Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Saa: 20:45
Real Sociedad vs Manchester United

Utabiri: Real 1 Manchester United 3 (Fred to Score)
FB_IMG_16674529352299847.jpg
 
Erik ten Hag on Diogo Dalot: “I hope he keeps progressing, not only stick to this level. We're really happy with the development of Diogo”.

“New right back? I know every club at the top level always needs backup and competition”, ten Hag added.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
 
Mimi nilijua akija ten hag ndio atakuwa Kocha mwenye kiu ya kutengeneza timu kupitia rasilimali zilizopo ikiwepo hawa vijana wadogo ili wa Gain confidence lakini cha ajabu hata Game time hawapati too sad .

NB:SILAUMU UAMUZI WA KOCHA ILA NINGEPENDA NIONE HAO VIJANA WADOGO WENYE KIU YAKUONYESHA VIPAJI VYAO WAKIPEWA NAFASI .

#GGMU
  1. anahitaji matokeo sahihi ndani ya uwanja,
  2. man utd hawana utamaduni wa kumvumilia kocha anayeshindwa kupata nafasi ya 4.
  3. man utd wanaangalia zaidi matokeo na si maendeleo
  4. anahitaji kutengeneza muundo mpya wa kiuchezaji
  5. anahitaji kujenga himaya mpya ya kiuongozi na utawala
  6. namba 1, 4, na 5 yatakapowezekana itakuwa ni rahisi zaidi kwa upande wake kuingiza wachezaji vijana katika kikosi cha kwanza
  7. AJAX haifanani na manchester united kiutamaduni.
  8. namtamani zidane Iqbal kuliko unavyomtamani wewe Garnacho
  9. tuwe na subira,
 
  1. anahitaji matokeo sahihi ndani ya uwanja,
  2. man utd hawana utamaduni wa kumvumilia kocha anayeshindwa kupata nafasi ya 4.
  3. man utd wanaangalia zaidi matokeo na si maendeleo
  4. anahitaji kutengeneza muundo mpya wa kiuchezaji
  5. anahitaji kujenga himaya mpya ya kiuongozi na utawala
  6. namba 1, 4, na 5 yatakapowezekana itakuwa ni rahisi zaidi kwa upande wake kuingiza wachezaji vijana katika kikosi cha kwanza
  7. AJAX haifanani na manchester united kiutamaduni.
  8. namtamani zidane Iqbal kuliko unavyomtamani wewe Garnacho
  9. tuwe na subira,
Habari mkuu.
Kwangu mimi nadhani point #1 inaweza kuwa sababu kubwa zaidi hivyo anaogopa kwenda na vijana kama majaribio ikizingatiwa huwa hatumalizi game mapema ili tuwe huru kuwapa muda vijana hasa dakika za mwisho.

Nisaidie kujua kwanini Elanga upande wa kulia kama mbadala wa Anthony badala ya Pellistri ambaye binafsi namuona kiuwezo yuko juu ya Elanga?
 
Nisaidie kujua kwanini Elanga upande wa kulia kama mbadala wa Anthony badala ya Pellistri ambaye binafsi namuona kiuwezo yuko juu ya Elanga?
Nafikiri ishu ni fitness ya mwili, pellistri alikuwa majeruhi kwa takribani miezi mitatu.

Jambo zuri kwa sasa tuna mwalimu anayeamini zaidi performance ndani ya uwanja, pellistri akifanya vizuri anaweza kumuondoa elanga
 
Back
Top Bottom