Uliangalia mechi vizuri?Man utd inashida gani mbona inacheza mpira slow sana, hawana kasi na wanaruhusu kushambuliwa zaidi na wapinzani, tatizo nini kwani jamani
Halmanusura wasawazishe jana wale jamaa
Nyie ni nyakati gani mnafurahia?Wanaoipenda hii timu wanapitia nyakati ngumu sana
Ndio mkuuUliangalia mechi vizuri?
January tukimrelease CR7 by mutual agreements naamini patner wa dalot atakujaErik ten Hag on Dalot: "I have to mention Man Utd need two good full-backs because we have a lot of games to play."
---‐-------'
Nileteeni jeremie frimpong wa bayer leverkusen. Ndicho anachomaanisha ten hag.
Kwaheri wan bissaka
Kwenye kupiga pasi siyo Ronaldo tu yani wale wangese wanafanya mambo yawe magumu sana.Hii timu muda wote inamwaga maji
haina mfumo sahihi
Magoli yao mengi ni ya Mungu nisaidie
ronaldo arudi benchi tu
pasi ya kawaida anashindwa kupiga
CR 7 jana alilazimisha sana mwili wake kufanya pressing ili kuonesha umuhimu wake lakini bado mwili ulkua unagoma tu.Kwenye kupiga pasi siyo Ronaldo tu yani wale wangese wanafanya mambo yawe magumu sana.
Pasi za kawaida tu hawawezi kupiga kitu kinachopelekea tunapoteza mipira haraka.
De Gea baada ya kutoswa na kocha wa Spain hasira zote kaamua kuzihamishia kwenye Epl.Kwani De Gea kafanya nn leo huko? Naona anapongezwa na kila mchezaji wa Man u
Alicheza na samata huyu genk na ndie aliekua anamsugulisha benchi.....Tufanye dili la kumchukua Trossard mapema sana.
Hajawahi kucheza Leverkusen, aliyeenda Leverkusen ni dogo mmoja Mjamaica jina lake Leon BaileyAlicheza na samata huyu genk na ndie aliekua anamsugulisha benchi.....
Mara nyingi sub ya trossard alikua anaingia popa ila dogo kahangaika maana aliuzwa leverkusen ndio akaja epl
Trossard alipotoka Genk alienda Brighton moja kwa mojaAlicheza na samata huyu genk na ndie aliekua anamsugulisha benchi.....
Mara nyingi sub ya trossard alikua anaingia popa ila dogo kahangaika maana aliuzwa leverkusen ndio akaja epl
Unafki wa New World Order huuBaada ya kuwepo captain magwaya, nilijua hii ngome sasa wagonga nyundo labda waje na vifaru vya Russia ila sio nyundo zao.
Cha msingi point 3, tukutane next weekend
![]()




Utakuwa unamzungumzia Leon Bailey ndiye aliyeuzwa Bayer Leverkusen kwa sasa yupo Aston Villa.Alicheza na samata huyu genk na ndie aliekua anamsugulisha benchi.....
Mara nyingi sub ya trossard alikua anaingia popa ila dogo kahangaika maana aliuzwa leverkusen ndio akaja epl
Front three na Midefield yetu hawaretain possession kiujumla timu yetu siyo press resistant ukikutana na timu inayopress sana.Man utd inashida gani mbona inacheza mpira slow sana, hawana kasi na wanaruhusu kushambuliwa zaidi na wapinzani, tatizo nini kwani jamani
Halmanusura wasawazishe jana wale jamaa