Sasa boss, unataka kusema Bruno hajui ama? Nimesema kuja kwa Eriksen kumemaliza kiwango cha Bruno? Eriksen kapunguza kuonekana kwa Bruno. Cheki stats hizi, na hapa wote wana games sawa 13 za EPL.
View attachment 2415912
Hizi ni za League cup:
View attachment 2415914
Hizi ni za Europa:
View attachment 2415915
Sasa hapo huoni jinsi Eriksen alicholeta kwenye timu, ambacho Bruno alikuwa akifanya?
As long as wote wanachangia kwenye timu, kama shabiki unataka ni zaidi?
Hao watu wanaosema Ronaldo kammaliza Bruno wanatumia stats zipi?
Sasa hayo ya sifa na wanawake siyo ya kisoka, ni yako tu.