Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii michezaji naona pia ifundishwe kuclear ball mida ya lala salama. Ufala kujaribu jaribu vyenga.


Piga mpira uende kurushiwa kona yao kulee.

Ilikua watugharimu, ukiona mashuti yote na sekeseke ni ubovu wa kuclear mipira ili kubuy muda.
 
Aiseee bahati tu haikua upande wao west ham ila wameupiga mwingi
Acha hizo bana hakuna kupiga mwingi ni uzembe wa wachezaji kuclear mipira

Unakuta umetua kwa Rashford badala ya kuupiga mbali hata uende goli lao urushwe au goal kick eti unaurudisha.

Wamenikera.

Maguire asirudi tena, hakuna alichosaidia kutokana na urefu wake na likichwa lake alikua awe anajipostion kuondoa mipira ya langoni, cha ajabu Martinez mfupi ndie anafany na Dalot.
 
Alafu wakuu mmeona ile sehemu ya Zouma McTomminay alikua anaenda kusababisha penati ikiwa zouma angetisha anapiga angemkanyanga.

Sometimes unajiuliza mchezaji anawaza nini kucheza vile?

Anyway kuna improvement leo tumejua nani muhimu line up nani hafai kuingia.

Anthony ni muhimu sana.
 
Sec half tulipumzika sana ila tatizo letu lile lile la sasa ni kutokufunga ile mechi nzuri, Elanga ukiacha usaidizi wake kwenye kukaba hata tena msaada kama winger hapigi cross hadribble yani yupo tu.

Mechi ijayo bruno hayupo tumuone donny kati ali gernacho akipige hapo.
 
Back
Top Bottom