Hana akili ya mpira.Chezaji la dunia Rashford mnaomkosoa hamujui bolu
Na inavumiliwa tu pale licha ya upumbavu inaofanya.Rashford ni takataka
Michezaji ya kiingereza hovyo tuRashford ni takataka
Alejandro GARNACHOOOOOO..katuokoa dakika ya mwisho. Juhudi zake binafsi Nitashangaa kocha mjinga huyu akiendelea kumuacha nje mechi zijazo.KUNA MTU ANAWEZA KUNISAIDIA ANIAMBIE KWA NINI HUYU KOCHA NI MJINGA KIASI HIKI. GARNACHO, TOMINAY, FRED...SIJUI KWA NINI HAWAANZI ILI TUANGALIE MECHI KWA RAHA. BIA YANGU SASA HAPA NAKUNYWA KWA SHIDAAAA![]()
Yule kichwa chake jinsi kilivyo hawezi kuwa na akili.Michezaji ya kiingereza hovyo tu
Eti anaanza na takataka elangaAlejandri GARNACHOOOOOO..katuokoa dakika ya mwisho. Juhudi zake binafsi Nitashangaa kocha mjinga huyu akiendelea kumuacha nje mechi zijazo.
1-2
Mkuu mbona unamponda sn kocha wkt yuko poa tu kulinganisha na waliopita. Unajua sikuelewi kabisa.Alejandri GARNACHOOOOOO..katuokoa dakika ya mwisho. Juhudi zake binafsi Nitashangaa kocha mjinga huyu akiendelea kumuacha nje mechi zijazo.
1-2
Huyu mtoto unayesema si level yake umemuona? Umeona goli hilo Dejan7?Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.
Leta msimamoAlejandri GARNACHOOOOOO..katuokoa dakika ya mwisho. Juhudi zake binafsi Nitashangaa kocha mjinga huyu akiendelea kumuacha nje mechi zijazo.
1-2
JINI KATOKA MGANGA HOI



shida. Fulham kakutana na mtumbwi wa vibwengo kwake kabisaKocha ameshaanza kuwa na mambo ya kifala kwenye selections zake.Alejandri GARNACHOOOOOO..katuokoa dakika ya mwisho. Juhudi zake binafsi Nitashangaa kocha mjinga huyu akiendelea kumuacha nje mechi zijazo.
1-2