Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunakimbizwaa..Kocha mzito huyu. Toa Erickson weka Fred.
 
Hii michezaji naona pia ifundishwe kuclear ball mida ya lala salama. Ufala kujaribu jaribu vyenga.


Piga mpira uende kurushiwa kona yao kulee.

Ilikua watugharimu, ukiona mashuti yote na sekeseke ni ubovu wa kuclear mipira ili kubuy muda.
 
Aiseee bahati tu haikua upande wao west ham ila wameupiga mwingi
Acha hizo bana hakuna kupiga mwingi ni uzembe wa wachezaji kuclear mipira

Unakuta umetua kwa Rashford badala ya kuupiga mbali hata uende goli lao urushwe au goal kick eti unaurudisha.

Wamenikera.

Maguire asirudi tena, hakuna alichosaidia kutokana na urefu wake na likichwa lake alikua awe anajipostion kuondoa mipira ya langoni, cha ajabu Martinez mfupi ndie anafany na Dalot.
 
Back
Top Bottom