Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Alicheza na samata huyu genk na ndie aliekua anamsugulisha benchi.....

Mara nyingi sub ya trossard alikua anaingia popa ila dogo kahangaika maana aliuzwa leverkusen ndio akaja epl
Utakuwa unamzungumzia Leon Bailey ndiye aliyeuzwa Bayer Leverkusen kwa sasa yupo Aston Villa.

Leandro Trossad alitoka Genk kwenda Brighton moja kwa moja.
 
Man utd inashida gani mbona inacheza mpira slow sana, hawana kasi na wanaruhusu kushambuliwa zaidi na wapinzani, tatizo nini kwani jamani

Halmanusura wasawazishe jana wale jamaa
Front three na Midefield yetu hawaretain possession kiujumla timu yetu siyo press resistant ukikutana na timu inayopress sana.
 
Dalot....most improved player under EtH.
Yes Dalot ameimprove sana na mara nyingi amekuwa akicheza vizuri hata kama timu haijaperform sana.

Uvumilivu ni muhimu kwa baadhi ya wachezaji.

Wakati tunastruggle kupata right wing niliwahi kusema kama Dalot hafai kucheza fullback Ole ambadilishe acheze right wing.

Anatupa uwiano mzuri japokuwa timu yetu bado mashambulizi yake mengi tunapitia kushoto.
 
Waliokuwa wanamponda ni wajinga tu..

Walikuwa hawajui ni mzuri kwenye nini..kila siku anawa-prove wrong.
De Gea kwa attributes za modern goal keepers hana ni kama Guillermo Ochoa tu.

Ila kwenye shot stopping yupo vizuri kadri timu inavyoimprove naye huwa anaimprove exponentially.

Msimu wa pili wa Ole tulioshika nafasi ya pili kwenye Ligi De Gea pia alionekana kuimprove sana.

Jambo linaloleta shida ni pale ambapo anafungwa magoli ya makosa yanayofana.
 
West ham united walikuwa bora kuliko manchester united.

Baadhi ya mechi unahitaji alama 3 haijalishi umezipataje.
Siku kama hizi hutokea katika football ligi ya Uingereza ina vilabu vingi sana ambavyo kwenye ligi zingine wangekuwa title contenders.

Kuna timu zingine zinaanza ligi vibaya lakini ghafla wanarudi kwenye form ukikutana nao lazima ukutane na upinzani.

Kuna timu zingine ni ngumu tu dhidi ya timu fulani fulani.mfano Everton, Westham kwa United.
 
The Cristiano effect.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221101_124539_379.jpg
 
Mwana KULITAFUTA Mwana KULIPATA .

Paul Pogba will miss the Qatar 2022 World Cup due to new injury, confirmed by his agent Rafaela Pimenta.

Pogba has not played one single official game with Juventus since he signed the contract last July.
 
Back
Top Bottom