Huyo cku hz amekuwa na mihemko sn ktk uandishi wake tofauti na mwanzo.
 
Timu za Mpira ni tofauti na kampuni mkuu.

£300M hicho ndio kiasi Saudi wamelipa kununua Newcastle, wamespend kama $200M tayari sasa hivi wapo juu ya Man U,

City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.

Why mtu atoe $5B ama $6B kununua United na Madeni yake wakati anaweza nunua Burnley aka invest nusu ya hio hela na ikawa kubwa?

Mtu anaenunua UTD ni furaha yake tu, otherwise ndio kama wanavyofanya Glazer kuinyonya timu mpaka tone la mwisho.
Chief unalinganisha Man U na Burnely,?? Uko serious Mkuu.
Timu yenye fans duniani Bil 1.1, ndio uilinganishe na Burnely kweli.??

Kivyovyote Vile Man U ikiuzwa haitauzwa chini ya £4billions.
 
Bunle

Burnley Mkuu, come on .... Burnley ni kama duka lililo DSM na man UTD ni duka lililo Dubai....

Nani akiwekeza atarudisha haraka zaidi??
Business inaenda sambamba na numbers.

£4B - £10B ni pesa nyingi sana na ukizingatia zote zitaenda kwenye ununuzi. Kufanya investment ya maana itakuwa ni jambo gumu sana.

Last season United wametengeza faida ya £92.2m kwenye mashindano waliyoshiriki na £58.3m kwenye wadhamini.

While Newcastle wametengeneza £12.2m kwenye mashindano na £34.9m kwenye wadhamini.

Wanachofanya wamiliki wa Newcastle sasa hivi wana-add value kwenye ile timu na soon itaanza kuwa kivutio kwa investors, watashiriki mashindano makubwa pia wataongeza kitu kwenye mapato yao.

Wafanya biashara wanaangalia vitu realistic. Kununua United kwa £4B - £10B ni uwekezaji mbaya kwasababu bado utahitajika kuzama mfukoni zaidi na kupata profit inabidi uipe club thamani kubwa sana na kuuza baada ya miaka kadhaa kitu ambacho siyo guaranteed.

Mfano wa kununua Burnley ni mzuri sana kwasababu ni timu itakayorudi EPL na ni cheap kushinda United. Hapo ni kibiashara zaidi ila kama una mahaba na club ndiyo unaweza kutoa £4B - £10B.
 
Timu za Mpira ni tofauti na kampuni mkuu.

£300M hicho ndio kiasi Saudi wamelipa kununua Newcastle, wamespend kama $200M tayari sasa hivi wapo juu ya Man U,

City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.

Why mtu atoe $5B ama $6B kununua United na Madeni yake wakati anaweza nunua Burnley aka invest nusu ya hio hela na ikawa kubwa?

Mtu anaenunua UTD ni furaha yake tu, otherwise ndio kama wanavyofanya Glazer kuinyonya timu mpaka tone la mwisho.
Sawa na useme kwanini mtu anunue Ferrari Roma kwa $400,000 wakati anaweza nunua Subaru kwa $35,000 akaitune ikatoa horsepower sawa na Ferrari?

Mtu anaepiga mahesabu kwa mtindo huo hana hela. Anatafuta cheap option.

Multiplier effect ya kumiliki Man Utd ni kubwa sana kuliko Burnley. Arsenal hawajawahi chukua UCL ila wana loyal fan base. Hata Burnley wakiongoza league kwa misimu 10 mfululizo, satisfaction haiwezi kuwa sana na Man Utd ichukue mara 3 mfululizo.

Kwanini wachezaji wanatamani kucheza EPL au Europe wanakataa kwenda South America, USA, China au Arabuni?

Kuna intangible asset ipo kwenye ligi za Europe ambazo hizo ligi nyingine hazina. Tena zinapelekea ulipwe hata mishahara mizuri tu.

Man Utd ina 1.1bn fan base. Just imagine 1 person out of 8 anashangilia Man Utd. Ni asset kubwa sana.

Man City na Newcastle ni nothing when it comes to comercial value. Usitegemee hata inunuliwe kwa bei sawa na Arsenal au Chelsea.

Man Utd, Madrid na Barca. Zipo kwenye league ya aina yake kwenye mambo ya pesa.
 
