Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,751
- 5,623
Bruno akae bench?Natamn fred acheze na Casemiro kati,,, ! Then Ericksen acheze namba 10, sema ETH hapendi kumtumia Ericksen Kama namba namba 10
Bruno akae bench?Natamn fred acheze na Casemiro kati,,, ! Then Ericksen acheze namba 10, sema ETH hapendi kumtumia Ericksen Kama namba namba 10
Bruno ana kadi leo hayupoBruno akae bench?
Not availableBruno akae bench?
WOTE ULIOWATAJA HAPO, NIONESHE WAWILI AMBAO NI FIRST ELEVEN YA UHAKIKAAnabaguliwa na nani ?
Mallacia ni mweupe ?
Rashford ni mweupe ?
Fred ni mweupe ?
Varane ni mweupe ?
Elanga ni mweupe ?
Vipi kuhusu Martial??
TIMEWEKEWA VAN DE BEEK NA ERICKSON, TUTAKIMBIZWA SANA HAPO KATI. MTU ANIAMBIE ANTHONY ALIENDA WAPI? MECHI YA TATU HII HATUMUONI.Bruno ana kadi leo hayupo

Yupo anafanya viipimo kwa ajili ya kukamilisha usajili wake kwenda Preston mkuuTIMEWEKEWA VAN DE BEEK NA ERICKSON, TUTAKIMBIZWA SANA HAPO KATI. MTU ANIAMBIE ANTHONY ALIENDA WAPI? MECHI YA TATU HII HATUMUONI.
KUNA WATU BADO HAWAJAONA UBAGUZI ULIOPO HAPO. TUTAKIMBIZWA SANA....Hivi ni kwamba jamaa hamuamini fred kabisa ama?? Maana ni mara mia 600 kuliko van asee yani leo kuanzia mbele ronaldo, rash, van, nacho,erick sio watu wa kukaba kabisa yani sijui tunachezaje hii mechi.
Dah wacha nikaangalie tu labda watafanya jambo.
RON NI MTU MUHIMU NA YUKO COMMITTED SANA HASA KATIKA KUHAMASISHA VIJANA. ACHA AANZE TUFURAHIE MPIRA.Ronaldo ndo Captain leo na ujinga wote aliotufanyia lately..
Sijui EtH amekula maharage ya wapi leo.
Unaumia ukiwa wapi?Chelsea 0-1 Arsenal Full TimeGOAL...TUSHAPIGWA DAKIKA YA 7. VAN DE BEEK HAJAGUSA MPIRA
Pumbavu zenu 2 nil in 10 minutesHii mechi ina viashiria vya kufungwa fungwa hii kama tutaendelea kucheza hivi.