Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Progress is Zero!ni ukweli tangia 2013 Manchester United ipo ipo tu nothing new Ronaldo anaijua United na ana uchungu nayo for example Fergie alimpigia simu na akaamua kufuata moyo wake wa kurudi nyumbani but since hakuna mapya kabisa
IMG_20221114_094453.jpg
 
Wafia timu mmekasirika?? Wacha mchomwe Sindano ya Ukweli. Polepole mtapona tuu.

Huwezi niambie Zlatan, Mourinho, Lukaku Pogba, Cavani, Rangnick, Eric Bailly na Ronaldo ni Wapumbavu, HAPANA.

Eti "Kasema ukweli "ILA". Hakuna cha ila, pambaneni na Ukweli acheni kutafuta Kichaka.
IMG_20221114_094405.jpg
 
Kitendo cha PENDU kumsema vibaya ETH
Naona january asepe tu ETH kamvumilia sana alikataa kuingia sub dhid ya spurs
Akapewa ukapteni bado mpira wake mbovu juzi dhid ya villa tukafungwa 3 yeye akuwepo ndani bila msaada sasa naelewa kwanini florentino perez aliuza hii flop kwa juve
 
Msimu huu naona tutamaliza ligi na GD ileile tuliyomaliza nayo mwaka jana.
Hii timu ikibahatika kuongoza mechi kwa goli moja wachezaji wanarelax hawajisumbui kabisa kutafuta goli la pili, wanahesabia tayari wamemaliza kazi.
Presha inaanza baada ya timu pinzani kusawazisha.
Mechi zetu nyingi kama ni kushinda basi ni 1-0, 2-1, 3-2 ni mechi chake sana ambazo hua tunaongoza kwa goli 2+
 
Sasa boss, unataka kusema Bruno hajui ama? Nimesema kuja kwa Eriksen kumemaliza kiwango cha Bruno? Eriksen kapunguza kuonekana kwa Bruno. Cheki stats hizi, na hapa wote wana games sawa 13 za EPL.

View attachment 2415912

Hizi ni za League cup:
View attachment 2415914

Hizi ni za Europa:
View attachment 2415915

Sasa hapo huoni jinsi Eriksen alicholeta kwenye timu, ambacho Bruno alikuwa akifanya?
As long as wote wanachangia kwenye timu, kama shabiki unataka ni zaidi?

Hao watu wanaosema Ronaldo kammaliza Bruno wanatumia stats zipi?

Sasa hayo ya sifa na wanawake siyo ya kisoka, ni yako tu.
Mkuu kiwango cha Fernandez tumeanza kukilalamikia kabla hata ya ujio wa Eriksen.
Jamaa anapoteza mipira kizembe sana hali inayopelekea kuigharimu timu.
 
Kitendo cha PENDU kumsema vibaya ETH
Naona january asepe tu ETH kamvumilia sana alikataa kuingia sub dhid ya spurs
Akapewa ukapteni bado mpira wake mbovu juzi dhid ya villa tukafungwa 3 yeye akuwepo ndani bila msaada sasa naelewa kwanini florentino perez aliuza hii flop kwa juve
Unafikiri Ronaldo Anajali?Ronaldo ni GOAT hapo kwa Manchester United unahisi nani kaipa mafanikio kati ya hao wawili?huyo ETH atapigwa kama ngoma na Barcelona na EPL top 4 hatagusa and mind you Ronaldo ndio last player toka EPL kuleta Ballon D'or hapo ujue
 
Ronaldo ni mchezaj wa hovyo sana alikuwa akifos kupndoka akakosa timu kwa sasa anasema united wasaliti
 
Unafikiri Ronaldo Anajali?Ronaldo ni GOAT hapo kwa Manchester United unahisi nani kaipa mafanikio kati ya hao wawili?huyo ETH atapigwa kama ngoma na Barcelona na EPL top 4 hatagusa and mind you Ronaldo ndio last player toka EPL kuleta Ballon D'or hapo ujue

Kupigwa kama ngoma sio inshu sijui ni kocha gani hajawah kupigwa kama ngoma hebu mtaje hapa ambae hajawah kufungwa na kukosa nafasi muhimu za timu yake kuongoza ktk mashindano
 
Kitendo cha PENDU kumsema vibaya ETH
Naona january asepe tu ETH kamvumilia sana alikataa kuingia sub dhid ya spurs
Akapewa ukapteni bado mpira wake mbovu juzi dhid ya villa tukafungwa 3 yeye akuwepo ndani bila msaada sasa naelewa kwanini florentino perez aliuza hii flop kwa juve
Full interview itatueleza Kwa nn alizingua kuingia sub , kaa Kwa kutulia
 
Unafikiri Ronaldo Anajali?Ronaldo ni GOAT hapo kwa Manchester United unahisi nani kaipa mafanikio kati ya hao wawili?huyo ETH atapigwa kama ngoma na Barcelona na EPL top 4 hatagusa and mind you Ronaldo ndio last player toka EPL kuleta Ballon D'or hapo ujue
Achaga ufala na wewe,kila zama zinaexpire,ingekua ivo mpaka sasa wakina Pele na Maradona wangekua wanacheza,Ronaldo muda wake umeisha mguuni anaforce tu sympath kwa mashabiki,ila muda ndo umeisha..
Infact huko kupigwa kwetu kama ngoma ndo tunapenda,kama Liva na klop wake walivokua wanapigwa.
 
Nilitaka kwenda Man City lakini Sir Alex Ferguson alinipigia na kuniambia sipaswi kwenda City nami sikutaka kumkatalia, nikaufuata moyo wangu na nikarejea Old Trafford.

Nilidhani nitaona vitu tofauti ndani ya United lakini nimeshangaa mambo mengi ni yale yale tangu nilipokuwa nina miaka 20,21,22 teknolojia imebadilika ila United tupo pale pale.

Nahisi kusalitiwa na Man United, kuna baadhi ya watu hawataki niwepo hapa na sio msimu huu tu ni tangu msimu uliopita wanataka niondoke, mimi naiheshimu sana klabu hii na Mashabiki wake.

Sina heshima yoyote kwa Erik Ten Haag kwakuwa yeye haniheshimu, kama wanataka kufanya mabadiliko ikiwemo kuniondosha ni sawa ila wanapaswa kubadili vitu vingi sana ndani ya United.

Sijui kwanini Wayne Rooney ananikosoa sana, pengine kwakuwa bado nacheza muda mrefu tena kwenye ushindani mkubwa kuliko yeye, hilo sifahamu.

- Sehemu ya Interview ya Ronaldo na Piers Morgan ambayo itaanza kuruka Jumanne na Jumatano.
 
Achaga ufala na wewe,kila zama zinaexpire,ingekua ivo mpaka sasa wakina Pele na Maradona wangekua wanacheza,Ronaldo muda wake umeisha mguuni anaforce tu sympath kwa mashabiki,ila muda ndo umeisha..
Infact huko kupigwa kwetu kama ngoma ndo tunapenda,kama Liva na klop wake walivokua wanapigwa.
That's why nimesema Ronaldo hajali hilo kawasha moto ndani kunaungua dunia nzima inasubiri interview kesho wewe ukiwemo
 
Full interview itatueleza Kwa nn alizingua kuingia sub , kaa Kwa kutulia
Itoke mara ngapi? Anajua january hatopata timu kwa pride yake na hata kabla ya msimu uliopita kuisha alikuwa anatafta timu nyingne zote zilimkataa
Interview nyingi kuliko magoli aliofunga msimu huu
PENDU KWISHNEY
 
Back
Top Bottom