Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Garnacho..Garnacho..Garnachoooooo
Winga hatari huyu, amewatesa sana Villa. SANCHO AISHIE HUKO HUKO ASIRUDI TENA HAPA.
huyu mtoto Garnacho ni mzuriiii, Sancho auzwe kabsaaa
wabongo kwenye ubora wenu nawaona, Sancho angekuwepo si ange cover nafasi ya Antony kulia badala ya Elanga?
 
Screenshot_20221111-010145_All%20Goals.jpg
 
Sema mda mwngne tunaujuaji sana mashabiki kila chimbo la Man U lilikua linabeza kikosi cha ETH leo ila kimecheza vzur kuanzia dakika ya 0 mpaka 90 kimecheza kuliko kile cha villa park na Unai hajafanya mabadiriko makuubwa kina Ramsey,Watkins waliotukaanga ndo walewale wa Leo sasa najiuliza tulikwama wapi Villa park Bruno nae sijui anamapepo game nyngne mpaka unataman kumchapa ila game nyngne anakiwasha kama hii ya leo
Gernacho future is Bright...Rash hatukudai leo..Martial unakaa sana offside...Malacia,Maguire Kakichafua MNOO NA KADI JUU ,,UYU KIPA APEWE game nzito tuone uwezo wake villa hawajapiga shot on target nyingii tuone uwezo wake wa saves

FT 4-2
 
Sema mda mwngne tunaujuaji sana mashabiki kila chimbo la Man U lilikua linabeza kikosi cha ETH leo ila kimecheza vzur kuanzia dakika ya 0 mpaka 90 kimecheza kuliko kile cha villa park na Unai hajafanya mabadiriko makuubwa kina Ramsey,Watkins waliotukaanga ndo walewale wa Leo sasa najiuliza tulikwama wapi Villa park Bruno nae sijui anamapepo game nyngne mpaka unataman kumchapa ila game nyngne anakiwasha kama hii ya leo
Gernacho future is Bright...Rash hatukudai leo..Martial unakaa sana offside...Malacia,Maguire Kakichafua MNOO NA KADI JUU ,,UYU KIPA APEWE game nzito tuone uwezo wake villa hawajapiga shot on target nyingii tuone uwezo wake wa saves

FT 4-2
Ile mechi ya Villa park wachezaji walikuwa na fatigue ya uchovu wa safari ya Spain
 
Back
Top Bottom