Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,020
- 28,056
Afadhali mashabiki wa CR7 tutapumua sasa, maana ilikuwa inatukera sana kumuona kwenye team iliyokufa kitambo.
Nitaishabikia Man Utd na ubovu wake kwa amani bila presha, maana kuna muda ilikuwa inapigwa kisha nabaki kumskikitia CR7.
Katafute team nzuri ustaafu vizuri legend
.
Nitaishabikia Man Utd na ubovu wake kwa amani bila presha, maana kuna muda ilikuwa inapigwa kisha nabaki kumskikitia CR7.
Katafute team nzuri ustaafu vizuri legend
.




#MUFC