Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi ni kwamba jamaa hamuamini fred kabisa ama?? Maana ni mara mia 600 kuliko van asee yani leo kuanzia mbele ronaldo, rash, van, nacho,erick sio watu wa kukaba kabisa yani sijui tunachezaje hii mechi.

Dah wacha nikaangalie tu labda watafanya jambo.
 
Hivi ni kwamba jamaa hamuamini fred kabisa ama?? Maana ni mara mia 600 kuliko van asee yani leo kuanzia mbele ronaldo, rash, van, nacho,erick sio watu wa kukaba kabisa yani sijui tunachezaje hii mechi.

Dah wacha nikaangalie tu labda watafanya jambo.
KUNA WATU BADO HAWAJAONA UBAGUZI ULIOPO HAPO. TUTAKIMBIZWA SANA....
 
Mshabanduliwa bao mbili umbwa nyie[emoji23]
JamiiForums509067766.jpg
 
Back
Top Bottom