This would be the best signing ever post Sir Alex Ferguson era.Manchester United are reportedly interested in signing João Felix. He is dissatisfied with Diego Simeone & wants to leave Madrid.
#SkySports
#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]
manutd View attachment 2397257
Haters mnahangaika sana!Hamna kitu hapo, anakula hela za bure tuuu.
Yan Mkuu ukakaa kbs na ukajarb kuandika na kujustify Cr7 anayo fanya ni sahihi na ukaenda mbl zaid kusema Ten Hag anaumia kuona Cr7 anakua mbele ya kurasa?.. Dah nimesoma andiko lako nime Conclude tu kitu ki1, mahaba au unazi na ki2 fulan usizid kipimo.Haitobadilisha kwamba jamaa ammecheza soka kwa mafanikio makubwa sana na kila mtu anaejihusisha na football dunia kuna wakati anatamani angekua yeye(Ronaldo).Habari za pele na maradona tunazikubali lkn kwa Generation hii. RONALDO DID what is needed to be done .Erik ten hag maybe anaumia pale manchester inaposhinda na Ronaldo akiwa sehemu ya timu pale vyombo vya habari vinapo mpa Christiano airtime zaidi ( Ronaldo helped mufc to win agaist .......) i think ndo vitu hataki kuviona anataka yeye ndo awe front page
EtH anamkubali sana CR7 hilo lipo wazi,Shida ni tabia za kitoto anazoonesha CR7 its very strange.Haitobadilisha kwamba jamaa ammecheza soka kwa mafanikio makubwa sana na kila mtu anaejihusisha na football dunia kuna wakati anatamani angekua yeye(Ronaldo).Habari za pele na maradona tunazikubali lkn kwa Generation hii. RONALDO DID what is needed to be done .Erik ten hag maybe anaumia pale manchester inaposhinda na Ronaldo akiwa sehemu ya timu pale vyombo vya habari vinapo mpa Christiano airtime zaidi ( Ronaldo helped mufc to win agaist .......) i think ndo vitu hataki kuviona anataka yeye ndo awe front page
Acheni kulinganisha Ronaldo na taka taka , Ten hang atasepa , Ila Ronaldo ataendelea kukumbukwa Old Trafford vizazi na vizazi hata kama atasepa January ... Nyie mashabiki wa JF hamna impact yyteEtH anamkubali sana CR7 hilo lipo wazi,Shida ni tabia za kitoto anazoonesha CR7 its very strange.
CR7 lazima aoneshe high degree of professionalism,Btw sioni kama January tutakuanae binafsi naona asepe tu asijekuchafua dressing room.
Futuhi warriors fc[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaume wanacheza UEFA alafu kuna nyinyi
This level of ignorance is alarming.Haitobadilisha kwamba jamaa ammecheza soka kwa mafanikio makubwa sana na kila mtu anaejihusisha na football dunia kuna wakati anatamani angekua yeye(Ronaldo).Habari za pele na maradona tunazikubali lkn kwa Generation hii. RONALDO DID what is needed to be done .Erik ten hag maybe anaumia pale manchester inaposhinda na Ronaldo akiwa sehemu ya timu pale vyombo vya habari vinapo mpa Christiano airtime zaidi ( Ronaldo helped mufc to win agaist .......) i think ndo vitu hataki kuviona anataka yeye ndo awe front page
Kuna kipindi tulikuwa tunamtegemea januzaj sijui kakowapi sahv 😄Sema hii timu tumepitia magumu sana, kuna kipindi tulikua tunamtegemea Fellaini.
Umekuwa kama mpumbafu unajua??Acheni kulinganisha Ronaldo na taka taka , Ten hang atasepa , Ila Ronaldo ataendelea kukumbukwa Old Trafford vizazi na vizazi hata kama atasepa January ... Nyie mashabiki wa JF hamna impact yyte