Mimi nilijua akija ten hag ndio atakuwa Kocha mwenye kiu ya kutengeneza timu kupitia rasilimali zilizopo ikiwepo hawa vijana wadogo ili wa Gain confidence lakini cha ajabu hata Game time hawapati too sad.
NB:SILAUMU UAMUZI WA KOCHA ILA NINGEPENDA NIONE HAO VIJANA WADOGO WENYE KIU YAKUONYESHA VIPAJI VYAO WAKIPEWA NAFASI.
#GGMU![]()
August: Lisandro Martinez
• September: Christian Eriksen
• October: Casemiro
Man Utd's Player of the Month winners so far this season have all been new signings.
Habari mkuu.
- anahitaji matokeo sahihi ndani ya uwanja,
- man utd hawana utamaduni wa kumvumilia kocha anayeshindwa kupata nafasi ya 4.
- man utd wanaangalia zaidi matokeo na si maendeleo
- anahitaji kutengeneza muundo mpya wa kiuchezaji
- anahitaji kujenga himaya mpya ya kiuongozi na utawala
- namba 1, 4, na 5 yatakapowezekana itakuwa ni rahisi zaidi kwa upande wake kuingiza wachezaji vijana katika kikosi cha kwanza
- AJAX haifanani na manchester united kiutamaduni.
- namtamani zidane Iqbal kuliko unavyomtamani wewe Garnacho
- tuwe na subira,
Nafikiri ishu ni fitness ya mwili, pellistri alikuwa majeruhi kwa takribani miezi mitatu.Nisaidie kujua kwanini Elanga upande wa kulia kama mbadala wa Anthony badala ya Pellistri ambaye binafsi namuona kiuwezo yuko juu ya Elanga?
Ukisikia uchawi ndio huuNiwakumbushe tu, tofauti na ushindi wa tofauti ya goli 3 mtabaki nafasi ya 2 hivyo mjiandae na play-off dhidi ya timu zinazotoka UEFA.