Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Account yake magoli EPL alianza ninyi vibonde wetu wa muda wote.
Hakuna watu wanaomchukia Antony kama mashabiki wa Arsenyani, na chuki zao sababu kubwa ni Antony ndie mwanaume wa kwanza kuwabikiri kwenye Unbeatable.
Uchungu na hasira za kuloose virginity tena kwa kubakwa hua zinachukua muda mrefu sana kuisha au huenda zikadumu milele.
 
Punguza assumptions,ukisikia mpira burudani ndo kama hivyo.
Alafu yule ni mbrazil anaruhusiwa.
Ten Hag on Antony's skill: "I don't have a problem with that as long as it's functional."

Waache kumsakama Antony anapoamua kutuonyesha burudani.
Kwanza yale manjonjo yake psychological hua yanawavuruga wapinzani na kuwafanya washindwe kujiamini.
Binafsi Antony jana alifanya nimkumbuke Ronaldinho.
 
Stupid boy kwani nilichokisema hukijui njoo na facts za kunipinga kwa nilichokisema sio unakuja na stupid questions
Nilitaka nipuuzie lakini kuna sauti ndani ya nafsi yangu imenisihi sana nikufunze kitu mdogo wangu usinge jibu namna hii. Unaonekana bado ni kijana mdogo chini ya miaka 25 huna uzoefu halisi na maisha.

Kuna kitu kinaitwa heshima na hekima hivi ni vitu muhimu sana unapaswa kuwa navyo haijalishi una elimu kubwa kiasi gani (Ph.D), pesa nyingi kiasi gani (millions in USD), IQ kubwa kiasi gani (triple digits) siku zote unapaswa ujifunze kuheshimu mamlaka iliyojuu yako haijalishi watu wa walio nyuma ya hayo mamlaka unawazidi kwa kiasi gani.

Unaweza kumdharau baba yako kisa wewe una pesa na elimu kumzidi? Unaweza kudharau executive order (Rais) kisa wewe unamzidi fedha na elimu Rais? Uliposema Ronaldo anamzidi kila kitu Ten Hag kichwani ilinijia taswira kwamba wewe utakuwa ni kijana mdogo sana kiumri. Kumzidi mtu kila kitu hakupaswi kukufanya uwe na dharau na kiburi.
 
Nilitaka nipuuzie lakini kuna sauti ndani ya nafsi yangu imenisihi sana nikufunze kitu mdogo wangu usinge jibu namna hii. Unaonekana bado ni kijana mdogo chini ya miaka 25 huna uzoefu halisi na maisha.

Kuna kitu kinaitwa heshima na hekima hivi ni vitu muhimu sana unapaswa kuwa navyo haijalishi una elimu kubwa kiasi gani (Ph.D), pesa nyingi kiasi gani (millions in USD), IQ kubwa kiasi gani (triple digits) siku zote unapaswa ujifunze kuheshimu mamlaka iliyojuu yako haijalishi watu wa walio nyuma ya hayo mamlaka unawazidi kwa kiasi gani.

Unaweza kumdharau baba yako kisa wewe una pesa na elimu kumzidi? Unaweza kudharau executive order (Rais) kisa wewe unamzidi fedha na elimu Rais? Uliposema Ronaldo anamzidi kila kitu Ten Hag kichwani ilinijia taswira kwamba wewe utakuwa ni kijana mdogo sana kiumri. Kumzidi mtu kila kitu hakupaswi kukufanya uwe na dharau na kiburi.
@computerarsenal na hamis77 ni katika mashabiki wa Arsenal werevu na ninaowakubali na kuwaheshimu sana.
Hata nikiwa nawadhihaki Arsenal hua najifikiria mara mbilimbili nisiwaudhi hawa watu wawili.
Itoshe tu kusema computerarsenal amepitiwa tu kidogo na mapenzi yake juu ya Ronaldo ila nnaamini hakumaanisha kwa dhati kile alichokisema ni kimemtoka tu kwa bahati mbaya.
Joh Doe pia nikushukuru kwa kumuweka sawa kijana, na kwaniaba yake nikuombe radhi kwa lugha aliyoitumia dhidi yako.
 
Eheeeee
Screenshot_20221028-202146_Instagram.jpg
 
Nilitaka nipuuzie lakini kuna sauti ndani ya nafsi yangu imenisihi sana nikufunze kitu mdogo wangu usinge jibu namna hii. Unaonekana bado ni kijana mdogo chini ya miaka 25 huna uzoefu halisi na maisha.

