Sancho hajaanza..GGMU, Sancho aonyeshe uwezo wake leo. Maguire atulie. Ronaldo apate goli 3.

Anthony mgonjwaMaguire Ndani Elanga Ndani No Antony![]()
Usiseme dra hiyo mechi manyuu anafungwa nyingiAiseeh yani tunaanza na Maguire na Elanga? Aiseeh hii mechi hata tukifungwa au kutoa draw itakuwa ni sawa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Matunda gani, au jinsi magwaya atakavyokuwa anauza magoliMe nadhani unakiwa ufukuze watu kwenye kitu kinachokuhusu, hivi unaonekana mjinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anthony mgonjwa
Aiseeh yani tunaanza na Maguire na Elanga? Aiseeh hii mechi hata tukifungwa au kutoa draw itakuwa ni sawa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali anacheza tena yule dogo ana-energy ya kutosha kusumbua mabeki wa timu pinzani.Sancho hajaanza..
Lindelof ameumiaTen hag ameanza ujinga maguire wa nini?
Anthony ameumiaElanga????
Mkuu umekiona kikosi?Yes tulia, subiri dakika tisini za mchezo.