Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu haija improve chochote upande wa kufungua defence line za wapinzan wetu.. since kina mourinnho mpk saiv ten hag tunasafa sn kuzifunga timu zenye defence mentality..
Mbele hakuna ubunifu pasi inatoka kushoto inapelekwa kati inaenda kulia then inarudishwa kwa kipa
 
Timu haija improve chochote upande wa kufungua defence line za wapinzan wetu.. since kina mourinnho mpk saiv ten hag tunasafa sn kuzifunga timu zenye defence mentality..
Mbele hakuna ubunifu pasi inatoka kushoto inapelekwa kati inaenda kulia then inarudishwa kwa kipa
Ni process mpaka kufikia viwango vya juu ila kusema timu haija-improve chochote ni uongo labda useme tu timu haina consistency kiuchezaji ila jambo la muhimu kabisa tunapata matokeo mazuri hivi karibuni.

Defensively tunajitahidi angalau tunaweza kulinda goli. Kwa Ten Hag tunaona mwanga maana wachezaji aliowaleta wote wamekuwa msaada mkubwa kwetu msimu huu. Uvumilivu unahitajika sana.
 
Ni process mpaka kufikia viwango vya juu ila kusema timu haija-improve chochote ni uongo labda useme tu timu haina consistency kiuchezaji ila jambo la muhimu kabisa tunapata matokeo mazuri hivi karibuni.

Defensively tunajitahidi angalau tunaweza kulinda goli. Kwa Ten Hag tunaona mwanga maana wachezaji aliowaleta wote wamekuwa msaada mkubwa kwetu msimu huu. Uvumilivu unahitajika sana.
Anataka zimamoto hajui Ni process had timu ianze kucheza kwa kuelewana

Mpira wa bongo umetuharibu Sana,

Mfano Yanga walitakiwa wawekeze Tena kwa kuondoa takataka ,then Baada ya misimu miwili wangecheza hata makund CAF,


Sasa kwakuwa soka la Africa halina project tumezoea kutaka zimamoto ,Basi tunataka na ulaya hivo hivo kitu ambacho sikweli

Kwa Ten hag Kuna mabadiliko Tena hasa defense , hatua kwa hatua atafikia had ushambuliaji .
 
Anataka zimamoto hajui Ni process had timu ianze kucheza kwa kuelewana

Mpira wa bongo umetuharibu Sana,

Mfano Yanga walitakiwa wawekeze Tena kwa kuondoa takataka ,then Baada ya misimu miwili wangecheza hata makund CAF,


Sasa kwakuwa soka la Africa halina project tumezoea kutaka zimamoto ,Basi tunataka na ulaya hivo hivo kitu ambacho sikweli

Kwa Ten hag Kuna mabadiliko Tena hasa defense , hatua kwa hatua atafikia had ushambuliaji .
Umeongea point kubwa kuanzia ulaya mpk bongo.
 
Donny van de Beek: “I’m happy to be back and have to stay fit for a longer time and try to help Man United”. #MUFC

“I feel great, I feel good and what I’m saying is I just need to keep going and, if chances come, I have to take them”.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
 
Our goal remains the same.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221104_123708_538.jpg
 
mara ya mwisho kufungwa goli kwa open play ilikuwa dhidi ya everton.
chelsea walitufunga goli kwa njia ya penalty

everton 1 - man utd 2
man utd 1 - omonia 0
man utd 0 - newcastle 0
man utd 2 - tottenham 0
chelsea 1 - man utd 1
man utd 3 - sheriff 0
man utd 1 - west ham 0
real sociedad 0 - man utd 1
 
mara ya mwisho kufungwa goli kwa open play ilikuwa dhidi ya everton.
chelsea walitufunga goli kwa njia ya penalty

everton 1 - man utd 2
man utd 1 - omonia 0
man utd 0 - newcastle 0
man utd 2 - tottenham 0
chelsea 1 - man utd 1
man utd 3 - sheriff 0
man utd 1 - west ham 0
real sociedad 0 - man utd 1
Rafiki yako AWB umempiga kipapai yupo tu benchi pale
 
Anataka zimamoto hajui Ni process had timu ianze kucheza kwa kuelewana

Mpira wa bongo umetuharibu Sana,

Mfano Yanga walitakiwa wawekeze Tena kwa kuondoa takataka ,then Baada ya misimu miwili wangecheza hata makund CAF,


Sasa kwakuwa soka la Africa halina project tumezoea kutaka zimamoto ,Basi tunataka na ulaya hivo hivo kitu ambacho sikweli

Kwa Ten hag Kuna mabadiliko Tena hasa defense , hatua kwa hatua atafikia had ushambuliaji .
Ninacho kukubali mdogo wangu hauna dachi, kwenye utani unatania kwenye ukwi unaongea.
 
Ninacho kukubali mdogo wangu hauna dachi, kwenye utani unatania kwenye ukwi unaongea.
Katika mashabiki wa Arsenal wa JF huyu jamaa ni namba moja ninaemkubali, hua kabla hata ya kusoma post yake cha kwanza lazima ni like then ndio niendelee kuchota busara zake.
hamis77 wewe jamaa sio shabiki wa mpira bali ni mpenzi wa soccer aliyekosea kuchagua timu ya kushangilia na kwenda kuangukia kule kwenye fungu la kukosa(AsaniAli)
 
mara ya mwisho kufungwa goli kwa open play ilikuwa dhidi ya everton.
chelsea walitufunga goli kwa njia ya penalty

everton 1 - man utd 2
man utd 1 - omonia 0
man utd 0 - newcastle 0
man utd 2 - tottenham 0
chelsea 1 - man utd 1
man utd 3 - sheriff 0
man utd 1 - west ham 0
real sociedad 0 - man utd 1
Bado kuna mtu atakuambia hakuna mabadiliko, hawa wala mihogo hawa wana mambo kweli
 
Back
Top Bottom