Glazzer wanamiliki ndio ila Glazzer wamekopa na Deni halijalipwa, niwakumbushe tu Toka Glazzer anunue United riba iliolipwa ni zaidi ya £1B, tunalipa hela nyingi bank kuliko tunazotumia kusajili na ku improve vitu vingine kama Uwanja.

Glazzer alikuwa hawana hela ya kununua United, kwanini Bank iwape makapuku kama hawa pesa ndefu yote hio kuinunua United? Lazima kuna deal la chini ya kapeti wameingia ili Bank ifaidike, matokeo yake timu ambayo haikuwa na deni kwa zaidi ya miaka 100 imelipa Riba matrilioni ndani ya muda mfupi.

Na issue ya Glazzer kuuza tayari ina ukakasi mkubwa tu, kabla ya Hii taarifa kuna mtu amenunua Hisa za kufa mtu, baada ya hii habari kutoka Hisa zimepanda kwa 14% na zinaendelea kupanda, kuna uwezekano kuna mtu wao Glazzer anataka Quick cash wanacheza na emotion za watu

Deal lazima litokee.

Kama Romano ana taarifa ni rahisi kwa mtu yeyote ndani ya Man Utd ajue kinachoendelea.

Hata mimi ningejua mapema kabisa ningenunua stocks options nikijua hii ni good news kwa hisa za man utd.

Thats obvious. Some people in the cycle lazima wajue.
 
Business inaenda sambamba na numbers.

£4B - £10B ni pesa nyingi sana na ukizingatia zote zitaenda kwenye ununuzi. Kufanya investment ya maana itakuwa ni jambo gumu sana.

Last season United wametengeza faida ya £92.2m kwenye mashindano waliyoshiriki na £58.3m kwenye wadhamini.

While Newcastle wametengeneza £12.2m kwenye mashindano na £34.9m kwenye wadhamini.

Wanachofanya wamiliki wa Newcastle sasa hivi wana-add value kwenye ile timu na soon itaanza kuwa kivutio kwa investors, watashiriki mashindano makubwa pia wataongeza kitu kwenye mapato yao.

Wafanya biashara wanaangalia vitu realistic. Kununua United kwa £4B - £10B ni uwekezaji mbaya kwasababu bado utahitajika kuzama mfukoni zaidi na kupata profit inabidi uipe club thamani kubwa sana na kuuza baada ya miaka kadhaa kitu ambacho siyo guaranteed.

Mfano wa kununua Burnley ni mzuri sana kwasababu ni timu itakayorudi EPL na ni cheap kushinda United. Hapo ni kibiashara zaidi ila kama una mahaba na club ndiyo unaweza kutoa £4B - £10B.
Man Utd ni cash generating machine. Ni wakati wa corona pekee ndo tulitengeneza hasara.

Pesa wanayoitengeneza pekee wanaweza fanya maendeleo makubwa sana tena bila kusubiri njuruu ya mmiliki.

Tottenham wametumia £1bn kujenga uwanja wa kisasa Europe nzima. Na sisi tumetumia kiasi hikohiko kuwapelekea dividend wakina Glazers.

Leo ningekuwa nainunua Man Utd, ningetoa £1bn kujenga uwanja mpya tu. Zile faida wanazopata wanunue wachezaji na kufanya maintanace kwenye facilities zilizobaki.

Then nakaa pembeni, sichukui hata sh 100 yao.
 
Chief unalinganisha Man U na Burnely,?? Uko serious Mkuu.
Timu yenye fans duniani Bil 1.1, ndio uilinganishe na Burnely kweli.??

Kivyovyote Vile Man U ikiuzwa haitauzwa chini ya £4billions.
Hizi ni biashara tusiongee kishabiki.

Chukua mfano United total profit yake last season ni £150m na Newcastle United ni £47m.

Halafu ununue United kwa £4B au zaidi bado ufanye investment kwenye infrastructure + players siyo chini ya £1.2B hapo kwenye £4B sijui kama inalipa na deni benki. Wakati huo kuna timu kama Newcastle imenunuliwa kwa £300m na inatengeneza faida ya £47m na kuna possibility ya ongezeko la mapato.

Ukipiga hesabu ni nani atakuwa kafanya biashara ya maana ambayo in 10 years ana faida ya kutosha na on top of that anaweza kuiuza club kwa thamani ya juu?!
 
