Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

All the best in your new chapter, Gerard Pique!

#GlazerOUT
#GGMU

manutd View attachment 2408161View attachment 2408165View attachment 2408166View attachment 2408163View attachment 2408162View attachment 2408164
IMG_20221106_085833_883.jpg
 
Top for Ni must,,,,,,

Trust the process!

Villarians leo wapo na emery , watakua na morali Sana kuelekea game yao na utd,,,,, !

Sio game rahisi Sana, point tatu Ni muhimu,,,, pale mbele pamepwaya kiasi flani ,,, Anthony Santos na Anthony martial hawapo,,,, cr7 butu, tunahitaji kiwango kizuri cha garnacho na rashyy, Bruno game imkae vizuri !

#GGMU
 
Top for Ni must,,,,,,

Trust the process!

Villarians leo wapo na emery , watakua na morali Sana kuelekea game yao na utd,,,,, !

Sio game rahisi Sana, point tatu Ni muhimu,,,, pale mbele pamepwaya kiasi flani ,,, Anthony Santos na Anthony martial hawapo,,,, cr7 butu, tunahitaji kiwango kizuri cha garnacho na rashyy, Bruno game imkae vizuri !

#GGMU
Bruno hachezi leo nadhani.
 
Tetesi:
Manchester united wanataka kumsajili mshambuliaji hatari wa Bayen munich Eric choup moting mwenye umri wa miaka 33 kama mbadala wa Ronaldo
Mshambuliaji huyo ambaye ameshawahi kukipiga Psg amekuwa na kiwango kizuri msimu kwa kufunga magoli karibu kila mechi aliyocheza
 

Attachments

  • Screenshot_20221106-115401~2.png
    Screenshot_20221106-115401~2.png
    142.1 KB · Views: 8
Tetesi:
Manchester united wanataka kumsajili mshambuliaji hatari wa Bayen munich Eric choup moting mwenye umri wa miaka 33 kama mbadala wa Ronaldo
Mshambuliaji huyo ambaye ameshawahi kukipiga Psg amekuwa na kiwango kizuri msimu kwa kufunga magoli karibu kila mechi aliyocheza
Timu hii kwl mipango haina, mtu ana miaka 33 ananunuliwa kama mrithi
 
Top for Ni must,,,,,,

Trust the process!

Villarians leo wapo na emery , watakua na morali Sana kuelekea game yao na utd,,,,, !

Sio game rahisi Sana, point tatu Ni muhimu,,,, pale mbele pamepwaya kiasi flani ,,, Anthony Santos na Anthony martial hawapo,,,, cr7 butu, tunahitaji kiwango kizuri cha garnacho na rashyy, Bruno game imkae vizuri !

#GGMU
Bruno hachezi..ana commulative yellow cards..
 
Back
Top Bottom