Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Afadhali mashabiki wa CR7 tutapumua sasa, maana ilikuwa inatukera sana kumuona kwenye team iliyokufa kitambo.

Nitaishabikia Man Utd na ubovu wake kwa amani bila presha, maana kuna muda ilikuwa inapigwa kisha nabaki kumskikitia CR7.

Katafute team nzuri ustaafu vizuri legend.
 
Saa yenye picha ya CR7 akiifunga Man Utd kwa kichwa.
IMG_20221122_214432.jpg
 
Afadhali mashabiki wa CR7 tutapumua sasa, maana ilikuwa inatukera sana kumuona kwenye team iliyokufa kitambo.

Nitaishabikia Man Utd na ubovu wake kwa amani bila presha, maana kuna muda ilikuwa inapigwa kisha nabaki kumskikitia CR7.

Katafute team nzuri ustaafu vizuri legend.
Kwani saivi unadhani anaenda wapi?..Bayern,Real Madrid au wapi?..Big No.

Ni either Sporting Lisbon,Roma(Unlikely),Lazio..au USA MLS.

He is finished.
 
Kwani saivi unadhani anaenda wapi?..Bayern,Real Madrid au wapi?..Big No.

Ni either Sporting Lisbon,Roma(Unlikely),Lazio..au USA MLS.

He is finished.
Wewe ni wakala wake au mke wake, mpaka uwe na taarifa za uhakika juu ya uhamisho wake?

Mimi sijui ataenda team gani, ndiomaana sijataka kulizungumzia.

He is less finished, compared to your club.
 
Vlahovic.

Gapko.

Lautaro Martinez.

Sesko.

Osimhen.

Kane.

Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
Nafikri tusuke kwanza kikosi kiwe na matuamaini, hatuwezi kuwaza kupata PRIME goal machine kwa aina hii ya team tuliyonayo.

Hasa wakiangalia wachezaji walioua career zao kwenye hii team.
 
Nafikri tusuke kwanza kikosi kiwe na matuamaini, hatuwezi kuwaza kupata PRIME goal machine kwa aina hii ya team tuliyonayo.

Hasa wakiangalia wachezaji walioua career zao kwenye hii team.
Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.

Striking force pekee ndo inazingua.
 
Cr7 mzee ni bora kuliko rashford, elanga, martial, antonty, Sancho kwa pamoja

Mkubali kuwa mmeshindwa kumtumia cr7

Cr7 ni tunu

Kijiji bila wazee ni kikundi cha wahuni

Nyie wapuuzi mjiandae kumtoa mbuzi mwingine wa kafala
Mmeacha mpira, mmekua washirikina washirikana tu
Wamiliki wamemwachia jamaa Kwa Shingo upande Sana , Ila najua Wana hasira na kocha 😁 sa hv wanawaza tuu huyu msenge timu isipoingia top 4 , tunamfukuza
 
Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.

Striking force pekee ndo inazingua.
January sina uhakika kama tunaweza kumpata Vlahovic au Osimhen ila yeyote kati ya hawa machalii tutakuwa tumelamba dume. Osimhen tuliwekewa mezani ila prioty ilikuwa kuboresha upande wa kulia (Antony).

Mtu pekee ninaye muona akijiunga na United ni Cody Gakpo baada ya kombe la dunia. Ten Hag aliwahitaji wote wawili na Antony ila bodi ilimwambia achague mmoja na kulikuwa na mawasiliano ya moja kwa moja kati Gakpo na Ten Hag (Wana wakala mmoja).
 
Vlahovic.

Gapko.

Lautaro Martinez.

Sesko.

Osimhen.

Kane.

Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
Lautaro Martinez
Benjamin Sesko
 
The process is designed to enhance the club's future growth. the Board will consider all strategic alternatives, including new investment into the club, a sale, or other transactions involving the Company.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
IMG_20221123_012550_526.jpg
 
#mufc's share price is up 17% following announcement of potential sale by Glazers. It has already added almost $400m to the club’s market capitalisation.


[KieranMaguire]
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
IMG_20221123_004200_410.jpg
 
No pay off for Cristiano Ronaldo as both sides only wanted to have clean resolution to respect the history of Ronaldo at Man Utd. No ongoing strings on either side. #MUFC

Erik ten Hag immediatly approved the decision together with the board.

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
IMG_20221123_004257_261.jpg
 
Back
Top Bottom