Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,083
- 12,325
Hapo nampa Martinez, haiitaji kurunzi kuweza ona.Tough one..lakini acha niende na Martinez..
Amefanya tuiamini backline yetu kwa kiasi fulani.
View attachment 2404859
Hapo nampa Martinez, haiitaji kurunzi kuweza ona.Tough one..lakini acha niende na Martinez..
Amefanya tuiamini backline yetu kwa kiasi fulani.
View attachment 2404859
Anthony Martialjadon sancho na athony bado ni majeruhi hivyo hawatosafiri kuelekea spain.
kwa mara nyengine tena kesho tutacheza tukiwa pungufu uwanjani.
anthony elanga kuchezeshwa upande wa kushoto ni sawa sawa na kuwa pungufu uwanjani.
huo ndio mtazamo wangu.
Wachezaji watakaosafiri na timu leo:
Bishop, Dubravka, Vitek, De Gea,
Dalot, Wan-Bissaka, Martinez, Lindelof, Maguire, Shaw, Malacia,
McTominay, Fernandes, Fred, Iqbal, Casemiro, Eriksen, Van de Beek,
Shoretire, Elanga, Rashford, Ronaldo, Martial, Garnacho, Pellistri [MEN]

Van de beek ana kazi sana aisejadon sancho na athony bado ni majeruhi hivyo hawatosafiri kuelekea spain.
kwa mara nyengine tena kesho tutacheza tukiwa pungufu uwanjani.
anthony elanga kuchezeshwa upande wa kulia ni sawa sawa na kuwa pungufu uwanjani.
huo ndio mtazamo wangu.
Wachezaji watakaosafiri na timu leo:
Bishop, Dubravka, Vitek, De Gea,
Dalot, Wan-Bissaka, Martinez, Lindelof, Maguire, Shaw, Malacia,
McTominay, Fernandes, Fred, Iqbal, Casemiro, Eriksen, Van de Beek,
Shoretire, Elanga, Rashford, Ronaldo, Martial, Garnacho, Pellistri [MEN]
Martial is back??jadon sancho na athony bado ni majeruhi hivyo hawatosafiri kuelekea spain.
kwa mara nyengine tena kesho tutacheza tukiwa pungufu uwanjani.
anthony elanga kuchezeshwa upande wa kulia ni sawa sawa na kuwa pungufu uwanjani.
huo ndio mtazamo wangu.
Wachezaji watakaosafiri na timu leo:
Bishop, Dubravka, Vitek, De Gea,
Dalot, Wan-Bissaka, Martinez, Lindelof, Maguire, Shaw, Malacia,
McTominay, Fernandes, Fred, Iqbal, Casemiro, Eriksen, Van de Beek,
Shoretire, Elanga, Rashford, Ronaldo, Martial, Garnacho, Pellistri [MEN]
Yes! niliona anafanya mazoezi.Martial is back??
I voted for Martinez ofcoz.Tough one..lakini acha niende na Martinez..
Amefanya tuiamini backline yetu kwa kiasi fulani.
View attachment 2404859
Yes! niliona anafanya mazoezi.
Amerudi ila hajasafiri na kikosi.Martial is back??
Huyu dogo ni top talent ila sijui makocha wanaokuja pale united huwa wanaona kasoro gani toka kwake.Facundo Pellistri’s agent Edgardo Lasalvia: I think that with a good World Cup, as we think he will have, his departure is imminent.
#GlazerOUT
#GGMU
manutd View attachment 2404797
Mimi nilijua akija ten hag ndio atakuwa Kocha mwenye kiu ya kutengeneza timu kupitia rasilimali zilizopo ikiwepo hawa vijana wadogo ili wa Gain confidence lakini cha ajabu hata Game time hawapati too sadHuyu dogo ni top talent ila sijui makocha wanaokuja pale united huwa wanaona kasoro gani toka kwake.
Binafsi namkubali sana dogo.
.
.
