Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Cr7 mzee ni bora kuliko rashford, elanga, martial, antonty, Sancho kwa pamoja

Mkubali kuwa mmeshindwa kumtumia cr7

Cr7 ni tunu

Kijiji bila wazee ni kikundi cha wahuni

Nyie wapuuzi mjiandae kumtoa mbuzi mwingine wa kafala
Mmeacha mpira, mmekua washirikina washirikana tu
Trust the process
 
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
IMG_20221122_212224_831.jpg
 
Cristiano Ronaldo: “Following conversations with Manchester United we have mutually agreed to end our contract early. I love Manchester United and I love the fans, that will never ever change. However, it feels like the right time for me to seek a new challenge.”

#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU
 
Afadhali mashabiki wa CR7 tutapumua sasa, maana ilikuwa inatukera sana kumuona kwenye team iliyokufa kitambo.

Nitaishabikia Man Utd na ubovu wake kwa amani bila presha, maana kuna muda ilikuwa inapigwa kisha nabaki kumskikitia CR7.

Katafute team nzuri ustaafu vizuri legend.
 
Afadhali mashabiki wa CR7 tutapumua sasa, maana ilikuwa inatukera sana kumuona kwenye team iliyokufa kitambo.

Nitaishabikia Man Utd na ubovu wake kwa amani bila presha, maana kuna muda ilikuwa inapigwa kisha nabaki kumskikitia CR7.

Katafute team nzuri ustaafu vizuri legend.
Kwani saivi unadhani anaenda wapi?..Bayern,Real Madrid au wapi?..Big No.

Ni either Sporting Lisbon,Roma(Unlikely),Lazio..au USA MLS.

He is finished.
 
Kwani saivi unadhani anaenda wapi?..Bayern,Real Madrid au wapi?..Big No.

Ni either Sporting Lisbon,Roma(Unlikely),Lazio..au USA MLS.

He is finished.
Wewe ni wakala wake au mke wake, mpaka uwe na taarifa za uhakika juu ya uhamisho wake?

Mimi sijui ataenda team gani, ndiomaana sijataka kulizungumzia.

He is less finished, compared to your club.
 
Vlahovic.

Gapko.

Lautaro Martinez.

Sesko.

Osimhen.

Kane.

Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
Nafikri tusuke kwanza kikosi kiwe na matuamaini, hatuwezi kuwaza kupata PRIME goal machine kwa aina hii ya team tuliyonayo.

Hasa wakiangalia wachezaji walioua career zao kwenye hii team.
 
Nafikri tusuke kwanza kikosi kiwe na matuamaini, hatuwezi kuwaza kupata PRIME goal machine kwa aina hii ya team tuliyonayo.

Hasa wakiangalia wachezaji walioua career zao kwenye hii team.
Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.

Striking force pekee ndo inazingua.
 
Cr7 mzee ni bora kuliko rashford, elanga, martial, antonty, Sancho kwa pamoja

Mkubali kuwa mmeshindwa kumtumia cr7

Cr7 ni tunu

Kijiji bila wazee ni kikundi cha wahuni

Nyie wapuuzi mjiandae kumtoa mbuzi mwingine wa kafala
Mmeacha mpira, mmekua washirikina washirikana tu
Wamiliki wamemwachia jamaa Kwa Shingo upande Sana , Ila najua Wana hasira na kocha 😁 sa hv wanawaza tuu huyu msenge timu isipoingia top 4 , tunamfukuza
 
Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.

Striking force pekee ndo inazingua.
January sina uhakika kama tunaweza kumpata Vlahovic au Osimhen ila yeyote kati ya hawa machalii tutakuwa tumelamba dume. Osimhen tuliwekewa mezani ila prioty ilikuwa kuboresha upande wa kulia (Antony).

Mtu pekee ninaye muona akijiunga na United ni Cody Gakpo baada ya kombe la dunia. Ten Hag aliwahitaji wote wawili na Antony ila bodi ilimwambia achague mmoja na kulikuwa na mawasiliano ya moja kwa moja kati Gakpo na Ten Hag (Wana wakala mmoja).
 
Vlahovic.

Gapko.

Lautaro Martinez.

Sesko.

Osimhen.

Kane.

Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
Lautaro Martinez
Benjamin Sesko
 
Back
Top Bottom