Ujinga wake wakukurupukia utelezi, na hapo mkataba wake unazidi kuisha na timu matokeo yake utaisha aanze kukosa na hela.Kesi ya Greenwood hadi Nov 27, 2023.
Huyu dogo mpira ndiyo basi tena.
Di maria na sanchez 😆🤣😂
Kacheza vizuri sana, watanzania wanapenda wachezaji wa anao anao tu.Tuna maono tofauti, binafsi nimeona Frenkie kaupiga sana mwingi dimba la kati pale.
Yupo vzr Sana, akiwa juu ya back 4, anauwezo wa kuvunja line za wapinzaniNimekubali De Jong ni ball carrier..jamaa anatembea na mpira kinoma..ila ndo hivyo inaonekana hatupendi.





Ilo ndio kombe lenu since SAFCRISTIANO RONALDO LEAVES MANCHESTER UNITED WITH IMMEDIATE EFFECT
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMUView attachment 2424333




