Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wikiendi hii kuna msururu wa makubwa jinga huenda Leo tukapata jingine ngoja niweke kambi mapemaaa hehehehe
 
Wakuu mechi leo saa ngapi,tuanze kufurahi na kuchekelea matunda ya 10 hag 🍷
 
GGMU, Sancho aonyeshe uwezo wake leo. Maguire atulie. Ronaldo apate goli 3.
 
Na mbaya zaidi hatuna beki hata mmoja sijui ten hag kawaza nn..kumuanzia Ronaldo pembeni na uzee ule halaf elanga ,sijui yaani leo kama kuna lolote..

Na west ham sio timu ya kitoto wanapres sana
 
Back
Top Bottom