lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,500
HaichekeshiRonado kasema watu mule ndani walikuwa wanamtenga ,walimnyima kitanda Cha kulala alikuwa analala na Sancho ,walimuahidi swimming pool nzuri ya kuogelea lakin alikuwa anaenda kuoga Stamford bridge ,mshahara hawajamlipa mwezi wa tatu huu ,chakula Cha kulisha familia hawampi ,Kila siku wafanya kazi wa mule OT wanamlisha makande ,hakuna soft drinks na maji wakati wa HT kupozo Koo ,watu wote pale OT walikuwa wanamchukia ,kasema ETH anawivu sana ,na hamheshimu ,ilifika hatua Hadi nguo za mazoezi hapewi inabid afue zile alizotumia game iliyoisha wakati wengine wamepewa mpya ....kasema mengi sana Ronaldo
Kasema hata kanyaga Tena kwenye uwanja wa OT ....
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app




Nilitaka kwenda Man City lakini Sir Alex Ferguson alinipigia na kuniambia sipaswi kwenda City nami sikutaka kumkatalia, nikaufuata moyo wangu na nikarejea Old Trafford.