buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Sana, Ten Haag pia ajiangalie kuweka mizigo zaidi ya mitatu line up moja.Kwa matokeo yoyote degea leo kasaidia sana
Ronaldo
Maguire
Elanga
Sana, Ten Haag pia ajiangalie kuweka mizigo zaidi ya mitatu line up moja.Kwa matokeo yoyote degea leo kasaidia sana
Vipi Man United kafungwa ngapi?Usiseme dra hiyo mechi manyuu anafungwa nyingi
Hapo pa CR7 Ndio tunataka.3 pnts,,,,, clean sheet!
Utd walikuwa Bora first half,,, westham tuliwazidi kila kitu !
Second half Mambo yalibadilika,,,,,
Elanga hastahili kuwa hata back up player,,,
Anthony tulimmiss
Cr7 si wa kupewa 90mins, aingie timu ikiwa inaongoza haina presha !
In ETH we trust,,,,
#GGMU
Baada ya kuwepo captain magwaya, nilijua hii ngome sasa wagonga nyundo labda waje na vifaru vya Russia ila sio nyundo zao.Tumechukua 3 points, rudia kusoma jumbe zako.

Bila ubora wa DDG hawa West Ham walikuwa wanatupiga goli sio chini ya tatu. Mungu mbariki DDG.
Ubora wa Martinez sijui waliokuwa wanaponda kimo chake wanahali gani kwa sasa.
