Timu haija improve chochote upande wa kufungua defence line za wapinzan wetu.. since kina mourinnho mpk saiv ten hag tunasafa sn kuzifunga timu zenye defence mentality..
Mbele hakuna ubunifu pasi inatoka kushoto inapelekwa kati inaenda kulia then inarudishwa kwa kipa
Mbele hakuna ubunifu pasi inatoka kushoto inapelekwa kati inaenda kulia then inarudishwa kwa kipa

#MUFC

Made it 
aliyekosea kuchagua timu ya kushangilia na kwenda kuangukia kule kwenye fungu la kukosa(AsaniAli)