ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Alicheza na samata huyu genk na ndie aliekua anamsugulisha benchi.....Tufanye dili la kumchukua Trossard mapema sana.
Mara nyingi sub ya trossard alikua anaingia popa ila dogo kahangaika maana aliuzwa leverkusen ndio akaja epl



.

