Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man utd inashida gani mbona inacheza mpira slow sana, hawana kasi na wanaruhusu kushambuliwa zaidi na wapinzani, tatizo nini kwani jamani

Halmanusura wasawazishe jana wale jamaa
 
Man utd inashida gani mbona inacheza mpira slow sana, hawana kasi na wanaruhusu kushambuliwa zaidi na wapinzani, tatizo nini kwani jamani

Halmanusura wasawazishe jana wale jamaa
Uliangalia mechi vizuri?
 
Erik ten Hag on Dalot: "I have to mention Man Utd need two good full-backs because we have a lot of games to play."
---‐-------'

Nileteeni jeremie frimpong wa bayer leverkusen. Ndicho anachomaanisha ten hag.

Kwaheri wan bissaka
January tukimrelease CR7 by mutual agreements naamini patner wa dalot atakuja
 
Don't forget to Building your house with us
we design
we estimating materials
we modelling
we construct
we finishing
finally
we like to work with you our customer
PXL_20221031_051448888.jpg
 
Hii timu muda wote inamwaga maji
haina mfumo sahihi
Magoli yao mengi ni ya Mungu nisaidie
ronaldo arudi benchi tu
pasi ya kawaida anashindwa kupiga
Kwenye kupiga pasi siyo Ronaldo tu yani wale wangese wanafanya mambo yawe magumu sana.

Pasi za kawaida tu hawawezi kupiga kitu kinachopelekea tunapoteza mipira haraka.
 
Kwenye kupiga pasi siyo Ronaldo tu yani wale wangese wanafanya mambo yawe magumu sana.

Pasi za kawaida tu hawawezi kupiga kitu kinachopelekea tunapoteza mipira haraka.
CR 7 jana alilazimisha sana mwili wake kufanya pressing ili kuonesha umuhimu wake lakini bado mwili ulkua unagoma tu.

Luke,Dalot,De gea & Licha walijitahidi sana.

Maguire,CR7,Fred, sioni umuhimu wao msimu ujao.
 
Back
Top Bottom