Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,872
- 32,780
Kacheza vizuri sana, watanzania wanapenda wachezaji wa anao anao tu.Tuna maono tofauti, binafsi nimeona Frenkie kaupiga sana mwingi dimba la kati pale.
De Jong ni tactical player
Kacheza vizuri sana, watanzania wanapenda wachezaji wa anao anao tu.Tuna maono tofauti, binafsi nimeona Frenkie kaupiga sana mwingi dimba la kati pale.
Yupo vzr Sana, akiwa juu ya back 4, anauwezo wa kuvunja line za wapinzaniNimekubali De Jong ni ball carrier..jamaa anatembea na mpira kinoma..ila ndo hivyo inaonekana hatupendi.




Ilo ndio kombe lenu since SAFCRISTIANO RONALDO LEAVES MANCHESTER UNITED WITH IMMEDIATE EFFECT
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMUView attachment 2424333





Trust the processCr7 mzee ni bora kuliko rashford, elanga, martial, antonty, Sancho kwa pamoja
Mkubali kuwa mmeshindwa kumtumia cr7
Cr7 ni tunu
Kijiji bila wazee ni kikundi cha wahuni
Nyie wapuuzi mjiandae kumtoa mbuzi mwingine wa kafala
Mmeacha mpira, mmekua washirikina washirikana tu




