Alejandro GARNACHOOOOOO..katuokoa dakika ya mwisho. Juhudi zake binafsi Nitashangaa kocha mjinga huyu akiendelea kumuacha nje mechi zijazo.KUNA MTU ANAWEZA KUNISAIDIA ANIAMBIE KWA NINI HUYU KOCHA NI MJINGA KIASI HIKI. GARNACHO, TOMINAY, FRED...SIJUI KWA NINI HAWAANZI ILI TUANGALIE MECHI KWA RAHA. BIA YANGU SASA HAPA NAKUNYWA KWA SHIDAAAA![]()
Yule kichwa chake jinsi kilivyo hawezi kuwa na akili.Michezaji ya kiingereza hovyo tu
Eti anaanza na takataka elangaAlejandri GARNACHOOOOOO..katuokoa dakika ya mwisho. Juhudi zake binafsi Nitashangaa kocha mjinga huyu akiendelea kumuacha nje mechi zijazo.
1-2
Mkuu mbona unamponda sn kocha wkt yuko poa tu kulinganisha na waliopita. Unajua sikuelewi kabisa.Alejandri GARNACHOOOOOO..katuokoa dakika ya mwisho. Juhudi zake binafsi Nitashangaa kocha mjinga huyu akiendelea kumuacha nje mechi zijazo.
1-2
Huyu mtoto unayesema si level yake umemuona? Umeona goli hilo Dejan7?Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.
Leta msimamoAlejandri GARNACHOOOOOO..katuokoa dakika ya mwisho. Juhudi zake binafsi Nitashangaa kocha mjinga huyu akiendelea kumuacha nje mechi zijazo.
1-2
JINI KATOKA MGANGA HOI



shida. Fulham kakutana na mtumbwi wa vibwengo kwake kabisaKocha ameshaanza kuwa na mambo ya kifala kwenye selections zake.Alejandri GARNACHOOOOOO..katuokoa dakika ya mwisho. Juhudi zake binafsi Nitashangaa kocha mjinga huyu akiendelea kumuacha nje mechi zijazo.
1-2
Hasa striking.Kwasasa hatuna
Kabisa. Nilikuwa naongea na jamaa mmoja hapa kuhusu kutuliza mtu anapiga kichwa hovyo sana.At times wachezaji wetu wanacheza kama mazuzu..sehemu ya kutuliza na kushoot mtu anapiga kakichwa uchwara utadhani bibi yake ndo kipa golini..sehemu ya kutoa assist mtu anatoa macho..yaani hovyo kabisa.
Thanks to Garnacho..but this is undeserved win.
Boss kwema?Hata Kama Mpira Unadunda Bado Sijaiyona Manchester United Ya Kuifunga Fulham..!
Fulham 2-1 Manchester United![]()