Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Alafu wakuu mmeona ile sehemu ya Zouma McTomminay alikua anaenda kusababisha penati ikiwa zouma angetisha anapiga angemkanyanga.

Sometimes unajiuliza mchezaji anawaza nini kucheza vile?

Anyway kuna improvement leo tumejua nani muhimu line up nani hafai kuingia.

Anthony ni muhimu sana.
 
Sec half tulipumzika sana ila tatizo letu lile lile la sasa ni kutokufunga ile mechi nzuri, Elanga ukiacha usaidizi wake kwenye kukaba hata tena msaada kama winger hapigi cross hadribble yani yupo tu.

Mechi ijayo bruno hayupo tumuone donny kati ali gernacho akipige hapo.
 
3 pnts,,,,, clean sheet!

Utd walikuwa Bora first half,,, westham tuliwazidi kila kitu !

Second half Mambo yalibadilika,,,,,

Elanga hastahili kuwa hata back up player,,,

Anthony tulimmiss

Cr7 si wa kupewa 90mins, aingie timu ikiwa inaongoza haina presha !

In ETH we trust,,,,

#GGMU
 
22BB63A4-6A22-4C75-AC82-7D4A26EEA323.jpeg
 
3 pnts,,,,, clean sheet!

Utd walikuwa Bora first half,,, westham tuliwazidi kila kitu !

Second half Mambo yalibadilika,,,,,

Elanga hastahili kuwa hata back up player,,,

Anthony tulimmiss

Cr7 si wa kupewa 90mins, aingie timu ikiwa inaongoza haina presha !

In ETH we trust,,,,

#GGMU
Hapo pa CR7 Ndio tunataka.

Awe sub ikiwa gemu inaelekea itakua ngumu yenye pressing.

Mfano mechi ijayo ya Aston villa ingependeza aanzie sub
 

Bila ubora wa DDG hawa West Ham walikuwa wanatupiga goli sio chini ya tatu. Mungu mbariki DDG.

Ubora wa Martinez sijui waliokuwa wanaponda kimo chake wanahali gani kwa sasa.

Ile ndo kazi waliyoajiriwa pale O.T
 
Back
Top Bottom