asahd
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 341
- 467
Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.
Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.
Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.
Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.
Wamesave sana aisew sasa naelewa Fulham walimfungaje liverpool vijana wanasakata boli hasa wakiwa home ila kwa city walipigwa 4+ nachukiaga sanaLisandro na DeGea unawaacha wapi?
Leo tulikuwa tunafungwa si chini ya goli 3.
Huenda timu ya taifa akang'aa kama vile sio Ronaldo wa Man United.Kingine mmeona kusajili mchezaji anayeforce kuja ina msaada, Martinez, Anthony, malacia watu bana.
Ericksen na casemiro wanasaidia kutoa depth na kuondokana na mcfred
Forward anunuliwe ambaye anataka acheze man u.
Ronaldo kwa heshima asepe January.
Hii world cup Portugal shauri yao Ronaldo ndie atakua tatizo kwao
Akimeza ustaa awe mtu wa kuwamotivate from bench awe anaingia second half naona wanaweza fika mbali.
Sasa akiwa uwanjani wachezaji watakua wanampa pass kuepusha lawama.
Akikabwa kwisha.
Hata sisi tulikua na uwezo wa kuwapiga nne maana wanacheza sana mpira wa wazi....Wamesave sana aisew sasa naelewa Fulham walimfungaje liverpool vijana wanasakata boli hasa wakiwa home ila kwa city walipigwa 4+ nachukiaga sana
Bora hata ya Welbeck kuliko huyo mmatumbi wetu.Elanga ni kama Welbeck tu.
Wa hovyo sana huyu kochaEti anaanza na takataka elanga
Kikosi kiko vizuri sana. Shida yake hajui nani yuko on-fire aanze. Wachezaji wana msimu, kuna wakati mchezaji anakuwa wa-moto sana inatakiwa wakati huo aanza kila mechi. Wiki tatu zilizopita Fred alikuwa moto wa kuotea mbali, lakini akaamua kumuweka benchi mazima. Kweli unamuweka bench Garnacho unaanza na Elanga!!!Mkuu mbona unamponda sn kocha wkt yuko poa tu kulinganisha na waliopita. Unajua sikuelewi kabisa.
MUFC akicheza na timu zinazocheza mpira wa wazi mara nyingi anafanya vizuri.Hata sisi tulikua na uwezo wa kuwapiga nne maana wanacheza sana mpira wa wazi....
Sure.Elanga ni kama Welbeck tu.
Lishakuwa takataka linakera sana [emoji35][emoji35]Fernandez ameshaanza kuwa mzigo pale OT, anapoteza mipira na hata kukaba hakabi
Kikosi kiko vizuri sana. Shida yake hajui nani yuko on-fire aanze. Wachezaji wana msimu, kuna wakati mchezaji anakuwa wa-moto sana inatakiwa wakati huo aanza kila mechi. Wiki tatu zilizopita Fred alikuwa moto wa kuotea mbali, lakini akaamua kumuweka benchi mazima. Kweli unamuweka bench Garnacho unaanza na Elanga!!!