Kuna kitu kinaitwa heshima na hekima hivi ni vitu muhimu sana unapaswa kuwa navyo haijalishi una elimu kubwa kiasi gani (Ph.D), pesa nyingi kiasi gani (millions in USD), IQ kubwa kiasi gani (triple digits) siku zote unapaswa ujifunze kuheshimu mamlaka iliyojuu yako haijalishi watu wa walio nyuma ya hayo mamlaka unawazidi kwa kiasi gani.

Unaweza kumdharau baba yako kisa wewe una pesa na elimu kumzidi? Unaweza kudharau executive order (Rais) kisa wewe unamzidi fedha na elimu Rais? Uliposema Ronaldo anamzidi kila kitu Ten Hag kichwani ilinijia taswira kwamba wewe utakuwa ni kijana mdogo sana kiumri. Kumzidi mtu kila kitu hakupaswi kukufanya uwe na dharau na kiburi.
May be na umri mdogo but hujajibu unaruka ruka is it true kuwa Ronaldo amemzidi kila kitu Ten Hag?nataka unijibu YES OR NO achana na story

PSG ni moja ya reference ambayo imewashinda makocha wengi kuimanage coz ya mambo kama haya Ronaldo anampa headache sana Ten Hag why hutaki kukubali?hakumpanga vs Manchester City Dunia ikaongea Vs Spurs dunia imeongea (ushindi umefunikwa na Ronaldo kuwa snub vs Chelsea) nachosema Ronaldo anamuumiza sana Ten Hag anatamani contract ya Ronaldo iishe na he knows atakuwa na 38

Ronaldo ana uwezo wa kumvimbia Ten Hag na dunia ikampa support hata humu Jukwaani kuna wadau wamegawanyika wanaamini bila Ronaldo no ushindi so solution ni Ronaldo amalize contract aagwe kwa heshima kuna siku ni lazima Ronaldo atarudi United akiwa coach au Technical Director
 
Cr7 hajabeba Europa na World Cup tu, kwa hiyo bado ni takataka mbele ya mtu kama Ngolo Kante.
 
Kwenye Europa munawafunga wavimba macho timu ya mchangani alafu munasema muna timu🤣🤣🤣🤣
 
May be na umri mdogo but hujajibu unaruka ruka is it true kuwa Ronaldo amemzidi kila kitu Ten Hag?nataka unijibu YES OR NO achana na story

PSG ni moja ya reference ambayo imewashinda makocha wengi kuimanage coz ya mambo kama haya Ronaldo anampa headache sana Ten Hag why hutaki kukubali?hakumpanga vs Manchester City Dunia ikaongea Vs Spurs dunia imeongea (ushindi umefunikwa na Ronaldo kuwa snub vs Chelsea) nachosema Ronaldo anamuumiza sana Ten Hag anatamani contract ya Ronaldo iishe na he knows atakuwa na 38

Ronaldo ana uwezo wa kumvimbia Ten Hag na dunia ikampa support hata humu Jukwaani kuna wadau wamegawanyika wanaamini bila Ronaldo no ushindi so solution ni Ronaldo amalize contract aagwe kwa heshima kuna siku ni lazima Ronaldo atarudi United akiwa coach au Technical Director
Achana na vibwengo wa humu, hawatakuelewa , Heshima ya Ronaldo OT itakuwa ya Karne na Karne , huyo Ten Hag ni suala la mda tuu kutimuliwa pale....!! Mpak sasa hakuna striker wa kumkalisha bench Ronaldo pale Man u, sku akiwa benchi magoli yanafungwa na midfielders , ndo nin sasa ? Alaf unamweka mtu bench , kuna namna ya kumanage high profile players , huwez kuwaongoza Kwa usawa na wachezaji wengine , hyo ipo wazi na makocha wenye akili wanajua . ... Kuna kitu anataka kutengeneza Ten Hag ambacho hatoweza na hakipo....., et kutiisha timu 🤗 , Real Madrid na Bayern Munich ni timu zingine ambazo kocha huwez leta ubabe Kwa key players....

Yeye aombee Tu Ronaldo asepe January ,
 
Nyumbu mara ya mwisho kuongoza ligi ten hag alikuwa na rasta kichwani
Wagonga nyundo wa London tuna jambo letu kesho
 
Back
Top Bottom