Nilitaka niandike hivi sema nikaona hata hao uliowataja 90% wana uwezo mdogo lkn bado wanacheza, sasa ARVnew cjui anamaanisha nini anaposema weusi wanabaguliwa.
Nilitaka niandike hivi sema nikaona hata hao uliowataja 90% wana uwezo mdogo lkn bado wanacheza, sasa ARVnew cjui anamaanisha nini anaposema weusi wanabaguliwa.
Villarians leo wapo na emery , watakua na morali Sana kuelekea game yao na utd,,,,, !
Sio game rahisi Sana, point tatu Ni muhimu,,,, pale mbele pamepwaya kiasi flani ,,, Anthony Santos na Anthony martial hawapo,,,, cr7 butu, tunahitaji kiwango kizuri cha garnacho na rashyy, Bruno game imkae vizuri !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.