Sawa na useme kwanini mtu anunue Ferrari Roma kwa $400,000 wakati anaweza nunua Subaru kwa $35,000 akaitune ikatoa horsepower sawa na Ferrari?

Mtu anaepiga mahesabu kwa mtindo huo hana hela. Anatafuta cheap option.

Multiplier effect ya kumiliki Man Utd ni kubwa sana kuliko Burnley. Arsenal hawajawahi chukua UCL ila wana loyal fan base. Hata Burnley wakiongoza league kwa misimu 10 mfululizo, satisfaction haiwezi kuwa sana na Man Utd ichukue mara 3 mfululizo.

Kwanini wachezaji wanatamani kucheza EPL au Europe wanakataa kwenda South America, USA, China au Arabuni?

Kuna intangible asset ipo kwenye ligi za Europe ambazo hizo ligi nyingine hazina. Tena zinapelekea ulipwe hata mishahara mizuri tu.

Man Utd ina 1.1bn fan base. Just imagine 1 person out of 8 anashangilia Man Utd. Ni asset kubwa sana.

Man City na Newcastle ni nothing when it comes to comercial value. Usitegemee hata inunuliwe kwa bei sawa na Arsenal au Chelsea.

Man Utd, Madrid na Barca. Zipo kwenye league ya aina yake kwenye mambo ya pesa.
Moja ya sababu ligi ya Uingereza ipo competitive ni kwamba mpunga unagawanywa kwa timu zote, even timu inayoshuka daraja inapiga hela ya kutosha, hivyo kinachobakia hapa ni commercial value tu.

Utd anapata kiasi gani kwa mwaka zaidi ya Burnley? Mwaka 2017, 2018, 2019 etc Commercial revenue ni around £170M.

Inamaana mtu akitoa 5B yake badala ya 300M kununua timu ndogo atakaa miaka kama 20 hivi kurudisha hela yake kabla hajaanza kupata hela. Ukumbuke Hio commercial revenue yenyewe kuna mishahara na cost nyengine kibao.

Angalia faida ya United miaka kama 10 iliopita
Capture+_2022-11-23-21-26-00.png


Faida kubwa kabisa ni £146M ambayo roughly ni Bilioni 400 za Kibongo, miaka 12 iliopita mara 5 timu imepata hasara, kwa uwekezaji wa £5B hio return ni mbovu,

Eka hio hela kampuni yoyote ya Tech unapiga mpunga wa maana, ndio maana unaona hakuna investor yoyote wa maana kwenye Mpira timu kubwA, usifikiri hawazioni hizo team.

Tajiri wa Liver alinunua timu 300m sasa hivi anauza 3B. United ukinunua 5B mgumu kuja kuuza.
 
Hizi ni biashara tusiongee kishabiki.

Chukua mfano United total profit yake last season ni £150m na Newcastle United ni £47m.

Halafu ununue United kwa £4B au zaidi bado ufanye investment kwenye infrastructure + players siyo chini ya £1.2B hapo kwenye £4B sijui kama inalipa na deni benki. Wakati huo kuna timu kama Newcastle imenunuliwa kwa £300m na inatengeneza faida ya £47m na kuna possibility ya ongezeko la mapato.

Ukipiga hesabu ni nani atakuwa kafanya biashara ya maana ambayo in 10 years ana faida ya kutosha na on top of that anaweza kuiuza club kwa thamani ya juu?!
Kwa lugha rahisi unanunua Newcastle 12 kwa United moja so chukua Faida ya Newcastle zidisha mara 12.
 
Man Utd ni cash generating machine. Ni wakati wa corona pekee ndo tulitengeneza hasara.

Pesa wanayoitengeneza pekee wanaweza fanya maendeleo makubwa sana tena bila kusubiri njuruu ya mmiliki.

Tottenham wametumia £1bn kujenga uwanja wa kisasa Europe nzima. Na sisi tumetumia kiasi hikohiko kuwapelekea dividend wakina Glazers.

Leo ningekuwa nainunua Man Utd, ningetoa £1bn kujenga uwanja mpya tu. Zile faida wanazopata wanunue wachezaji na kufanya maintanace kwenye facilities zilizobaki.

Then nakaa pembeni, sichukui hata sh 100 yao.
Kununua United kwa £4B ni bad investment unless uwe mfanyabiashara na shabiki wa United.
 
Back
Top Bottom