Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rashfoooooooord
Huyu dogo ni mnyama saa. Hiyo Jersey No.10 anaitendea haki
 
Rashfoooooooord
Huyu dogo ni mnyama saa. Hiyo Jersey No.10 anaitendea haki
Rashford anauwezo mkubwa sana wakufunga shida Ake kubwa ni kama Pogba hajawah kuwa na fomu ya kudumu Kuna kipind anakua kweny moto Kuna kipind anashuka mfano unakumbuka msimu wa 2020/21 Rashford alikua na form zuri sana ya kufunga ila msimu wa 2021/2022 alishuka sana japo alitoka kweny majerah
 
Wakuu hata kama Ronaldo ana umuhimu ndio, ila kuna mechi za kuanza na kuna mechi za kuingia sub.

Na sasa anazidi kuonesha mentality ya kuprove wrong ten Haag kwa kufunga. Inafanya akipata mpira tu awaze shuti bila kujali build up.

Hii kero Dah!

Hata afunge mechi hii bado sio sahihi mwamba hafiti kabisa.

Na huyu Elanga na Maguire matakataka sana ukifocus kwao ya afadhali Ronaldo.

Hata hivyo tunapoelekea Mgogoro wa Ronaldo unaweza kua mkubwa Tena akipigwa benchi.

Duh mwamba asepe kiroho safi.

For mafan wake walio timu nyingine aje kwenu basi afanyie majaribio ya kumprove wrong Ten Haag.
 
Back
Top Bottom