Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulikua tunahitaj goli mbili kwnd juu kwny hii mechi lkn namna timu ilivokua inacheza ni as if tunaongoza goli tano..huoni jitihada wala spirit ya kutafta goli wachezaj wanaruka ruka tuu..

Gemu ya juzi ma west ham kipnd cha pili westham walivokua wanacheza ndo timu inayotafta goli inatakiwa kucheza hivo na sio back pass nying zisizo na msingi

Tuna safar ndefu sn
 
Manchester United's possible Europa League knockout round playoff opponents:

[emoji1179] Ajax
[emoji633] Barcelona
[emoji629] Bayer Leverkusen
[emoji1038] FC Salzburg
[emoji634] Juventus
[emoji633] Sevilla
[emoji1255] Shakhtar Donetsk
[emoji1201] Sporting CP


#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
New kid on the blocks.

#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
IMG_20221103_230551_628.jpg
 
Eric Bailly’s first appearance in two weeks, he goes down injured in the eighth minute and is substituted[emoji37][emoji51].

#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
Huyu mwamba ingekuwa kibongobongo tungesema alichezewa
 
Timu haija improve chochote upande wa kufungua defence line za wapinzan wetu.. since kina mourinnho mpk saiv ten hag tunasafa sn kuzifunga timu zenye defence mentality..
Mbele hakuna ubunifu pasi inatoka kushoto inapelekwa kati inaenda kulia then inarudishwa kwa kipa
 
Timu haija improve chochote upande wa kufungua defence line za wapinzan wetu.. since kina mourinnho mpk saiv ten hag tunasafa sn kuzifunga timu zenye defence mentality..
Mbele hakuna ubunifu pasi inatoka kushoto inapelekwa kati inaenda kulia then inarudishwa kwa kipa
Ni process mpaka kufikia viwango vya juu ila kusema timu haija-improve chochote ni uongo labda useme tu timu haina consistency kiuchezaji ila jambo la muhimu kabisa tunapata matokeo mazuri hivi karibuni.

Defensively tunajitahidi angalau tunaweza kulinda goli. Kwa Ten Hag tunaona mwanga maana wachezaji aliowaleta wote wamekuwa msaada mkubwa kwetu msimu huu. Uvumilivu unahitajika sana.
 
Ni process mpaka kufikia viwango vya juu ila kusema timu haija-improve chochote ni uongo labda useme tu timu haina consistency kiuchezaji ila jambo la muhimu kabisa tunapata matokeo mazuri hivi karibuni.

Defensively tunajitahidi angalau tunaweza kulinda goli. Kwa Ten Hag tunaona mwanga maana wachezaji aliowaleta wote wamekuwa msaada mkubwa kwetu msimu huu. Uvumilivu unahitajika sana.
Anataka zimamoto hajui Ni process had timu ianze kucheza kwa kuelewana

Mpira wa bongo umetuharibu Sana,

Mfano Yanga walitakiwa wawekeze Tena kwa kuondoa takataka ,then Baada ya misimu miwili wangecheza hata makund CAF,


Sasa kwakuwa soka la Africa halina project tumezoea kutaka zimamoto ,Basi tunataka na ulaya hivo hivo kitu ambacho sikweli

Kwa Ten hag Kuna mabadiliko Tena hasa defense , hatua kwa hatua atafikia had ushambuliaji .
 
Anataka zimamoto hajui Ni process had timu ianze kucheza kwa kuelewana

Mpira wa bongo umetuharibu Sana,

Mfano Yanga walitakiwa wawekeze Tena kwa kuondoa takataka ,then Baada ya misimu miwili wangecheza hata makund CAF,


Sasa kwakuwa soka la Africa halina project tumezoea kutaka zimamoto ,Basi tunataka na ulaya hivo hivo kitu ambacho sikweli

Kwa Ten hag Kuna mabadiliko Tena hasa defense , hatua kwa hatua atafikia had ushambuliaji .
Umeongea point kubwa kuanzia ulaya mpk bongo.
 
Donny van de Beek: “I’m happy to be back and have to stay fit for a longer time and try to help Man United”. [emoji837][emoji774] #MUFC

“I feel great, I feel good and what I’m saying is I just need to keep going and, if chances come, I have to take them”.

#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
Back
Top Bottom