Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wafungaji wetu msimu huu.
1667245116508.jpg
 
jadon sancho na athony bado ni majeruhi hivyo hawatosafiri kuelekea spain.
kwa mara nyengine tena kesho tutacheza tukiwa pungufu uwanjani.

anthony elanga kuchezeshwa upande wa kulia ni sawa sawa na kuwa pungufu uwanjani.
huo ndio mtazamo wangu.

Wachezaji watakaosafiri na timu leo:
Bishop, Dubravka, Vitek, De Gea,
Dalot, Wan-Bissaka, Martinez, Lindelof, Maguire, Shaw, Malacia,
McTominay, Fernandes, Fred, Iqbal, Casemiro, Eriksen, Van de Beek,
Shoretire, Elanga, Rashford, Ronaldo, Martial, Garnacho, Pellistri [MEN]
 
jadon sancho na athony bado ni majeruhi hivyo hawatosafiri kuelekea spain.
kwa mara nyengine tena kesho tutacheza tukiwa pungufu uwanjani.

anthony elanga kuchezeshwa upande wa kushoto ni sawa sawa na kuwa pungufu uwanjani.
huo ndio mtazamo wangu.

Wachezaji watakaosafiri na timu leo:
Bishop, Dubravka, Vitek, De Gea,
Dalot, Wan-Bissaka, Martinez, Lindelof, Maguire, Shaw, Malacia,
McTominay, Fernandes, Fred, Iqbal, Casemiro, Eriksen, Van de Beek,
Shoretire, Elanga, Rashford, Ronaldo, Martial, Garnacho, Pellistri [MEN]
Anthony Martial
 
jadon sancho na athony bado ni majeruhi hivyo hawatosafiri kuelekea spain.
kwa mara nyengine tena kesho tutacheza tukiwa pungufu uwanjani.

anthony elanga kuchezeshwa upande wa kulia ni sawa sawa na kuwa pungufu uwanjani.
huo ndio mtazamo wangu.

Wachezaji watakaosafiri na timu leo:
Bishop, Dubravka, Vitek, De Gea,
Dalot, Wan-Bissaka, Martinez, Lindelof, Maguire, Shaw, Malacia,
McTominay, Fernandes, Fred, Iqbal, Casemiro, Eriksen, Van de Beek,
Shoretire, Elanga, Rashford, Ronaldo, Martial, Garnacho, Pellistri [MEN]
Van de beek ana kazi sana aise
 
jadon sancho na athony bado ni majeruhi hivyo hawatosafiri kuelekea spain.
kwa mara nyengine tena kesho tutacheza tukiwa pungufu uwanjani.

anthony elanga kuchezeshwa upande wa kulia ni sawa sawa na kuwa pungufu uwanjani.
huo ndio mtazamo wangu.

Wachezaji watakaosafiri na timu leo:
Bishop, Dubravka, Vitek, De Gea,
Dalot, Wan-Bissaka, Martinez, Lindelof, Maguire, Shaw, Malacia,
McTominay, Fernandes, Fred, Iqbal, Casemiro, Eriksen, Van de Beek,
Shoretire, Elanga, Rashford, Ronaldo, Martial, Garnacho, Pellistri [MEN]
Martial is back??
 
Chini ya EtH walau mwanga unaanza kuonekana japo ni mapema Sana ,,,,,
Kujituma na morali imekuwa juu sana

Tukizichanga karata vzr, January walau tupate target man mmoja top four uhakika ,,,,

Martial na rashyy sio wa kuwategemea,,, inconsistent na majeraha yasiyoisha! Kama martial Hana uwezo wa kucheza game 10 consecutively, hii Ni hatari Sana kwa ustawi wa timu.!!!

Cr7 apewe game zisizo na presha au walau apewe minutes timu ikiwa inaongoza,,, kwa umri wake sio wa kumtegemea pale mbele Kama main man!

Europa kwa Moto Sana, wacha tuone itavyokuwa,,,, juve, Barca, arsenal, Roma (hatihati) n.k !
 
Yes! niliona anafanya mazoezi.
Martial is back??
Amerudi ila hajasafiri na kikosi.
Kwa mujibu wa laurie whitwell

Antony + Anthony Martial not part of #MUFC squad travelling to Spain for Real Sociedad game due to injury, both working on individual plans at Carrington.

Jadon Sancho stays home ill.
 
Facundo Pellistri’s agent Edgardo Lasalvia: I think that with a good World Cup, as we think he will have, his departure is imminent.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd View attachment 2404797
Huyu dogo ni top talent ila sijui makocha wanaokuja pale united huwa wanaona kasoro gani toka kwake.
Binafsi namkubali sana dogo.
 
Huyu dogo ni top talent ila sijui makocha wanaokuja pale united huwa wanaona kasoro gani toka kwake.
Binafsi namkubali sana dogo.
Mimi nilijua akija ten hag ndio atakuwa Kocha mwenye kiu ya kutengeneza timu kupitia rasilimali zilizopo ikiwepo hawa vijana wadogo ili wa Gain confidence lakini cha ajabu hata Game time hawapati too sad .

NB:SILAUMU UAMUZI WA KOCHA ILA NINGEPENDA NIONE HAO VIJANA WADOGO WENYE KIU YAKUONYESHA VIPAJI VYAO WAKIPEWA NAFASI .

#GGMU
 
#MUFC will play Real Betis in a second December friendly game in Andalucia, Spain on the 10th of December.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221102_221316_914.jpg
 
Saa: 20:45
Real Sociedad vs Manchester United

Utabiri: Real 1 Manchester United 3 (Fred to Score)
FB_IMG_16674529352299847.jpg
 
Back
Top Bottom